google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
nzagambadume, Kwa hiyo hizo ni nzuri ? Ku post lazima kama ulivyopost
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee vijana wa sikuhizi sielewi elimu zao wanasomea kitu gani nashangaa kuona kuna watu wameshindwa kumwelewa mtoa mada na FASIHI aliyotumia....Mtoa mada ametumia tungo tata wenye akili wameelewa. Vijana wa siku hizi akili ndogo sana sijui kama mngeweza kuyaelewa mashairi ya kina Shaaban Robert
Land cruiser V8 ni inanguvu kuliko hizo hardtopAf all zote ni 4WD. Pia kuwa V8 it doesn't mean kwamba ndo ina nguvu sana. Kuna L5 au L6 ambazo zinazi outperform v8 vizuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee vijana wa sikuhizi sielewi elimu zao wanasomea kitu gani nashangaa kuona kuna watu wameshindwa kumwelewa mtoa mada na FASIHI aliyotumia....
Kwanza hueleweki unalilia nini
Nchi ina changamoto ya barabara serikali ijitahidi kutatua changamoto kuliko kujisifia, kwani barabara zikiwa bora itakuwa siri? Si kila mtu ataona barabara nzuri?
Kuna maeneo serikali imejitahidi barabara ni nzuri na watu hupiga picha na kupost mbona hukuja kulalamika juu ya hilo?
Sheria zinazuia kupiga picha za maeneo ya mbuga za wanyama, na maeneo kama hayo na kusambaza bila ruhusa. Hiko ndio kilichotokea Arusha.Dah hivi inawezekana je mtu kama Bashiru anafanya kitendo kama hiki, ni ukatili kwa nchi yetu siyo kwa Gambo na Rpc peke yao.
Huu ni uhujumu uchumi ni kweli hauna jina lingine.
Hivi kaipost wapi au status yake ya whatsapp[emoji3][emoji3]
Sheria zinazuia kupiga picha za maeneo ya mbuga za wanyama, na maeneo kama hayo na kusambaza bila ruhusa. Hiko ndio kilichotokea Arusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshika mdomo kwa mshangao hapa baada ya kukuta huko Kenya kosa la kijinga la Mrisho Gambo wanambebesha Magufuli! Nikasema naye kayataka mwenyewe, ukimzoesha mbwa kucheza naye atakufata msikitini. Hawa vijana anawachekea sana acha wamtukanishe.
Kama hizi hapaSheria zinazuia kupiga picha za maeneo ya mbuga za wanyama, na maeneo kama hayo na kusambaza bila ruhusa. Hiko ndio kilichotokea Arusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe likija suala la kuzama halina chama! Wale Nyoko wanaotoa matamshi ya kipuuzi kama vile wamefunga choo waje hapaKwa kweli kama Watanzania hatutasimama pamoja na wazalendo wakubwa nchii hii yaani RC Gambo pamoja na RPC shana basi historia itatuhukumu sana
Jana nimeweka picha ya jaji namba 62 alivyopost picha ya kuidhalilisha nchi na kuhujumu uchumi leo tena tunaona Dr Bashiru kafanya the same,tunaomba Rais Magufuli uingilie kati uchukue hatua kali dhidi ya bashiru na yule jaji ili umpe moyo kijana wako mpendwa ambaye unamuamini yaani Rc Gambo katika kulipigania taifa
Jamani tupo kwenye vita ya kiuchumi,kupost haya mapicha yanayodaiwa kuwa ni barabara mbovu ni kuhujumu uchumi,haikubaliki,maadaui wanaweza wakajiona wameshinda kisaikolojia
NAUNGANA NA RC GAMBO NA RPC SHANA KATIKA KUISHINDA VITA HII YA WANAOPOST BARABARA MBOVU kama kweli ni mbovu si watoe taarifa kwa wahusika zitengenezwe?
View attachment 1362619
Tuliza akili mkuu, utaelewa anacho kisema mleta UZIWewe ni bomu takataka kama kweli inatoka moyoni mwako au kama unakejeli ya Gambo, then fine!
Aisee !!Nimeshika mdomo kwa mshangao hapa baada ya kukuta huko Kenya kosa la kijinga la Mrisho Gambo wanambebesha Magufuli! Nikasema naye kayataka mwenyewe, ukimzoesha mbwa kucheza naye atakufata msikitini. Hawa vijana anawachekea sana acha wamtukanishe.
View attachment 1362991
Sent using Jamii Forums mobile app