Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Piga makofi mremboRoho mbaya tu…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga makofi mremboRoho mbaya tu…
Jamaa inasemekana alimpatia church alikuwa church girl haswa kumbe zuga tu huo mtego wangenasa wengi.Sijui, ila content inaishi, na yanatokea hadi sasa, mjifunze nyie wanaume kuchagua wanawake mnaowajua in out siyo kufany jambo litakalomletea mtu depression
Kwahiho kaka wewe unaakili kuliko William??[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Wiliam hawezi tena kuaminika hata huko alipoenda kwa huyo mwanamke mwingine,ni suala la muda tu,kwanini asingemuoa huyo aliyemfuata sasa hivi? kwanini akataka kuoa mwanamke mwingine? so,hata Wiliam ni msaliti tu.
Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
NB: Linda aliyetajwa humo na huyo dada siyo mimi Linda R.Joseph.
Wewe ungeoa mwanamke wa hivyo???Huyo Wiliam hawezi tena kuaminika hata huko alipoenda kwa huyo mwanamke mwingine,ni suala la muda tu,kwanini asingemuoa huyo aliyemfuata sasa hivi? kwanini akataka kuoa mwanamke mwingine? so,hata Wiliam ni msaliti tu.
Kuna mwanamke anae tamanisha kupiga na kusepa.. hao wapo wengi sana dsmYupo sawa tu,mbona dar wanawake asilimia kubwa huvaa ivo na mnawashangilia
Khee pole ya nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole sana Linda ingawa umeficha sura hapo kwa pfp ila William si mtu mpoa.
Mkuu issue sio kumuoa au kutomuoa,Wewe ungeoa mwanamke wa hivyo???
Pole sana aisee naona hukuelewa nilicho comment.Kwahiho kaka wewe unaakili kuliko William??[emoji23][emoji23][emoji23]
Biblia inasema kuwa na mwanamke mwenye maneno mengi.. ni shida kuwa nae sawa na mzee anaetembea mchanganii..
Inasemekana dada alikuw anafanya kweny kampun fulan bandarini, Will naye alikuwa huko huko..ila mmh usiombe yakukute[emoji24][emoji24][emoji24]Jamaa inasemekana alimpatia church alikuwa church girl haswa kumbe zuga tu hup mtego wangenasa wengi
Wanaume wengi hawataki wanawake wao waende Bar, Lakini wanaume wengi wanataka wakienda bar wakute wanawake.Kama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Yah, hatupendi 'wake' zetu tuliowaoa kwa ndoa Takatifu kwenda bar na kufakamia mabia na kupiga makelele kama wehu.Wanaume wengi hawataki wanawake wao waende Bar, Lakini wanaume wengi wanataka wakienda bar wakute wanawake.
Kuna tofauti kubwa kati ya mke na mwanamke.Wanaume wengi hawataki wanawake wao waende Bar, Lakini wanaume wengi wanataka wakienda bar wakute wanawake.
Hatuombi hurumaEee tujifunze , nyie ndio mna haki ya kuonewa huruma?.
Cha kulia kulia...Sema huyo dada nae ni legend… yan umepigwa na kitu kizito hivyo na bado una nguvu za kuongea kwa media?
Mie sijui, naona ningekuwa nishaishiwa maji kwa kulia.. bed rest mwezi mzima kwa drip