Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
nadhani kinachokuumiza zaidi ni gubu na makasiriko right?

hua inaangamiza watu vibaya hiyo kitu, ni vizur ukaanza kupunguza gentleman kwasabb mapenzi ya wananchi kwa Dr Samia Suluhu Hassan ni ya kiwango cha juu mno kwa waTanzania.


kuna kikundi cha vibaka na matapeli wa kisiasa wanawatapeli wananchi pesa kidigitali,

Je, hao pia wanakuumiza sana gentleman?
Unaumia sehemu gani zaidi kwa mfano?🐒
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Taifa lenye wajinga wengi ndio taifa zuri kuishi watu wenye akili, (Psychological Reverse)
 
nadhani kinachokuumiza zaidi ni gubu na makasiriko right?

hua inaangamiza watu vibaya hiyo kitu, ni vizur ukaanza kupunguza gentleman kwasabb mapenzi ya wananchi kwa Dr Samia Suluhu Hassan ni ya kiwango cha juu mno kwa waTanzania.


kuna kikundi cha vibaka na matapeli wa kisiasa wanawatapeli wananchi pesa kidigitali,

Je, hao pia wanakuumiza sana gentleman?
Unaumia sehemu gani zaidi kwa mfano?🐒
Sio kila anayekupongeza anakupenda au anapenda unachokifanya, wengine wanataka uondoke mapema wasikuone kwenye macho yao maana huna la maana unalofanya, na hii haihusiani na wewe inahusiana na anaepokea sifa kila kukicha, wananchi tumechoka jamani woiii, ukilala mama ukiamka mama ukishinda mchana mama, kila muda mama, kwemye mabango mama, kqenye vipindi vya telwvisheni mama, redioni tbc capital na radio one mama, jamani tumekinaiwa sasa na hilo jina.
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Huuu upumbavu sifanyi aiseeeeee
 
Sio kila anayekupongeza anakupenda au anapenda unachokifanya, wengine wanataka uondoke mapema wasikuone kwenye macho yao maana huna la maana unalofanya, na hii haihusiani na wewe inahusiana na anaepokea sifa kila kukicha, wananchi tumechoka jamani woiii, ukilala mama ukiamka mama ukishinda mchana mama, kila muda mama, kwemye mabango mama, kqenye vipindi vya telwvisheni mama, redioni tbc capital na radio one mama, jamani tumekinaiwa sasa na hilo jina.
sasa gentleman,
uchovu na chuki zako zisibabaishe wala kusumbua wengine,

waTanzania wote wanamuamini na kumpenda kiongozi wao madhubuti Dr Samia Suluhu Hassan,

kwani wew umekatazwa kumpenda mwingine?🐒
 
Mimi uwa najiuliza Usalama wa Taifa kwenye hii wanafanyaga kazi gani au kazi ni kulinda Rais Peke yake hii mikataba mibovu yote usalama wataifa uwa wamekaa tu wanaiangalia so sad
 
sasa gentleman,
uchovu na chuki zako zisibabaishe wala kusumbua wengine,

waTanzania wote wanamuamini na kumpenda kiongozi wao madhubuti Dr Samia Suluhu Hassan,

kwani wew umekatazwa kumpenda mwingine?🐒
Mapenzi ni kitu kisichopimika wala kuonekana, usiwasemee watu juu ya swala la mapenzi, mapenzi ni hisia zilizo kwa mtu binafsi, usiwasemee watanzania maana haupo kwenye hisia zao.

Watanzania wote wanampenda!, how could you dare? Me ni mtanzania na sipo njia moja na wewe, nchi inateketea mzee.
Hili sio siri wala sio jambo linalohisiana na chuki wala mapenzi kwa Raisi hapa ni mapenzi kwa nchi mzee, tizama kizazi chako cha baadae vile kitakuja kuikuta Tanzania yao!
Ni fikra gani watakuwa nazo juu yenu ninyi watangulizi wao.
Be clear mzee mambo si mambo mkuu tumefeli as a nation.
 
Usalama wa taifa wange piga marufuku matumizi ya machawa na sera zisizo na msingi.

Rejea Samia na vitumbua, siku aki Jamba ita kuwa Samia na ushuzi ehh?
Usalama wa Taifa uwa wanawainda wale watu wenye mapenzi mema na hii nchi wale wakosoaji wa serikali inasikitisha sana Tanzania
 
Usalama wa taifa wange piga marufuku matumizi ya machawa na sera zisizo na msingi.

Rejea Samia na vitumbua, siku aki Jamba ita kuwa Samia na ushuzi ehh?

Usalama wa Taifa gani unaowazungumzia?.
Unafikiri hao usalama wa Taifa unaowazungumzia wangekuwa serious haya yanayoendelea ungeyaona?.
Usalama wa Taifa ni sehemu ya haya yote.

Kampeni za URais zimeanza ilihali muda haujafika, matumizi mabaya ya rasirimali za nchi, kupoteza muda wa uzarishaji wa watu kukusanyika hovyo hovyo kila siku nk.
Hivyo vyote hao unaowaita usalama walipaswa kuvisimamia kwa ustawi mzuri wa Taifa na vizazi chake.
 
Mapenzi ni kitu kisichopimika wala kuonekana, usiwasemee watu juu ya swala la mapenzi, mapenzi ni hisia zilizo kwa mtu binafsi, usiwasemee watanzania maana haupo kwenye hisia zao.

Watanzania wote wanampenda!, how could you dare? Me ni mtanzania na sipo njia moja na wewe, nchi inateketea mzee.
Hili sio siri wala sio jambo linalohisiana na chuki wala mapenzi kwa Raisi hapa ni mapenzi kwa nchi mzee, tizama kizazi chako cha baadae vile kitakuja kuikuta Tanzania yao!
Ni fikra gani watakuwa nazo juu yenu ninyi watangulizi wao.
Be clear mzee mambo si mambo mkuu tumefeli as a nation.
waTanzania wote wanaonyesha hisia zao wazi wazi kwa Dr.Samia Suluhu Hassan, ndio maana kila mtu kwenye mkutano wake yuko radhi kuvua shati ili picha na jina la Dr Samia Suluhu Hassan viwekwe kwenye t-shirts, shati au kofia yake, what a love is that, mashalah!

Maendeleo yanayofanywa na huyu kiongozi mkuu wa nchi yatadumiu vizazi na vizazi vijavyo, dhamira na nia njema alonayo rais kwa waTanzania ndio haswa chimbuko la mapenzi hayo ya wazi wazi ya waTanzania wote kwa Dr Samia Suluhu Hassan, mpaka unachukia, dah 🤣 🐒
 
waTanzania wote wanaonyesha hisia zao wazi wazi kwa Dr.Samia Suluhu Hassan, ndio maana kila mtu kwenye mkutano wake yuko radhi kuvua shati ili picha na jina la Dr Samia Suluhu Hassan viwekwe kwenye t-shirts, shati au kofia yake, what a love is that, mashalah!

Maendeleo yanayofanywa na huyu kiongozi mkuu wa nchi yatadumiu vizazi na vizazi vijavyo, dhamira na nia njema alonayo rais kwa waTanzania ndio haswa chimbuko la mapenzi hayo ya wazi wazi ya waTanzania wote kwa Dr Samia Suluhu Hassan, mpaka unachukia, dah 🤣 🐒
We jamaa wewe hahahah ww ukipata dem anaekusifia tu utafilisika vibaya wewe 🤣🤣🤣
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Tumekuwa ma bwege mtozeni
 
Wewe una uhakika gani? Watu wana biashara zao kabla ,kama CCM inawalipa vizuri kabla ya kuwa na vyeo vya juu.


Wana vyanzo kibao vya mapato,pesa zipo sio nyie ombaomba ...Wenzetu wametoka mbali nyie nchi mmekuja kuijua juzi baada ya kuja mjini kutoka porini .🤣
Jipige kifua alafu sema kwa sauti "Mimi ni Mjinga"
Mkuu 'Lord', hivi umemwelewa vizuri 'Tanganian' na mawazo yake hapo juu?
Mawazo ya aina hiyo usidhani ni ya kipekee sana miongoni mwa jamii hii!
Na kwa bahati mbaya sana, hata ndani ya jamii inayozungumziwa na machizi wa aina hii, kuna watu wanao onyesha usahihi wa tabia hizo.
Maana anayolenga mwenzio ni kuwa kama wewe ni mtu wa "porini" hutakiwi kujuwa kitu kuhusu nchi(?); pengine kwa mawazo yake maana ya "nchi" ni kuwa mjini!
Unaweza kushangaa ukisikia huyu ni msomi hadi chuo kikuu, na pengine kashikilia cheo kukubwa serikalini!
 
We jamaa wewe hahahah ww ukipata dem anaekusifia tu utafilisika vibaya wewe 🤣🤣🤣
Gentleman,
kwanza si hongagi mapenzi wala kura mimi,

lakin pili,
mimi ni mtu wa kazi, ni mtu wa bidii na kusonga mbele. Sio mke wala watoto wangu wanaweza kunifilisi,

Just imagine,
JF tu naandika na kujieleza namna hii, je ikiwa ni jukwaani kwenye siasa au lectures room nawalisha madini wajuba?

unadhani itakuaje gentleman, aise acha kabisaa uwiiiiii? Mpaka nywele zinasisimuka!🐒
 
Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Pande Zote zina waadilifu na wasio waadilifu, inategemeana unayemchagua ni aina ya Bashite au Mrisho
 
Mimi uwa najiuliza Usalama wa Taifa kwenye hii wanafanyaga kazi gani au kazi ni kulinda Rais Peke yake hii mikataba mibovu yote usalama wataifa uwa wamekaa tu wanaiangalia so sad
Kazi yao kubwa ni kuiba uchaguzi wa vijiji na Serikali za mitaa. Wale ndo wajinga wa mwisho nchini
 
Gentleman,
kwanza si hongagi mapenzi wala kura mimi,

lakin pili,
mimi ni mtu wa kazi, ni mtu wa bidii na kusonga mbele. Sio mke wala watoto wangu wanaweza kunifilisi,

Just imagine,
JF tu naandika na kujieleza namna hii, je ikiwa ni jukwaani kwenye siasa au lectures room nawalisha madini wajuba?

unadhani itakuaje gentleman, aise acha kabisaa uwiiiiii? Mpaka nywele zinasisimuka!🐒
We jamaa umenifanya nicheke mno, unaweza kujieleza vipi wakati huwezi kutwngeneza facts rationally, huna critical thinking ila kwa Tanzania unaweza kuwa mwanasiasa 😂 nchi ai mahaiona ni jumba la sanaa kila mtu anajaribu kipaji chake.
 
Back
Top Bottom