Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

Ile ni timu ya mtu binafsi, na mwenyewe halalamiki.
Yanga SC ingekuwa ya Wanachama kila Kitu kingefanywa na GSM mpaka Toilet Papers za Vyoo vya Mwenyekiti wenu Msolla na Mwakalebela zinanunuliwa nao GSM na wameachwa wafanye lile walitakalo ndani ya Yanga SC?

Yanga SC ingekuwa ni ya Wanachama ( nyie ) mngekubali katika Tsh 35,000/= ya kila Jezi zenu Yanga SC ( nyie ) mchukue Tsh 1,700/= tu na Wao GSM wachukue Tsh 33,300/=?

Aliyekuwa Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) hakukosea aliposema Mubashara kuwa Wana Yanga SC ni Wapumbavu, Nyani, Mbwa na Sokwe.
 
Acheni uswahili, afu hii kutaja taja watu bila ushahidi ndio mnawapa akina Melo kazi ya kushinda mahakamani kupigania watu walioropoka huku.
Watu wengine wanaomtuhumu Rais Samia 24/7 hapa JamiiForums au Viongozi wengine Waandamizi huwa pia unawaambia waweke Ushahidi?

Pumbavu....!!!
 
Usisababishe nikaweka hapa hadharani na mengineyo ayafanyayo Kuihujumu Simba kwa Kushirikiana na Yanga SC yake huku akitumia hicho Cheo chake sawa?

Ukiona naanzisha Uzi jua najiamini nao.
Sema sasa ivi tatizo la ticket limeisha wanasimba kateni za kutosha na vituo vimeongezwa

instagram.jpg
 
Sema sasa ivi tatizo la ticket limeisha wanasimba kateni za kutosha na vituo vimeongezwa

View attachment 1941488
Kwahiyo mpaka tuwashtukie na tupaze Sauti kuanzia Jana na hii leo ndipo walegeze?

Mbona juhudi hizi hazikufanyika tokea Siku ya Jumatatu ( mapema ) na zimefanyika bado Siku Mbili tu?

Kwahiyo hao N-CARD na hawa Viongozi niliowataja wameona Wameshatuhujumu ndiyo wanaachia?
 
Hata ukibanaje kwa Mnyama hawezi kukuacha salama.simba Ni taasisi kubwa braza

Hatuhitaji promo Simba yenyewe tu inapendeka
 
Kwahiyo mpaka tuwashtukie na tupaze Sauti kuanzia Jana na hii leo ndipo walegeze?

Mbona juhudi hizi hazikufanyika tokea Siku ya Jumatatu ( mapema ) na zimefanyika bado Siku Mbili tu?

Kwahiyo hao N-CARD na hawa Viongozi niliowataja wameona Wameshatuhujumu ndiyo wanaachia?
Wanazingia sana sema sasa ivi ziko zinatembea

Tiketi_za_VIP_A_zimeisha_🙌%0A%0AKwasasa_unaweza_kununua_VIP_B&C_au_Mzunguko._#SimbaDay2021_#On...jpg
 
Sema tu Simba haina muhamasishaji tena usisingizie hujuma. Haji anajua kuhamasisha.. Pengo lake limeshaanza kuonekana.
Mkuu mwaka jana kwenye tamasha la yanga walijaza kuliko la simba je manara alikuwepo yanga? Kama ulifatilia ligi ya Tanzania msimu uliopita pia mechi za taifa za yanga na za simba nani alikuwa anapata mashabiki wengi.
 
Kwahiyo kama alikuhamasisha wewe ndiyo unaona mashabiki wote wa Simba wako kama wewe ?
Na mimi ndo nnavotaka iwe hivyohivyo. Watu wote tukifanana maisha yatakua hayanogi mkuu. Akili yangu na yako zikifanana wewe ukiongea utumbo mi ntaona upo sahihi tu
 
Watajwa hapo juu katika Headline yangu acheni Kutumia Uyanga wenu uliopitiliza kwa Kuihujumu Simba SC kwa kupitia Madaraka yenu ya Kiserikali mliyonayo kwani msipoangalia mtaleta Chuki, Mgawanyiko na kumfanya Rais Samia achukiwe na wana Simba SC kisha imgharimu pia Kisiasa.

Tunajua kuwa mpo katika Kikosi Kazi Maalum cha wana Yanga SC walioko Serikalini na wenye Nyadhifa Kubwa kutumika Kuihujumu Simba SC kwa kila namna kwa Maagizo ya Mstaafu Mmoja mwana Yanga SC lia lia mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya Rais Samia ( Bi. Hangaya )

Waziri Dk. Nchemba unajulikana hujawahi kuipenda Simba SC na kuna Kipindi ulipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ulitumia Nguvu kubwa sana Kuihujumu Simba SC pale ilipocheza na Prisons FC ya Mbeya ila wana Simba SC tulikunyamazia kwakuwa tumetawaliwa na Uungwana Uliotutukuka.

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Abbas Wewe ndiyo hata huwa hufichi Chuki zako za Wazi kwa Klabu ya Simba na ndiyo maana ulipokuwa Msemaji wa Serikali hukupenda kabisa Umaarufu mkubwa wa aliyekuwa Msemaji wa Simba SC Haji Manara uendelee na ulimkalia sana Vikao vya Kumchukulia Hatua ila Busara za Wakubwa wako zilitawala na ukatulia japo hukumpenda kwa alikuwa akikufunika Kiumaarufu Tanzania.

Waziri Dk. Nchemba na Katibu Mkuu Dk. Abbas msidhani wana Simba SC tulio na Akili nyingi na kubwa ( za Kuzaliwa nazo ) tena za Kuwazidi japo mna Doctorates zenu akina Mightier hatujui nini mnakifanya katika Kuihujumu Simba SC kwa Kushirikiana na Watu wa Data akina N-CARD ili Klabu ya Simba ikose Mapato na katika Siku ya Simba Day Jumapili tarehe 19 Septemba, 2021 Uwanja usijae ili nyie Wana Yanga SC Waandamizi na Yanga SC wengine muicheke Simba SC kuwa haikujaza katika Tamasha lao kama lenu.

Mwisho namalizia tu kwa Kuwataarifu Waziri Dk. Nchemba na Katibu Mkuu Dk. Abbas kuwa Klabu ya Simba leo kupitia Matawi yake yote inafanya DUA ya Kuiombea Baraka Klabu na ya Kuwaombea MABAYA wale wote wenye Hila, Husuda na Roho Mbaya dhidi ya Simba SC na Wanatumika kwa kila namna katika Kuihujumu.

Msije tu kusema Mightier sikuwaonyeni.
Hivi wewe uwa unajielewa kweli?
 
Yanga SC ingekuwa ya Wanachama kila Kitu kingefanywa na GSM mpaka Toilet Papers za Vyoo vya Mwenyekiti wenu Msolla na Mwakalebela zinanunuliwa nao GSM na wameachwa wafanye lile walitakalo ndani ya Yanga SC?

Yanga SC ingekuwa ni ya Wanachama ( nyie ) mngekubali katika Tsh 35,000/= ya kila Jezi zenu Yanga SC ( nyie ) mchukue Tsh 1,700/= tu na Wao GSM wachukue Tsh 33,300/=?

Aliyekuwa Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) hakukosea aliposema Mubashara kuwa Wana Yanga SC ni Wapumbavu, Nyani, Mbwa na Sokwe.
Officially Yanga ni timu ya wanachama, Simba ni timu ya Mo Dewji na yeye hamlalamikii Msingida mwenzake Mwigulu.
Kwa hiyo wewe tuliza, uangalie mpira.
Hiyo officially.
 
Back
Top Bottom