Mkuu hiyo ilikuwa dhihaka kwa Gambo na Shana.Wewe ni bomu takataka kama kweli inatoka moyoni mwako au kama unakejeli ya Gambo, then fine!
Kweli, kutalii changamoto lazima ziwepo unachangamka kiasi fulani, na changamoto huwa kunaleta umoja fulani mkiwa vacationKutalii ni pamoja na changamoto hizo,unamuwekea mzungu lami mbugani then what?kwao huko lami mpk chooni adventure hizi Ndo wanapenda. Hawezi sema alikua Africa huku kapepewa tu mda wote.
Akwame km hapo juu,aibiwe kidogo, atafunwe, atafune binti zetu apige ganja na nyagi akirudi kwao anajitanua mwenzio km mår survive Africa.
AminaKwa kweli kama Watanzania hatutasimama pamoja na wazalendo wakubwa nchii hii yaani RC Gambo pamoja na RPC shana basi historia itatuhukumu sana
Jana nimeweka picha ya jaji namba 62 alivyopost picha ya kuidhalilisha nchi na kuhujumu uchumi leo tena tunaona Dr Bashiru kafanya the same,tunaomba Rais Magufuli uingilie kati uchukue hatua kali dhidi ya bashiru na yule jaji ili umpe moyo kijana wako mpendwa ambaye unamuamini yaani Rc Gambo katika kulipigania taifa
Jamani tupo kwenye vita ya kiuchumi,kupost haya mapicha yanayodaiwa kuwa ni barabara mbovu ni kuhujumu uchumi,haikubaliki,maadaui wanaweza wakajiona wameshinda kisaikolojia
NAUNGANA NA RC GAMBO NA RPC SHANA KATIKA KUISHINDA VITA HII YA WANAOPOST BARABARA MBOVU kama kweli ni mbovu si watoe taarifa kwa wahusika zitengenezwe?
View attachment 1362619
Well saidi mkuuKutalii ni pamoja na changamoto hizo,unamuwekea mzungu lami mbugani then what?kwao huko lami mpk chooni adventure hizi Ndo wanapenda. Hawezi sema alikua Africa huku kapepewa tu mda wote.
Akwame km hapo juu,aibiwe kidogo, atafunwe, atafune binti zetu apige ganja na nyagi akirudi kwao anajitanua mwenzio km mår survive Africa.
Gambo alizungumzia kupost barabara mbovu za mbugani sio za nchi nzimaKwa kweli kama Watanzania hatutasimama pamoja na wazalendo wakubwa nchii hii yaani RC Gambo pamoja na RPC shana basi historia itatuhukumu sana