mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kuwafunga vibonde Mazembe waliopigwa na vipers kusiwatie uwendawazimu. Tunachokijua kundi lenu ukiondoa Bamako fc na Moninstri liliundwa na vibonde wa vipers , huo ndiyo ukweli mchunguKombe ndo lengo letu sasa hiv
Yanga awamfumgi mazembetu uwa Wana mtandika Simba mpaka anashika Adabu.Kuwafunga vibonde Mazembe waliopigwa na vipers kusiwatie uwendawazimu. Tunachokijua kundi lenu ukiondoa Bamako fc na Moninstri liliundwa na vibonde wa vipers , huo ndiyo ukweli mchungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliTimu ina wapiga debe watatu,kila mmoja anataka aonekane kafanya kazi aonekane kwa Boss,matokeo yake imekua kama kikundi cha mipasho !
Wataweza wapiii?? Hasa upande ule, muda mwingi kuzungumzia wenzao, khaaahNa ndo shida kubwa ya wabongo, hawawez msifia mtu au kitu bila kukiponda au kukishusha kingine. Kwani hatuwez kusifia timu zetu bila kukandia timu nyingine.
zilitumika hizo nguvu kuiweka yanga chini kwa miaka minne mkanenepeana,MMEKOSA SHUKRANI madundukaHabari wakuu
Jana asubuhi niliangalia kipindi cha Viwanjani kinachorushwa kwenye chaneli ya Azam sports 1HD na binafsi nimesikitishwa sana kwa niliyo yaona.
Sijui kama nitakuwa sahihi nikisema kwamba kuna project imeandaliwa ya kuishusha Simba ili ipandishwe Yanga, sina uhakika ila ndicho ninachokiona.
Kampeni hii inaonekana ni endelevu na ni long term project ambayo ilianza msimu uliopita na inaendelea msimu huu, kwanini nasema hivyo;
Msimu uliopita wakati ndugu zetu wakiwa na miaka 4 bila ubingwa, tulishuhudia one of the most dramatic seasons of all, Yanga ilibidi awe bingwa kwa hali na mali wenyewe wanasema iwe jua iwe mvua, na ndipo ikazaliwa Unbeaten ya mechi 49 lakini cha kustaajabisha kama sio kuhuzunisha kwenye hiyo unbeaten yao walifungiwa marefa wasiopungua wanne.
Labda ndugu zangu wana simba niwakumbushe mechi ya Yanga na Namungo ilipigwa kwenye uwanja wa Ilulu pale mkoani Lindi, mechi iliyozua malalamiko chungu nzima, ilikuwa ni baada ya Yanga kupewa penati ya uongo dk za mwishoni ambapo Namungo alikuwa mbele kwa goli 2-1 penati iliyopigwa na Saido Ntibazonkiza na kuisawazishia Yanga na mchezo kumalizika kwa draw ya goli 2-2.
Haiku ishia hapo iliendea kwenye michezo mingine mingi iliyofuatia, kila ambapo Yanga akitanguliwa kipindi cha kwanza basi kipindi cha pili inazuka penati yenye utata na Red card kwa mpinzani, sijazungumzia makosa ya kibinadamu ya kujirudia rudia kwa makipa wa timu pinzani wanapo kutana na Yanga.
Pia tuachilie mbali ahadi ya fedha kwa kigezo cha hamasa kwa wapinzani wa Simba hali iliyo pelekea kuchezewa rafu mbaya na kupata majeruhi wengi na kudhoofisha timu, mfano mzuri ni ile mechi na Dodoma jiji ambayo ilitoa majeruhi wengi kwa upande wa Simba wakiwemo Pape Ousmane Sakho, Thadeo Lwanga na Kennedy juma ndani ya mechi moja.
That was a by the way, turudi kwenye mada husika, katika kile kipindi cha viwanjani yali jadiliwa mafanikio ya Yanga msimu huu kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa na alimwagiwa sana maua, pongezi zikaenda kila mahali hususani kwa viongozi ambao ni GSM.
Tatizo likaja walipoanza kuizungumzia Simba, mmoja wa wachambuzi nisingependa kumtaja jina alionesha chuki za wazi, hoja hana yaani aligeuka shabiki ghafla anabisha mpaka wenzie aliyekuwa nao wanamcheka.
Anadai Simba mbovu, kutinga robo fainali ya CAFCL ni bahati tu amekutana na mpinzani dhaifu akamfunga nje ndani, kumbuka ni huyo huyo amemsifu sana Yanga kwa kumfunga Tp mazembe nje ndani akasahau sababu ya Mazembe kuwepo kombe la shirikisho ni Vipers ambaye amefungwa na simba anayo iita mbovu nje ndani.
Ndugu mchambuzi hakuishia hapo akaongeza kwa kusema kuwa Simba pia imebahatisha kumfunga Horoya goli 7 kwa sifuri, anazungumza haya sio katika hali ya kiuchambuzi tena, anabisha bila hoja misuli ya shingo ime msimama [emoji23][emoji23].
Aanachosema yeye ni Simba mbovu na kusema kuwa Yanga itafika mbali kuliko Simba bila kujali ugumu wa mashindano aliyopo Simba, wapinzani wagumu anaocheza nao Simba ukilinganisha na Kombe la Shirikisho.
Hili lilizidi kuwa chekesha aliokuwa nao kwenye kipindi na kumuona kituko, waka muuliza inamaana Simba haikustahili kushinda hata kwenye mechi ya kwanza kule Guinea, maana Simba aliukamata mchezo kama isingekuwa kukosa umakini kwa straika John bocco, simba ingetoka na sio chini ya mabao matatu, majibu hana anajikanyaga kanyaga tu.
Sio yeye tu wapo wachambuzi wengi tu wa kaliba yake, Simba mbovu umekuwa ndio wimbo halafu Simba hiyo hiyo mbovu ndIo inawakilisha nchi kwenye mashindano makubwa zaidi kwa ngazi ya vilabu barani Afrika CAFCL, ndio timu pekee ukanda wa CECAFA na ni miongoni mwa timu mbili kutokea Kusini mwa Jangwa la Sahara yani Simba na Mamelodi Sundowns kufuzu hatua ya nane bora.
Wanacho kifanya ni sawa sawa na kusema, kwakuwa Al Ahly ame-struggle kupita makundi ya CAFCL basi Future FC ambayo ipo shirikisho ni bora kuliko Al Ahly, wakuu ina tumika nguvu kubwa sana kuishusha Simba ili Yanga ionekane bora. Kuna mchambuzi pia aliandika Twitter akidai kuwa kwa ilichofanya Yanga msimu huu kwenye Kombe la Waliofeli ndio klabu bora zaidi ukanda wa CECAFA na kudai kuwa TUJIVUNIE [emoji23][emoji23].
Kwa miaka 5+ ya hivi karibuni Simba imepambana sana kuijenga brand yake Afrika na Duniani kiujumla na kupata mafanikio chungu nzima, tunavyozungumza sasa, Simba ni miongoni mwa timu 10 bora zaidi barani Afrika na kwa kuthibitisha hilo, baadaye mwaka huu Simba ita shiriki kwenye CAF Super League ambayo itafanyika kwa mara ya kwanza kabisa barani Afrika.
ni dhahiri watu hawa pendezwi na hili, na ndio maana baada ya Yanga kufanya vizuri kidogo kwenye kombe la mbuzi msimu huu, tayari anaveshwa ukubwa ambao hana, tena wana kwenda mbali zaidi wakisema ndio timu bora zaidi ukanda wa CECAFA.
Nguvu moja [emoji881]
Ni kweli ila inatia hasira, mtu ana potosha kana kwamba mpira ameangalia peke yake,..Dawa ya uchambuzi uchwara ni kushinda mechi na kuingia nusu fainali. Mpira upo uwanjani, redioni na mtaani ni matokeo ya kinachofanyika uwanjani.
KILA LA HERI SIMBA.
Ni heri aoneshe ushabiki wa timu moja ila sio chuki ya kutaka kuishusha timu moja na kuipandisha nyingine.[emoji23][emoji23] aisee maisha ni magumu sana ukiangalia vile jirani anapata riziki yake wewe una changamoto unaanza kisirani
Rizki haiwezi kukunyookea muda wote usipate changamoto, na wengine wanahitaji hicho unachokipata wakipata usione umetengwa (kwanini yeye apate mi nikose) subra kitu Cha msingi.
Kuna siku Azam nae atakuja vizuri. Makosa ya uwanjani Kila sehemu yapo ila mkuu unaangalia ya sehemu Moja
Upande wa wachambuzi wapo ndio wanachangamoto hiyo ya kuonesha ushabiki mf. Wachambuzi wa efm (wawili) Hawa nao Kuna muda wanasema ukweli ila Kuna muda wanaegemea zaidi upande mmoja
Hakuna nguvu iliyowahi kutumika kuiweka Yanga chini, mlikua viyande dhahiri, ila kwa sasa ni upumbavu kusema aliyopo kombe la mbuzi ni bora kuliko aliyepo klabu bingwa.zilitumika hizo nguvu kuiweka yanga chini kwa miaka minne mkanenepeana,MMEKOSA SHUKRANI madunduka
umetoka nje ya madaHakuna nguvu iliyowahi kutumika kuiweka Yanga chini, mlikua viyande dhahiri, ila kwa sasa ni upumbavu kusema aliyopo kombe la mbuzi ni bora kuliko aliyepo klabu bingwa.
Malalamiko yameanza tena! Sijui ni homa tu ya tarehe 16 ya Mwezi huu wa 4!! Maana siku zinakimbia kweli kweli.Habari wakuu
Jana asubuhi niliangalia kipindi cha Viwanjani kinachorushwa kwenye chaneli ya Azam sports 1HD na binafsi nimesikitishwa sana kwa niliyo yaona.
Sijui kama nitakuwa sahihi nikisema kwamba kuna project imeandaliwa ya kuishusha Simba ili ipandishwe Yanga, sina uhakika ila ndicho ninachokiona.
Kampeni hii inaonekana ni endelevu na ni long term project ambayo ilianza msimu uliopita na inaendelea msimu huu, kwanini nasema hivyo;
Msimu uliopita wakati ndugu zetu wakiwa na miaka 4 bila ubingwa, tulishuhudia one of the most dramatic seasons of all, Yanga ilibidi awe bingwa kwa hali na mali wenyewe wanasema iwe jua iwe mvua, na ndipo ikazaliwa Unbeaten ya mechi 49 lakini cha kustaajabisha kama sio kuhuzunisha kwenye hiyo unbeaten yao walifungiwa marefa wasiopungua wanne.
Labda ndugu zangu wana simba niwakumbushe mechi ya Yanga na Namungo ilipigwa kwenye uwanja wa Ilulu pale mkoani Lindi, mechi iliyozua malalamiko chungu nzima, ilikuwa ni baada ya Yanga kupewa penati ya uongo dk za mwishoni ambapo Namungo alikuwa mbele kwa goli 2-1 penati iliyopigwa na Saido Ntibazonkiza na kuisawazishia Yanga na mchezo kumalizika kwa draw ya goli 2-2.
Haiku ishia hapo iliendea kwenye michezo mingine mingi iliyofuatia, kila ambapo Yanga akitanguliwa kipindi cha kwanza basi kipindi cha pili inazuka penati yenye utata na Red card kwa mpinzani, sijazungumzia makosa ya kibinadamu ya kujirudia rudia kwa makipa wa timu pinzani wanapo kutana na Yanga.
Pia tuachilie mbali ahadi ya fedha kwa kigezo cha hamasa kwa wapinzani wa Simba hali iliyo pelekea kuchezewa rafu mbaya na kupata majeruhi wengi na kudhoofisha timu, mfano mzuri ni ile mechi na Dodoma jiji ambayo ilitoa majeruhi wengi kwa upande wa Simba wakiwemo Pape Ousmane Sakho, Thadeo Lwanga na Kennedy juma ndani ya mechi moja.
That was a by the way, turudi kwenye mada husika, katika kile kipindi cha viwanjani yali jadiliwa mafanikio ya Yanga msimu huu kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa na alimwagiwa sana maua, pongezi zikaenda kila mahali hususani kwa viongozi ambao ni GSM.
Tatizo likaja walipoanza kuizungumzia Simba, mmoja wa wachambuzi nisingependa kumtaja jina alionesha chuki za wazi, hoja hana yaani aligeuka shabiki ghafla anabisha mpaka wenzie aliyekuwa nao wanamcheka.
Anadai Simba mbovu, kutinga robo fainali ya CAFCL ni bahati tu amekutana na mpinzani dhaifu akamfunga nje ndani, kumbuka ni huyo huyo amemsifu sana Yanga kwa kumfunga Tp mazembe nje ndani akasahau sababu ya Mazembe kuwepo kombe la shirikisho ni Vipers ambaye amefungwa na simba anayo iita mbovu nje ndani.
Ndugu mchambuzi hakuishia hapo akaongeza kwa kusema kuwa Simba pia imebahatisha kumfunga Horoya goli 7 kwa sifuri, anazungumza haya sio katika hali ya kiuchambuzi tena, anabisha bila hoja misuli ya shingo ime msimama [emoji23][emoji23].
Aanachosema yeye ni Simba mbovu na kusema kuwa Yanga itafika mbali kuliko Simba bila kujali ugumu wa mashindano aliyopo Simba, wapinzani wagumu anaocheza nao Simba ukilinganisha na Kombe la Shirikisho.
Hili lilizidi kuwa chekesha aliokuwa nao kwenye kipindi na kumuona kituko, waka muuliza inamaana Simba haikustahili kushinda hata kwenye mechi ya kwanza kule Guinea, maana Simba aliukamata mchezo kama isingekuwa kukosa umakini kwa straika John bocco, simba ingetoka na sio chini ya mabao matatu, majibu hana anajikanyaga kanyaga tu.
Sio yeye tu wapo wachambuzi wengi tu wa kaliba yake, Simba mbovu umekuwa ndio wimbo halafu Simba hiyo hiyo mbovu ndIo inawakilisha nchi kwenye mashindano makubwa zaidi kwa ngazi ya vilabu barani Afrika CAFCL, ndio timu pekee ukanda wa CECAFA na ni miongoni mwa timu mbili kutokea Kusini mwa Jangwa la Sahara yani Simba na Mamelodi Sundowns kufuzu hatua ya nane bora.
Wanacho kifanya ni sawa sawa na kusema, kwakuwa Al Ahly ame-struggle kupita makundi ya CAFCL basi Future FC ambayo ipo shirikisho ni bora kuliko Al Ahly, wakuu ina tumika nguvu kubwa sana kuishusha Simba ili Yanga ionekane bora. Kuna mchambuzi pia aliandika Twitter akidai kuwa kwa ilichofanya Yanga msimu huu kwenye Kombe la Waliofeli ndio klabu bora zaidi ukanda wa CECAFA na kudai kuwa TUJIVUNIE [emoji23][emoji23].
Kwa miaka 5+ ya hivi karibuni Simba imepambana sana kuijenga brand yake Afrika na Duniani kiujumla na kupata mafanikio chungu nzima, tunavyozungumza sasa, Simba ni miongoni mwa timu 10 bora zaidi barani Afrika na kwa kuthibitisha hilo, baadaye mwaka huu Simba ita shiriki kwenye CAF Super League ambayo itafanyika kwa mara ya kwanza kabisa barani Afrika.
ni dhahiri watu hawa pendezwi na hili, na ndio maana baada ya Yanga kufanya vizuri kidogo kwenye kombe la mbuzi msimu huu, tayari anaveshwa ukubwa ambao hana, tena wana kwenda mbali zaidi wakisema ndio timu bora zaidi ukanda wa CECAFA.
Nguvu moja [emoji881]
Mashabiki wa simba huwa mnapenda kulalamikia vitu vidogo mpaka basi. Yaani mnalazimisha watu wengine waseme vile mnavyotaka nyinyi!!Kwamba aliyepo Cafcl kwa sasa sio bora ila anaye shiriki kombe la mbuzi ndiye bora ?
Kama hawawezi ku-recognize yanayo fanywa na simba ni bora wakakaa tu kimya sio kulazimisha Simba ionekane mbovu na Yanga kuwa bora hali ya kuwa uhalisia haupo hivyoMashabiki wa simba huwa mnapenda kulalamikia vitu vidogo mpaka basi. Yaani mnalazimisha watu wengine waseme vile mnavyotaka nyinyi!!
Mpira dk 90 mkuu, utarudi hapaMalalamiko yameanza tena! Sijui ni homa tu ya tarehe 16 ya Mwezi huu wa 4!! Maana siku zinakimbia kweli kweli.
Au ndiyo ameanza kutafutwa mchawi? Ili siku hiyo baada ya timu fulani kushushiwa kipigo cha mbwa mwizi, ionekane ni hiyo project fake ndiyo imesababisha!!
Kwani shida iko wapi wakisema Yanga ni bora kuliko simba, halafu ukweli ukawa simba ni bora zaidi kuliko Yanga?Kama hawawezi ku-recognize yanayo fanywa na simba ni bora wakakaa tu kimya sio kulazimisha Simba ionekane mbovu na Yanga kuwa bora hali ya kuwa uhalisia haupo hivyo
Penye kuhitajika kuwekwa sawa ni lazima tufanye hivyo na ndio maana tuna bishana hapa dailyKwani shida iko wapi wakisema Yanga ni bora kuliko simba, halafu ukweli ukawa simba ni bora zaidi kuliko Yanga?
Acha kuutesa moyo wako kwa mambo madogo madogo.
Wanatumia nguvu kubwa sn yn. Na hawatuweziWataweza wapiii?? Hasa upande ule, muda mwingi kuzungumzia wenzao, khaaah
Yn hilo halizungumzwi kbs, simba ndo wazee kumbe hta yanga wazee wapoDiara - 30+
Djuma shabani -35+
Lomalisa -35+
Mwamnyeto - 30+
Bangala -30+
Aucho -40
Sureboy -34+
Morrison -34+
Kisinda -32+
Mayele -30+
Mauya -35+
Farid -28+
Musonda -29+
Moloko -30+
Azizi ki -28+
Mudathir -33+
Ndugu wachambuzi, hivi swala la umri ni kwa simba tu ama ?