Inasikitisha, Nimelia sana: Hii picha ya Dr Bashiru ni usaliti mkubwa, sikutarajia

Huyu mhujumu uchumi anabahati hajapost Barbara za arusha sipati picha RPC Shana angemfanya nini, kama meza ya mbao za mninga ilikatika vipande viwili kwa ngumi zile nzito za kamanda Shana alivokuwa ajiapiza kumshughulikia lema, huyu bashiru angepata tabu sana.
 

Ikiwa fasihi hii ya darasa la 3 imekushinda, wewe pia unatuhujumu oxgen huku kitaa.
 
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghoshaa 😁😂😃😄😅
 
Dah hivi inawezekana je mtu kama Bashiru anafanya kitendo kama hiki, ni ukatili kwa nchi yetu siyo kwa Gambo na Rpc peke yao.
Huu ni uhujumu uchumi ni kweli hauna jina lingine.



Hivi kaipost wapi au status yake ya whatsapp[emoji3][emoji3]
Sheria zinazuia kupiga picha za maeneo ya mbuga za wanyama, na maeneo kama hayo na kusambaza bila ruhusa. Hiko ndio kilichotokea Arusha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe likija suala la kuzama halina chama! Wale Nyoko wanaotoa matamshi ya kipuuzi kama vile wamefunga choo waje hapa

Kitochi Original
 
Ni kweli nchi nzima hali Sio nzuri kwa sababu ya hali ya mvua nyingi kupost Sio kupotosha naona ni njia ya kuwakumbushawahusika
 
Jamani kwani hamjui kuwa sheria ni shoka,yaani inachagua pakukata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…