Inasikitisha sana: Mfahamu adui wa Yanga, Fouz Lekjaa) aliyeko Morocco

Inasikitisha sana: Mfahamu adui wa Yanga, Fouz Lekjaa) aliyeko Morocco

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mwaka jana mwezi March wakati Motsepe anachaguliwa kuwa Rais wa Caf katika mkutano uliofanyika Rabat Moroko kiu na hamu ya wengi ilikuwa ni kumuona CEO Senzo na Injinia Hersi wa Yanga wakitia team mkutanoni

Kiu hiyo siyo ya wabongo ni wadau mbalimbali wa Afrika waliokuwa na hamu wa kuona mabingwa hao wa kihistoria na unaambiwa kabisa kulikuwa na session ya kuelezea jinsi klabu za afrika zilivyochangia ukombozi na uhuru hapo ndipo Yanga walitakiwa watoe speech kuelezea jinsi walivyoikomboa Tanganyika

Amini usiamini hawakualikwa jamani,wakati mwaka huu adui yao Karia kaamua kumualika Senzo baada ya kujua hayupo tena pale na kuwaalika simba mwaka jana adui yao ni Rais wa shirikisho la soka Moroko aitwaye FOUZ LEKJAA , haijajulikna hadi sasa kwaninini Lekjaa alimualika Barbara na kuwakazia Yanga.

Mkutano wa 43 na 44 yote wamefanyiwa roho mbaya sana

moroccc.JPG
rabat.JPG
 
Huyu ni Mwanasimba ambaye ameamua siku hizi kuwakejeli Yanga kwa kujifanya MwanayangaSoma between the lines
 
Ukisikia uongo wa kutukuka ndio huu... sasa
 
Ukisikia uongo wa kutukuka ndio huu... sasa
Ni kweli mkuu, sijui kwa nini Yanga inaogopeka hivi hiyo ilikuwa the 43 th general assembly Rabat morroco alichokifanya Huyo Rais wa soka ndicho amekifanya karia kwenye 44th general assembly, wamekataa kutoa mwaliko kwa mabingwa wa kihistoria
 
Mwaka jana mwezi March wakati Motsepe anachaguliwa kuwa Rais wa Caf katika mkutano uliofanyika Rabat Moroko kiu na hamu ya wengi ilikuwa ni kumuona CEO Senzo na Injinia Hersi wa Yanga wakitia team mkutanoni

Kiu hiyo siyo ya wabongo ni wadau mbalimbali wa Afrika waliokuwa na hamu wa kuona mabingwa hao wa kihistoria na unaambiwa kabisa kulikuwa na session ya kuelezea jinsi klabu za afrika zilivyochangia ukombozi na uhuru hapo ndipo Yanga walitakiwa watoe speech kuelezea jinsi walivyoikomboa Tanganyika

Amini usiamini hawakualikwa jamani,wakati mwaka huu adui yao Karia kaamua kumualika Senzo baada ya kujua hayupo tena pale na kuwaalika simba mwaka jana adui yao ni Rais wa shirikisho la soka Moroko aitwaye FOUZ LEKJAA , haijajulikna hadi sasa kwaninini Lekjaa alimualika Barbara na kuwakazia Yanga.

Mkutano wa 43 na 44 yote wamefanyiwa roho mbaya sana

View attachment 2321703View attachment 2321704
Yanga tunaonewa sana safari hii hatukubali lazima mtu afungwe kama pipi.
 
La Karia na Yanga linajulikana siku nyingi tu.

Yanga mnachotakiwa kufanya ni kushinda mechi zenu, heshima itarudi tu
La karia linajulikana lakini mwaka jana pia huyo m-moroko aliwafanyia mtimanyongo kama huu aliwanyima mwaliko akamualika Barbra
 
Mwaka jana mwezi March wakati Motsepe anachaguliwa kuwa Rais wa Caf katika mkutano uliofanyika Rabat Moroko kiu na hamu ya wengi ilikuwa ni kumuona CEO Senzo na Injinia Hersi wa Yanga wakitia team mkutanoni

Kiu hiyo siyo ya wabongo ni wadau mbalimbali wa Afrika waliokuwa na hamu wa kuona mabingwa hao wa kihistoria na unaambiwa kabisa kulikuwa na session ya kuelezea jinsi klabu za afrika zilivyochangia ukombozi na uhuru hapo ndipo Yanga walitakiwa watoe speech kuelezea jinsi walivyoikomboa Tanganyika

Amini usiamini hawakualikwa jamani,wakati mwaka huu adui yao Karia kaamua kumualika Senzo baada ya kujua hayupo tena pale na kuwaalika simba mwaka jana adui yao ni Rais wa shirikisho la soka Moroko aitwaye FOUZ LEKJAA , haijajulikna hadi sasa kwaninini Lekjaa alimualika Barbara na kuwakazia Yanga.

Mkutano wa 43 na 44 yote wamefanyiwa roho mbaya sana

View attachment 2321703View attachment 2321704
Ukiacha kikwete na Baba yangu wengine wote Yanga hawana akili(Manara,2020)
 
Yaani utopolo kila siku ni kilio, au kutaka kuandamana kwenda kwa mama 😂
 
Back
Top Bottom