Inasikitisha. Watoto wa walipa tozo na watoto wa wakusanya tozo

Kuna watoto baba zao wanashinda kwenye vilabu vya pombe, unategemea nini?

Unapanda mbigili unatarajia kuvuna mpunga?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Leo nakuunga mkono ajuza. Umeongea maneno ya maana sana japo huwa sikukubali
Kumbe nje ya Mada za Dini una uwezo wa kutoa point kiasi hiki😂. Ingekua mada ya dini ungeshatoa boko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…