Inasikitisha unamtoa madarakani kisa ni dikteta unaingiza dikteta mwingine mamlakini

Inasikitisha unamtoa madarakani kisa ni dikteta unaingiza dikteta mwingine mamlakini

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Uganda wanapitia kipindi kigumu sana chini ya dictator Museveni. Leo nimesikia DW ya ujerumani inasikitisha sana watu wanauawa na kuswekwa ndani kila kukicha kisa tu dictator hataki kukosolewa kabisa na yeyote. Bora hata JPM yeye alikuwa anawaua watu kisiri Siri lakini huyu anawaua hadharani kabisa.

Sijui kulikuwa na haja gani ya kumtoa Idd Amin wakati mnaingiza dictator hatari kuliko Idd Amin.

Alijaribu kujificha kwenye kichaka cha ushoga ili tu kuwahadaa wananchi kuwa hapendi dhambi kumbe ni muuaji wa kufa mtu. Wakina mama leo walikuwa wanalia sana kwamba watoto wao wanauawa daily na maaskari wanaotumwa na mamlaka.
 
Kuna kitu kinakuja sio muda hapo kwa Rais Mzee Hadi anaburuza miguu.
 
Na baada ya yeye kufa au kupoteza uwezo wa kutawala kwa sababu ya uzee, ATAMRITHISHA mwanaye wa kiume Muhoozi Kainerugaba.

Uganda kwisha kazi, imebakia nchi ya kifalme inayotawaliwa na ukoo mmoja. Hata Rwanda ni hivyo hivyo, baada ya Paul Kagame atakuja mwanaye.

Nafuu Kenya na Tanzania pamoja na madhaifu ya 'demokrasia zao' lakini hakuna mtu anatoboa zaidi ya miaka 10 kuanzia Nyerere alipo ng'atuka mwaka 1985
 
Na baada ya yeye kufa au kupoteza uwezo wa kutawala kwa sababu ya uzee, ATAMRITHISHA mwanaye wa kiume Muhoozi Kainerugaba.

Uganda kwisha kazi, imebakia nchi ya kifalme inayotawaliwa na ukoo mmoja. Hata Rwanda ni hivyo hivyo, baada ya Paul Kagame atakuja mwanaye.

Nafuu Kenya na Tanzania pamoja na madhaifu ya 'demokrasia zao' lakini hakuna mtu anatoboa zaidi ya miaka 10 kuanzia Nyerere alipo ng'atuka mwaka 1985
Akiondoka vita vya wenyewe kwa wenyewe haviepukiki. Hata jirani yake akiondoka vita ya wenyewe kwa haviepukiki.
 
Akiondoka vita vya wenyewe kwa wenyewe haviepukiki. Hata jirani yake akiondoka vita ya wenyewe kwa haviepukiki.
Sio kweli, hizi ni lugha za kuhalalisha wahuni kuendelea kukaa madarakani.
 
Mkapa na Kikwete walipokuwa wanaua wakati wa chaguzi za Zanzibar nao walikuwa madikteta?
Wote madictator ila jpm alitaka kuwazidi tu. Mana yeye alizima mpaka internet wakati wa uchaguzi ili polisi watuue vizuri mana hakuna wa kuripoti
 
Uganda wanapitia kipindi kigumu sana chini ya dictator Museveni. Leo nimesikia DW ya ujerumani inasikitisha sana watu wanauawa na kuswekwa ndani kila kukicha kisa tu dictator hataki kukosolewa kabisa na yeyote. Bora hata JPM yeye alikuwa anawaua watu kisiri Siri lakini huyu anawaua hadharani kabisa.

Sijui kulikuwa na haja gani ya kumtoa Idd Amin wakati mnaingiza dictator hatari kuliko Idd Amin.

Alijaribu kujificha kwenye kichaka cha ushoga ili tu kuwahadaa wananchi kuwa hapendi dhambi kumbe ni muuaji wa kufa mtu. Wakina mama leo walikuwa wanalia sana kwamba watoto wao wanauawa daily na maaskari wanaotumwa na mamlaka.
Eti magufuli alikuwa anawa ua kwa siri!, una kiwango kikubwa sana cha upumbavu kichwani mwako.
 
B


Ben saa nane na azori gwanda. Hii ni mifano ya dhahiri ila Kuna makundi mengi ya watu walikuwa wanakutwa coco beach miili inaelea elea tu
Hujui lolote wewe,azory gwanda alikuwa mwana siasa mpk auliwe na jpm?, na hata huyo unayemwita saa nane!,kwa sababu ipi mpk auliwe na jpm!?, alikuwa na umaarufu upi mpk awe kitisho kwenye utawala wa jpm?!. Wakati mwingine tuache chuki za kishetani.hata kama sisi ni wapinzani,ifikie kipindi tujifunze kusema ukweli,wananchi wanao tusoma wana akili za kuchuja pumba na Michele.
 
Hujui lolote wewe,azory gwanda alikuwa mwana siasa mpk auliwe na jpm?, na hata huyo unayemwita saa nane!,kwa sababu ipi mpk auliwe na jpm!?, alikuwa na umaarufu upi mpk awe kitisho kwenye utawala wa jpm?!. Wakati mwingine tuache chuki za kishetani.hata kama sisi ni wapinzani,ifikie kipindi tujifunze kusema ukweli,wananchi wanao tusoma wana akili za kuchuja pumba na Michele.
JPM kama angetaka kuua basi namba moja angekuwa JK,Membe,Kinana, January,Nape nk lakini Mzee wa watu yeye alikuwa anataka kubadilisha mfumo wa uongozi wa nchi.
Watu walikuwa wanauwawa na kukutwa Baharini ule ulikuwa umafia wa JK na Genge lake ili kimchafua JPM kwasababu aliwabana sana ila inahitaji akili kubwa kutambua.
Ata Mo ni kundi hilohilo la Wahuni ili kuchafua serikali kimataifa kwasababu ya status ya Mo!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom