Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

Pale Benjamin Mkapa kwa Yanga ni padogo kwakua katika Siku ya wananchi mashabiki Wali ujaza uwanja mapema Sana na mbaka mageti yanafungwa ili watu wasi endelee kuingia.
Idadi ya waliobahatika kuingia na walio kosa kuingia na kubaki nje zilikua zikitofautiana kidogo Sana. Ili Yanga wawe katika full scale Inabidi uwepo uwanja wa kubeba watu 120,000.
 
Mimi nilikua shabiki wa Simba wa kimyakimya coz niliona soka la bongo mizinguo ila maneno ya Manara yalinivuta kunifanya nianze kufuatilia mechi za Simba. Jamaa ana kasoro zake ila kazi yake anaiweza.

[emoji3][emoji3][emoji3] kama uliipenda Simba sababu ya Manara ni wakati sahihi ukamfuata aliko sasa
 
Simba ili kuondoa aibu ya kuto ujaza uwanja, wangetumia shamba la Bibi. Kutaka kushindana na Wananchi hawawezi, Wananchi hawaitaji promo wenyewe wanakwenda kwa mapenzi.
Wao wanaenda na Kapumbu
 
Unaamka unawashwa umbea asubuhi asubuhi, kwa sababu unajiona ni bingwa wa kupigwa mjengo, sisi wengine marinda tunang'oa kabisa.
Naona baada ya kukosa Wateja kwa muda mrefu na Soko lako Kudumaa sasa kwa njia ya Kiubunifu na Kishujaa kabisa umeamua Kutangaza ( Kututangazia ) Biashara yako ya Ushoga.

Usijali umesikika na Wateja watakuona.
 
Sema tu Simba haina muhamasishaji tena usisingizie hujuma. Haji anajua kuhamasisha.. Pengo lake limeshaanza kuonekana.
Wewe pumba..fu unaambiwa system ina shida. Kwani mhamasishaji unataka auhamasishe mtandao.? Utopolo ni Utopolo tu hamnaga akili kabisa! Pundugu!
 
Simba ili kuondoa aibu ya kuto ujaza uwanja, wangetumia shamba la Bibi. Kutaka kushindana na Wananchi hawawezi, Wananchi hawaitaji promo wenyewe wanakwenda kwa mapenzi.
Pumba...fu kabisa!
 
Nigeria unakwenda mkuu?
 
Mfano wako wala hau apply kabisa hapa.Kwamba Manara alikuwa ni “Mzazi” wa Mashabiki?
Yes ,manara ni mzazi wa mashabiki wa Utopolo kulingana na comment yake
 
Hamna jipya hapo.Manara ana uwezo mkubwa sana wa hamasa hamsha hamsha hicho ni kipaji chake Mungu kamjalia
 
Naona baada ya kukosa Wateja kwa muda mrefu na Soko lako Kudumaa sasa kwa njia ya Kiubunifu na Kishujaa kabisa umeamua Kutangaza ( Kututangazia ) Biashara yako ya Ushoga.

Usijali umesikika na Wateja watakuona.
Ndio inakuweka mjini, ndio maana lopolopo. Punguza japo kidogo ili dishi lirudie hali kawaida.
 
Simba ili kuondoa aibu ya kuto ujaza uwanja, wangetumia shamba la Bibi. Kutaka kushindana na Wananchi hawawezi, Wananchi hawaitaji promo wenyewe wanakwenda kwa mapenzi.
Endeleeni kwenda kuujaza uwanja kwa mapenzi ndo maana wanigeria hawataki kuchezea gemu wamepata mpenzi kiulaini saiv wanajilia tu kwa kwenda mbele, WAPI MAMA J kipenzi cha WANANCHI DEIIIIIIII
 
Ukiwasikiliza Mashabiki wa Yanga,ni kama wameshajikatia tamaa kabisa na matokeo ya uwanjani,wameamua kuwa washindani nnje ya uwanja.
Kweli kabisa, wamekua watu wa kuzusha vitu vya nj'e ya uwanja, msemaji wao leo katumia dakika nyingi kujisifia timu yao imekodisha Airbus go and return, sasa sijui iyo ndege ya ATCL ndio itapindua matokeo?? Yaani kuwa mshabiki wa yanga mbovu ni stupid to be honest
 
Intera amwe utamjuwa tu hata kwa maandishi yake, yamejaa chuki, uchochezi na unafiki kibao. Rubbish.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…