Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

Nakuapia wakristo awatafanya makosa tena baada ya huu ushenzi wa mmakunguchi wa Masjid anaye ingia na mabasha hadi kwenye alkahaba ya mtume na kuinajisi huku waislamu mkiitikia twain twaib
😅😅😅😅😅 vijana tutafute pesa. Sema wakristo sio kabisa watu wakuishi nao ni watu makatili na wenye chuki sana hawa viumbe. Mimi nimekata biashara nao na pia nimewablock wote. Sijaona watu wenye roho na chuki mbaya kama hawa. Ukimuona nje ana bashasha ila moyo umejaa damu na chuki
 
Umepoteza muda wako mwingi sana..kufuatilia ujinga
 
Screenshot_20250301-122023_Facebook.jpg

Magufuri alituweza,kutuachia uchawa
 
Vyama hawajui hata kuchagua sare :CHADEMA wamechagua mavazi yale ya wadudu wa Arusha kama mgambo ,na ACT wazalendo kama Mbeya city ..Rangi ya nguo mpaka inaumiza macho halafu rangi yao sio nzuri kuvaa wanaume ..
😅😅😅😅😅😅😅😅 bro Nina hasira lakini nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na watanzania wanaojitambua ambao ni 80%
The rest basi wana nguvu maana yupo mpaka kesho ..Kiufupi nyie hamna nguvu ,waoga ...Sisi tulilianzisha mpaka Marekani itatoa ripot ya ugaidi🤣
 
Kama ni Rais ndo wavae t-shirt zenye sura yake? Ndo wavae t-shirt zenye jina lake?

Kwa hiyo ni Tanzania tu ndo tuna Rais au Kiongozi nchi zingine hawana? Mbona kwenye mataifa mengine ya watu wenye akili hawafanyi huo upuuzi wenu?
Pascal Mayalla ameandika thread ya maana sana hasa ukisoma ushauri alioutoa kwenye namba 5. Usawa kwenye ushindani wa kisiasa hauko sawa. Samia ameshaanza kampeni kwa mgongo wa ziara za kiserikali na ndio maana unaona uccm kwenye mikutano ya kiserikali. Kwa mtu yeyote mpenda haki hawezi kuikubali ccm labda kama haoni ushenzi wanaoufanya kama huo.

Thread ya Pascal Mayalla

Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?
 
Pascal Mayalla ameandika thread ya maana sana hasa ukisoma ushauri alioutoa kwenye namba 5. Usawa kwenye ushindani wa kisiasa hauko sawa. Samia ameshaanza kampeni kwa mgongo wa ziara za kiserikali na ndio maana unaona uccm kwenye mikutano ya kiserikali. Kwa mtu yeyote mpenda haki hawezi kuikubali ccm labda kama haoni ushenzi wanaoufanya kama huo.

Mada ya pascal mqyalla
Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?
Inawauma. Inawachoma. Nahisi ni wakiristo ndio wana chuki mama kuja tanga. Walitaka aende Rombo ba Moshi 😆😆 si mumuweke raisi mrombo kama vipi
 
Inawauma. Inawachoma. Nahisi ni wakiristo ndio wana chuki mama kuja tanga. Walitaka aende Rombo ba Moshi 😆😆 si mumuweke raisi mrombo kama vipi
Kwahiyo mkutano huo waliohudhuria wote ni waislam kwa sababu wakristo hawamkubali rais muislam?

Rombo na Moshi kuna miradi ya wachagga ya ufugaji nguruwe.
 
😅😅😅😅😅 vijana tutafute pesa. Sema wakristo sio kabisa watu wakuishi nao ni watu makatili na wenye chuki sana hawa viumbe. Mimi nimekata biashara nao na pia nimewablock wote. Sijaona watu wenye roho na chuki mbaya kama hawa. Ukimuona nje ana bashasha ila moyo umejaa damu na chuki
😁
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Na hasa Tanga na mikoa mingi ya pwani ndio kitovu cha ujinga, tubadilikeni vijana.
 
Nyerere aliwahi kuwa rais mwenye kufanya mapinduzi, mabadiliko na maendeleo kwa watanzania kwa wakati huo Tanzania ikiwa nchi changa yenye changamoto kwenye kila idara ila hakuwahi kutukuzwa kupitiliza kama rais wa sasa.

Tanzania tuna matatizo mengi kwa sasa.
1. Uzalendo umepungua kwa asilimia 90% kuanzia kwa viongozi mpaka kwa wananchi, hii inatokana na mwenendo wa uongozi uliopo, wananchi hawaoni moyo na matendo ya kizalendo kutoka kwa viongozi wao.

2. Kujitambua sisi kama nchi na kutambua muelekeo wa taifa letu imekuwa ni changamo kubwa hatutambui tunajitoaje kwenye umasikini, ujinga, uvivu, na maradhi.

3. Tumechoka na kukata tamaa, tumepoteza kitu muhimu ndani ya mioyo yetu sisi watanzania hatuna TUMAINI, kwa sababu, hatuioni nuru ya mabadiliko na maendeleo katika macho yetu, masikio ndiyo yamejaa jina la mama, masikio yanasikia promotions ya jina la mama kila kukicha ila nchi haina nuru iletayo tumaini tena.

4. Hatuna kitu cha kujivunia wala kujinadi nacho kwa nchi zingine na kutufanya watanzania kusimama kifua mbele na kujiamini kwa upana na ushupavu kuwa sisi ni watanzania tunajivunia kuwa watanzania, kila kitu kimekuwa kibaya.
 
Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.

Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.

Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.

Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.

Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505

"Africa is dying because we are electing Thieves to be the leaders in our countries."
Prof. PLO Lumumba.
 
Baba fisadi mama kahaba mtoto anauza ngada ....msemo huu ukiufitisha Tanzania unaona unafiti kwa marais wa dini gani
Hizi ni tabia za Watu hazichagui Dini, uhalifu unafanywa na waumini wa Dini zote.
 
Eti muheza ya samia!

Kuna jitu hapo nimeona limeshikilia kibendera kimeandikwa "Tanga hatukudai ila wewe ndiye unatudai"

Hii nchi nadhani imeshalaaniwa rasmi
Huu ujinga tuliofikia nahisi hadi shetani anatushangaa
 
Nyerere aliwahi kuwa rais mwenye kufanya mapinduzi, mabadiliko na maendeleo kwa watanzania kwa wakati huo Tanzania ikiwa nchi changa yenye changamoto kwenye kila idara ila hakuwahi kutukuzwa kupitiliza kama rais wa sasa.

Tanzania tuna matatizo mengi kwa sasa.
1. Uzalendo umepungua kwa asilimia 90% kuanzia kwa viongozi mpaka kwa wananchi, hii inatokana na mwenendo wa uongozi uliopo, wananchi hawaoni moyo na matendo ya kizalendo kutoka kwa viongozi wao.

2. Kujitambua sisi kama nchi na kutambua muelekeo wa taifa letu imekuwa ni changamo kubwa hatutambui tunajitoaje kwenye umasikini, ujinga, uvivu, na maradhi.

3. Tumechoka na kukata tamaa, tumepoteza kitu muhimu ndani ya mioyo yetu sisi watanzania hatuna TUMAINI, kwa sababu, hatuioni nuru ya mabadiliko na maendeleo katika macho yetu, masikio ndiyo yamejaa jina la mama, masikio yanasikia promotions ya jina la mama kila kukicha ila nchi haina nuru iletayo tumaini tena.

4. Hatuna kitu cha kujivunia wala kujinadi nacho kwa nchi zingine na kutufanya watanzania kusimama kifua mbele na kujiamini kwa upana na ushupavu kuwa sisi ni watanzania tunajivunia kuwa watanzania, kila kitu kimekuwa kibaya.
Umesema ya kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom