Linda Joseph
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 462
- 863
Khe!!Pasipo kusikiliza upande wa pili, Huyo WILLIAM apewe pongezi nyingi sana huko aliko.!
Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful
View attachment 2225510
Intelejensia inanambia itakuwa Jamaa kapenyezewa za chini chini kuwa huyo mwanamke SIO.. bora kuziba ufa..Khe!!
Kafanyaje sas?Intelejensia inanambia itakuwa Jamaa kapenyezewa za chini chini kuwa huyo mwanamke SIO.. bora kuziba ufa..
Akaamua kupindua meza dk za majeruhi.
WIN WIN SITU.
Kabisaaa Wiliamu bonge la bwana.Pasipo kusikiliza upande wa pili, Huyo WILLIAM apewe pongezi nyingi sana huko aliko.!
Kama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.Kafanyaje sas?
Nakazia, William kaupiga mwingi sana mbaya zaidi kafanya come back ya kibabe.
William amefanya maamuzi sahihi kabisa.
Mrembo ana tatizo gani ?
amechakata mbususu vizuri kabisaPasipo kusikiliza upande wa pili, Huyo WILLIAM apewe pongezi nyingi sana huko aliko.!
Mwanamke wa hivi ukimkuta Bar maliza nyegee zako ondokaaa
Hivi umemsikiliza anavyo ongea..??Mrembo ana tatizo gani ?