Inatafutwa kampuni ya kununua yenye leseni ya clearing and forwarding

Inatafutwa kampuni ya kununua yenye leseni ya clearing and forwarding

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Habari wakuu.

Kuna jamaa yangu amekaa sana nje, shughuli aliyokuwa anafanya huko nje ni ya clearing and forwarding, Ila kutokana na huu ugonjwa shughuli zimepoa sana. Anategemea kurudi nchini hivi karibuni, na kuendelea na clearing and forwarding. Anatafuta kampuni ya kununua isiyokuwa na madeni Wala kashfa yeyote yenye leseni ya clearing and forwarding.
Amenipa hii kazi nimtafutie, Kama unauza nipm, na bei yake.

Asanteni
 
Wakuu Kama unamfahamu mtu mwenye kampuni yenye sifa hizi na anauza naomba unipm.
 
Kampuni zipo kibao, tena seriously kama anataka niambie. na bajeti
 
Kampuni zipo kibao, tena seriously kama anataka niambie. na bajeti
Na budget tena akuambie... Dalaliizzz,

Kununua kampuni sio kma anaenda kununua nyumba au gari. Kuna due diligence lazima zifanyike na kujua actual worth ya hiyo kampuni.
 
Nipo kwenye Industry mwaka wa nane, hapa hakuna mnunuzi kaka
 
Nipo kwenye Industry mwaka wa nane, hapa hakuna mnunuzi kaka
Hahaaaaaa. Nadhani huyo diaspora anaweza kuwa serious Ila aliyepewa jukumu (mleta Uzi) Hana knowledge ya namna ya kununua kampuni.
Ingekuwa ni mimi ningeanzia kwanza Brela .....("*!!!????)
 
Ukishanunua naomba kazi brooh nna experience ya izo kazi
.
 
Back
Top Bottom