Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

Kwanza mwanamke mpaka anafika kwenye media kusema mambo yake na William, hii inafikirisha sana.
Pili huyo mwanamke sio wakwanza kuachwa maana hatujui alicho mfanyia William hadi akaamua kumuacha wakati tayari amesha mtolea mahari kuelekea kwenye ndoa.
William amekimbia jambo kubwa sana ambalo lingekuja kumgarimu katika maisha yake yote.
Naunga mkono hoja bila ya kusikiliza maelezo ya William.
William ujengewe mnara wa kumbukumbu huko ukweni.
 
Sijui, ila content inaishi, na yanatokea hadi sasa, mjifunze nyie wanaume kuchagua wanawake mnaowajua in out siyo kufany jambo litakalomletea mtu depression
😂😂yaani nichumbie nifike hatua ya kuoa halafu wanakuja wadau wananipa file kuuubwa kweli kweli na ushahidi tosha nabaki nasubiri nini mkuu? Kama si depression?

Hata kama ni mimi ningeshaanua muda tu huyu mamsi ni kamanda haswa yani
 
Back
Top Bottom