Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Sema dada ni pisi š¤£
Ila sasa labda zilikuwa ni outings na Will?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema dada ni pisi š¤£
Hapa kuna kitu William alikiona, na kwasababu wanaume hua tunaona aibu kushtaki wanawake zetu kutunyanyasa..... basi mwana aliona tu ajikatae na bora hata arudi kwa xHuyo Demu wa kushinda Bar kunywa mapombe si wa kuoa ,ni wa Kupeleka moto na kusepa.
Coward,,???? Bro a man can make a tiger stand up, or make a lion play football but he can never Tame a wild woman,, NEVERI hope unatania, The guy is just a coward, she has every right to cry
š¤£š¤£š¤£ mbona jitu nenenene mkuu?Hata mm ningekua William ningepga chin mwanamke gan anaongea km chiriku ivo nitoke nitokako na stress zangu za petrol halafu home unapokelewa na lijitu Nenene tu linaongea halimalizi
Nyinyi organisms kuna a woman na those crazy onesThe biggest coward is a man who awakens a woman's love with no intention of loving her.
Kuna mabonge wengine wastarabu ila kuna wengine nuksu tu tako zimeungana na mgongo basi unakuta linajona zuri hatari hatariš¤£š¤£š¤£ mbona jitu nenenene mkuu?
Kwani wakati unachagua nyama ya supu mifupa hukuiona?
huyu dada km sio mmeru ni mmachameHivi umemsikiliza anavyo ongea..??
Hizo mnazoita pisi kali hadi kufikia umri sehemu za siri zinakuwa zimeota sugu, mwanamke anayeshinda bar si wa kuoa maana ni viburi na jeuri.Sema dada ni pisi š¤£
Ila sasa labda zilikuwa ni outings na Will?
Hakuna mke hapa, ni wa kula na kusepaKama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Ni kweli nadhani inatakiwa iwe hivyo hivyo, wanawake wanawalalamikia wanaume na wanaume wanawalalamikia wanawake, Haiwezi kuwa vinginevyo... lazma tuzoee!
Gubegube sio wa kuweka ndani, kick her ass out.
Ngoja fake feminist wakuvamie..Embu tazama hiyo clip hapo juu huyo mwanamke na kucha feki ataweza
Haaha uwiiHizo mnazoita pisi kali hadi kufikia umri sehemu za siri zinakuwa zimeota sugu, mwanamke anayeshinda bar si wa kuoa maana ni viburi na jeuri.
Embu tazama hiyo clip hapo juu huyo mwanamke na kucha feki ataweza kuosha vyombo kweli?
Wewe pia umebandika kucha?Haaha uwii
Wengine kucha wanazo na vyombo wanaosha ā kama hajaweka ndefu. Wengine ataosha mdada.
[emoji1787][emoji1787],siyapendi hatari afu wanatabia ya kuganda wanaumeKuna mabonge wengine wastarabu ila kuna wengine nuksu tu tako zimeungana na mgongo basi unakuta linajona zuri hatari hatari
Anatafuta kiki TU,wameachwa wangapi siku ya harusi?Sema huyo dada nae ni legend⦠yan umepigwa na kitu kizito hivyo na bado una nguvu za kuongea kwa media?
Mie sijui, naona ningekuwa nishaishiwa maji kwa kulia.. bed rest mwezi mzima kwa drip
Jamaa hajamkimbia makusudi, pengine jamaa alipata taarifa nyeti kutoka kwa CIA na FBI kuhusu A to Z za huyo demuWiliam angemwambia tu ukweli uliomfanya amkimbie huyo Dada,pengine huyo Dada nae angekua na maelezo yake ya ufafanuzi,ni lazima mtuhumiwa asikilizwe kabla ya kufikia maamuzi,
Pole sana Dada hata kama kuna jambo lilikua halipo sawa kwenye upande wako pengine ndoa ingekuweka sawa,
Mshukuru Mungu huenda kuna jambo amekuepusha,endelea kumuamini Mungu utampata tu wakukuoa,
Good luck
Jamaa hajamkimbia makusudi, pengine jamaa alipata taarifa nyeti kutoka kwa CIA na FBI kuhusu A to Z za huyo demuWiliam angemwambia tu ukweli uliomfanya amkimbie huyo Dada,pengine huyo Dada nae angekua na maelezo yake ya ufafanuzi,ni lazima mtuhumiwa asikilizwe kabla ya kufikia maamuzi,
Pole sana Dada hata kama kuna jambo lilikua halipo sawa kwenye upande wako pengine ndoa ingekuweka sawa,
Mshukuru Mungu huenda kuna jambo amekuepusha,endelea kumuamini Mungu utampata tu wakukuoa,
Good luck
Nakazia Bwana Wile ana ajenda ya siri"There is a hiding agenda here" Tumsubiri Baharia Wille ajielezee..!!!
#YNWA