Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
MODS FUNGA UZI HUU. NI UWONGO hapa siyo Tanzania.Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
View:
Babu upo!??Saa 9 HII Wewe kunja Goti umuombe MUNGU Muda huu wanasema mbingu zinakua zimefunguka ukiomba chochote Muda huu unatapa,
Ps: Muda huu ndio Muda ambao hata Wezi wakiiba huku wanamuomba Mungu hawakamatwi Muda huu walinzi wamelala wamechoka kukaa Macho
Simba na tembo ni wengi sana mbaka wengine huvamia makazi na mashamba kwaiyo kuwapunguza kidogo sio kosaKwa nini wauwe simba tena kwa kujifurahisha tu kisa pesa au kuenjoy kuua???Kama ni pesa si tutafute vyanzo vingine vya mapato?Simba wenyewe wachache hawa...
Wawache nature ichukue mkondo wake...na nature imekuwa ikifanya hivyo for hundreds of years.Binafamu tu waharibifu sana
Kuna hao wa vibali, naamini kwa jamii yetu hawakosekani wa rushwa(magendo)Mkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Kwani wakiwaacha waendelee na maisha yao huko mwituni wanapata hasara gani, mimi naona kama ni uchokozi vile atiMkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Wanyama wanaongezeka sana,acha wapunguzwe,tembo wanasumbua sana wakulimaMkuu kwani ukiwa na wengi ndio huweI kuwaua?
Wataongezeka na kudhuru watu,huko namibia tembo wamezidi sanaKwani wakiwaacha waendelee na maisha yao huko mwituni wanapata hasara gani, mimi naona kama ni uchokozi vile ati
noma sana!Tembo wanakula mazao na kuua watu. Tumefuga vitu visivyo na faida
SawaWataongezeka na kudhuru watu,huko namibia tembo wamezidi sana
Unafikiri hizo permits za uwindaji huwa zinatolewa kwa weledi?Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa.
Miaka ya 1800 mbona simba walikuwepo na hakukuwa na uwindaji rasmiMkuu, Simba Hana natural predator huko mwituni….wakiachwa tu itaanza kuwa tabu kwa wanyama wengine plus binadamu.
Hutakuwa na swala au nyumbu nk iwapo simba hawata-contro-liwa. Pia binadamu naye hatabaki salama.
Kwa waliozaliwa nyuma kidogo nadhani wanakumbuka nyakati zile RTD kila kwenye kipindi cha majira ilikuwa haikosekani habari ya Simba kula watu huko Mkuranga na Kibiti.
For hundreds of years pia ujue simba natural predator wake amekuwa ni binadamu.
Miaka ya 1800 mbona simba walikuwepo na hakukuwa na uwindaji rasmiMkuu, Simba Hana natural predator huko mwituni….wakiachwa tu itaanza kuwa tabu kwa wanyama wengine plus binadamu.
Hutakuwa na swala au nyumbu nk iwapo simba hawata-contro-liwa. Pia binadamu naye hatabaki salama.
Kwa waliozaliwa nyuma kidogo nadhani wanakumbuka nyakati zile RTD kila kwenye kipindi cha majira ilikuwa haikosekani habari ya Simba kula watu huko Mkuranga na Kibiti.
For hundreds of years pia ujue simba natural predator wake amekuwa ni binadamu.
Mambo mengi plas kukesha na wajukuu ndgu angyBabu upo!??
Ulipotelea wapi aiseee!?
Walikuwa wanawindwa tu mkuu Sema hakukuwa na kumbukumbu zilizoachwa rasmi! But ukiangalia michoro ya misri ya kale na huko Syria ya kale utaona kumbukumbu za mambo hayo zilikuwepo.Miaka ya 1800 mbona simba walikuwepo na hakukuwa na uwindaji rasmi
Ukitaka kujua ncho hii ina Simba wengi sana Nenda Ruaha National Park.Lions (Simba) are sadly threatened by extinction according to various reports.
Simba ni miongoni mwa wanyawa waliopo katika hatari ya kutoweka by 2050. Kuwaweka wanyama kama simba kwenye utaratibu wa kuwindwa kama kipusa kwa lengo la kupata pesa zama hizi ni upuuzi wa kiwango cha lami cha nchi hii.
Siwezi kukuamini kabisa kwa aina ya viongozi tulio nao na kwa tabia zetu za ubinafsi na uroho wa pesa bila kusahau umasikini uliotukuka kama watu hawana huruma na binadamu wenzao itakua simba?Mkuu, Nina experience na uwindaji….
Mkuu usichofahamu ni Kuwa kila mwaka huwa kunatoka permit za kuwinda wanyama kadhaa. Na permit hiyo huwa inazingatia Idadi husika ya wanyama hao kwa mujibu wa sensa ya pori husika.
Wawindaji wote huwa wanatakiwa kuingia porini wakiwa wamefuatana na game rangers na baada ya mawindo huriport kwa office ambapo office hukagua kuona kuwa only wanyama waliopo kwenye kibali ndio waliowindwa
Kwa Maneno hayo, ondoa Shaka mkuu wanyama hawataisha maana mamlaka zetu zinasimamia taratibu za uwindaji endelevu
Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
View: