Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtetezi wa uharamia, endelea tuone utaishia wapiKuna watoto baba zao wanashinda kwenye vilabu vya pombe, unategemea nini?
Unapanda mbigili unatarajia kuvuna mpunga?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwa kiasi fulani Kuna ukweli mchungu sana kuhusu Hoja yake hiyo, tuikubali hivyo hivyo japokuwa ni chungu.Mtetezi wa uharamia, endelea tuone utaishia wapi
Acha dhihaka sababu wewe unacho usizani wanapenda kuwa masikini na kushinda hayo maeneoKuna watoto baba zao wanashinda kwenye vilabu vya pombe, unategemea nini?
Unapanda mbigili unatarajia kuvuna mpunga?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wacha dhihaka wewe uliyeweka picha za watoto na kuwadhania kuwa ni masikini.Acha dhihaka sababu wewe unacho usizani wanapenda kuwa masikini na kushinda hayo maeneo
Tupe michongo bro!!!Mungu ametupa freewill so kuwa tajiri au masikini ni maamuzi yako tu we chagua upande ulio mwema kwako
Uzi ufungwe ah ushamaliza Kila kitukosa hapo liko wapi?,ukitaka kuzaa jipange kuhudumia wanao.
NaamUshajiuliza aliyepost hivyo mwanae anasoma wapi?
Tutengeneze hoja Zenye mashiko Kama kwel tuna lengo la kuokoa taifa letu
Chizi hilo unapoteza muda tuMtetezi wa uharamia, endelea tuone utaishia wapi
That is itSomething wrong.
Mabepari washatia mguu kitambo tangu Mwigulu akiwa kijana wa primary. Hivyo kupambana na mfumo dhalimu si kazi ndogo. Jitahidi nawe ujijengee mfereji