Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

Ile ni timu ya mtu binafsi, na mwenyewe halalamiki.
Yanga SC ingekuwa ya Wanachama kila Kitu kingefanywa na GSM mpaka Toilet Papers za Vyoo vya Mwenyekiti wenu Msolla na Mwakalebela zinanunuliwa nao GSM na wameachwa wafanye lile walitakalo ndani ya Yanga SC?

Yanga SC ingekuwa ni ya Wanachama ( nyie ) mngekubali katika Tsh 35,000/= ya kila Jezi zenu Yanga SC ( nyie ) mchukue Tsh 1,700/= tu na Wao GSM wachukue Tsh 33,300/=?

Aliyekuwa Kocha wenu Luc Eymael ( Raia wa Belgium ) hakukosea aliposema Mubashara kuwa Wana Yanga SC ni Wapumbavu, Nyani, Mbwa na Sokwe.
 
Acheni uswahili, afu hii kutaja taja watu bila ushahidi ndio mnawapa akina Melo kazi ya kushinda mahakamani kupigania watu walioropoka huku.
Watu wengine wanaomtuhumu Rais Samia 24/7 hapa JamiiForums au Viongozi wengine Waandamizi huwa pia unawaambia waweke Ushahidi?

Pumbavu....!!!
 
Usisababishe nikaweka hapa hadharani na mengineyo ayafanyayo Kuihujumu Simba kwa Kushirikiana na Yanga SC yake huku akitumia hicho Cheo chake sawa?

Ukiona naanzisha Uzi jua najiamini nao.
Sema sasa ivi tatizo la ticket limeisha wanasimba kateni za kutosha na vituo vimeongezwa

 
Sema sasa ivi tatizo la ticket limeisha wanasimba kateni za kutosha na vituo vimeongezwa

View attachment 1941488
Kwahiyo mpaka tuwashtukie na tupaze Sauti kuanzia Jana na hii leo ndipo walegeze?

Mbona juhudi hizi hazikufanyika tokea Siku ya Jumatatu ( mapema ) na zimefanyika bado Siku Mbili tu?

Kwahiyo hao N-CARD na hawa Viongozi niliowataja wameona Wameshatuhujumu ndiyo wanaachia?
 
Hata ukibanaje kwa Mnyama hawezi kukuacha salama.simba Ni taasisi kubwa braza

Hatuhitaji promo Simba yenyewe tu inapendeka
 
Wanazingia sana sema sasa ivi ziko zinatembea

 
Sema tu Simba haina muhamasishaji tena usisingizie hujuma. Haji anajua kuhamasisha.. Pengo lake limeshaanza kuonekana.
Mkuu mwaka jana kwenye tamasha la yanga walijaza kuliko la simba je manara alikuwepo yanga? Kama ulifatilia ligi ya Tanzania msimu uliopita pia mechi za taifa za yanga na za simba nani alikuwa anapata mashabiki wengi.
 
Kwahiyo kama alikuhamasisha wewe ndiyo unaona mashabiki wote wa Simba wako kama wewe ?
Na mimi ndo nnavotaka iwe hivyohivyo. Watu wote tukifanana maisha yatakua hayanogi mkuu. Akili yangu na yako zikifanana wewe ukiongea utumbo mi ntaona upo sahihi tu
 
Hivi wewe uwa unajielewa kweli?
 
Officially Yanga ni timu ya wanachama, Simba ni timu ya Mo Dewji na yeye hamlalamikii Msingida mwenzake Mwigulu.
Kwa hiyo wewe tuliza, uangalie mpira.
Hiyo officially.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…