curiosity Bin Genius
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 144
- 87
Aisee acha kabisa hizi mambo, Kuna kipindi nilikuwa na practice meditation sasa mida ya saa 10 alfajiri nikaa kama lisaa limoja nikarudi kulala ikiwa nimejilaza bado nipo macho huku nimejilaza chari, hio hali ikanitokea nikajiamrisha kiroho niuache mwili kweli ikawa hivyo huku nikijiamlisha kwa tahadhari nikatoka kiroho kama mita tatu nikageuka nikaona mwili wangu umelala aisee niliogopa lakini nilijikaza nikaurudi faster maana hofu yangu ilikua nikienda mbali wife akiushtua mwili inakuwaje? Maana sipendi astra projection nilitaka niingie sixth sense.