Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
William oyeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaHivi umemsikiliza anavyo ongea..??
Mleta mada ndo Linda unayetajwa kwny clip, uliyepindua meza last minutes?Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
"There is a hiding agenda here" Tumsubiri Baharia Wille ajielezee..!!!Nakazia, William kaupiga mwingi sana mbaya zaidi kafanya come back ya kibabe.
Ndugu Liverpool VPN una maoni gani kuhusu baharia mwenzetu bwana Wile?
Ni kweli nadhani inatakiwa iwe hivyo hivyo, wanawake wanawalalamikia wanaume na wanaume wanawalalamikia wanawake, Haiwezi kuwa vinginevyo... lazma tuzoee!Bado wanaandika muongozo. Hadi hapo utakapokamilika, haya mambo yataendelea kuumiza wengi sana pande zote.
Jeraha by Otile&jovial.Mapenz hakuna sikuhizi...mi naogopa maana kuna mtu nataka nizame mazima...Jesus!!!Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
Umepita mulemule mkuu...🤣Mleta mada ndo Linda unayetajwa kwny clip, uliyepindua meza last minutes?
Zama dada, maumivu ni sehemu ya maisha.. Wengine yamewakuta utotoni wengine yatatukuta utu uzimani. 😀Jeraha by Otile&jovial.Mapenz hakuna sikuhizi...mi naogopa maana kuna mtu nataka nizame mazima...Jesus!!!
Sio kila mahusiano lazima yafikie ndoa, wakati mwingine inakuaga kama tuisheni tu alafu unasubiri mtihani...🤣Jeraha by Otile&jovial.Mapenz hakuna sikuhizi...mi naogopa maana kuna mtu nataka nizame mazima...Jesus!!!
Jirani....Zama dada, maumivu ni sehemu ya maisha.. Wengine yamewakuta utotoni wengine yatatukuta utu uzimani.😋 😀
Linda Mambo? Nataka sku moja nkunyoe sehem zako za sirKama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
I hope unatania, The guy is just a coward, she has every right to cry
No sifikirii ndoa,nafikiria kumpenda mpaka tutakapokuwa tumepangiwa kufika ...even short time or long time I mean forever but kikubwa moyo umempenda na unamhitaji sasa sitaki kuumiza moyo ...umeamua kupenda acha upende ukibabuliwa as usual mi sihusiki kwenye kuumia 🤣Sio kila mahusiano lazima yafikie ndoa, wakati mwingine inakuaga kama tuisheni tu alafu unasubiri mtihani...🤣
Ha ha haaLinda Mambo? Nataka sku moja nkunyoe sehem zako za sir