Inatakiwa mzidiane miaka mingapi kuona?

Inatakiwa mzidiane miaka mingapi kuona?

Mie ninamzidi mwenza wangu miaka 5.Tatizo sasa nguvu za kiume zimepungua sana.
Ninausikia uume wangu ninapobanwa mkojo
 
natafuta mwanaume alienizd kuanzia miaka 5 aliye tayar ajilete bas! I'm twelve years nmemaliza darasa la 7 mwaka jana!

Wewe unawatafutia watu jela kwa pepo lako la ngono, shule za kata zote hizo bado watafuta wanaume tena wadogo hivyo ambao ni pasua kichwa
 
Mwanaume inabidi umzidi mwanamke miaka kadhaa ili kujipa muda wa kutafuta maendeleo na pale utakapooa uweze kumhudumia mkeo kwa kila kitu na uwe tayari na uwezo wa kuipokea familia....
Wakubwa waliona hili na wakaweka sheria hii pasipo maandiko.....
Ila cha ajabu siku hzi wanaume ndio wanalelewa yani vijana wadogo wanatafuta mijimama yenye pesa zao wale bata...
Kweli dunia inarudi reverse....
 
Mie ninamzidi mwenza wangu miaka 5.Tatizo sasa nguvu za kiume zimepungua sana.
Ninausikia uume wangu ninapobanwa mkojo

Una maana hiyo tofauti ya miaka 5 ndiyo imefanya nguvu za kiume zipungue?! Sidhani!

Lazima utakuwa na tatizo jingine. Tafuta ushauri wa wataalam.
 
Wewe unawatafutia watu jela kwa pepo lako la ngono, shule za kata zote hizo bado watafuta wanaume tena wadogo hivyo ambao ni pasua kichwa
kumbe kashahitimu primary uyo ni mzoefu tu kwni maticha wa primary hawakawii ktk uzinduz wa mijojo ya watoto wa watu.
 
Wewe unawatafutia watu jela kwa pepo lako la ngono, shule za kata zote hizo bado watafuta wanaume tena wadogo hivyo ambao ni pasua kichwa

udogo kitu gani kwani haipiti...!
 
haisemi kwenye katiba yeyote but kisayansi inasemwa kwamba ukimwoa mwanamke ambaye umemzidi umri,siku zake za kuishi zinaongezeka.
 
images

(Beyonce 4-sept-1981 na Jay Z 4-dec-1969)

attachment.php

(Mariah 27-march-1970 na Nick 8-oct-1980)

mengi.jpg

(R. Mengi na K Lynn: Hapo sijui umri labda mtu anisaidie)

Sasa chagua mwenyewe kati ya hizo.... Ila mi najua what matter is love.

Mkuu angalia Shakira na Gerard Pique. Pique kazidiwa miaka 10 kamili bila kupungua siku wala mwezi.
 
Kama ilivyo destur ya jamii nyingi duniani ktk kuoana mwanaume kiumri inatakiwa amzidi mwanamke lkn hii sheria mm binafsi cjui imeandikwa katiba ipi wala kitabu gani ila wengi wao wanazingatia sana hii sheria wakati wa kuoana sasa mm naomba mnijuze ndugu zangu kwamba inatakiwa tuzidiane miaka mingapi au mwanaume inafaa aweanamzidi mwanamke miaka mingapi?

Mkuu nimewahi kusoma kitabu kimoja hivi cha psychology kinasema kwamba umri wa mwanamke unafaa kuwa nusu ya umri wa mwanaume jumlisha 5 hadi 7. Mfano kama mwanaume ana miaka 30. Basi nusu ni 15 ukijumlisha 5 hadi 7 ni 20, 21 na 22. Basi huo ndio umri sahihi wa kuoa na inasemakana wengi huweza kuwa controlled each other na ndoa zao hudumu sana.
 
Umri haujalishi, hizo ni imani tu watu wamejiwekea, cha msingi ni kupendana tu
 
miaka ni namba tu,what matters ni true love
 
images

(Beyonce 4-sept-1981 na Jay Z 4-dec-1969)

attachment.php

(Mariah 27-march-1970 na Nick 8-oct-1980)

mengi.jpg

(R. Mengi na K Lynn: Hapo sijui umri labda mtu anisaidie)

Sasa chagua mwenyewe kati ya hizo.... Ila mi najua what matter is love.
Hao couple hapo juu ni mtu na babu yake..Meng+Jack
 
Back
Top Bottom