binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Waambie kabisa waanze kunichomea mshikaki mmoja ule mkubwa wa elfu nne, nakuja chap jirani 😋Jirani....
Ebu njoo hapa Pizzeria tuyajenge chap kabla jua halijazama..😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie kabisa waanze kunichomea mshikaki mmoja ule mkubwa wa elfu nne, nakuja chap jirani 😋Jirani....
Ebu njoo hapa Pizzeria tuyajenge chap kabla jua halijazama..😋
🤣🤣🤣🤣 William kapiga chenga ya mwiliNakazia, William kaupiga mwingi sana mbaya zaidi kafanya come back ya kibabe.
Ndugu Liverpool VPN una maoni gani kuhusu baharia mwenzetu bwana Wile?
Hakika cute wanguZama dada, maumivu ni sehemu ya maisha.. Wengine yamewakuta utotoni wengine yatatukuta utu uzimani. 😀
Uongeaji wake tu, ngebe kibao, huyu alikuwa anataka ndoa tu then ajifyatue akili yake mbovu.William amefanya maamuzi sahihi kabisa.
Yawezekana baada ya ndoa, wiliam angekufa kwa stress ama angekonda kwa gubu la huyu mwanamke.
Binafsi sinaona muolewaji hapo.
Hakika broWiliam angemwambia tu ukweli uliomfanya amkimbie huyo Dada,pengine huyo Dada nae angekua na maelezo yake ya ufafanuzi,ni lazima mtuhumiwa asikilizwe kabla ya kufikia maamuzi,
Pole sana Dada hata kama kuna jambo lilikua halipo sawa kwenye upande wako pengine ndoa ingekuweka sawa,
Mshukuru Mungu huenda kuna jambo amekuepusha,endelea kumuamini Mungu utampata tu wakukuoa,
Good luck
Hiki kidude kilitaka jiua sababu ya mapenzi O level
Kila la kheri... Na uje kuleta shuhuda...Jeraha by Otile&jovial.Mapenz hakuna sikuhizi...mi naogopa maana kuna mtu nataka nizame mazima...Jesus!!!
Like serious?Kila la kheri... Na uje kuleta shuhuda...
May be, there's a major flaw with that bibie.I hope unatania, The guy is just a coward, she has every right to cry
Mmmh [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta mada ndo Linda unayetajwa kwny clip, uliyepindua meza last minutes?
Punguza ukali wa maumivu ya kihisia.Jamani William mimi!
Hah ngoja ninywe Castle lite kwanza
Khaaa[emoji1745][emoji1745][emoji1745] wala sio mieUmepita mulemule mkuu...[emoji1787]
🤣🤣🤣 ngumu kumeza aisee