Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Pisi ya kwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pisi ya kwenda
Kwani hujui kama mitandaoni wamejaa wanafki duniani.Yupo sawa tu,mbona dar wanawake asilimia kubwa huvaa ivo na mnawashangilia
Sibandiki mie.. na sijawahi 🤣Wewe pia umebandika kucha?
Ndo nimeprove mkuuKwani hujui kama mitandaoni wamejaa wanafki duniani.
SafiSibandiki mie.. na sijawahi 🤣
Hata sijui uwa zinakaaje, kucha juu ya kucha.
Ila nywele juu ya nywele najua 😜😜Safi
Nakuombea upate mwanamme anayejielewa mtatengeneza familia bora kabisa, ila ile tabia yako ya kwenda bar na clubs upunguze sasa ili usijempata wa kufanana nae.Sibandiki mie.. na sijawahi 🤣
Hata sijui uwa zinakaaje, kucha juu ya kucha.
Mi hizo pia nimeshindwa labda kusukaIla nywele juu ya nywele najua 😜😜
Inauma weweAnatafuta kiki TU,wameachwa wangapi siku ya harusi?
SafiNakuombea upate mwanamme anayejielewa mtatengeneza familia bora kabisa, ila ile tabia yako ya kwenda bar na clubs upunguze sasa ili usijempata wa kufanana nae.
Hapa chini ona mke aliyooa william, she is total a wife material binti mzuri na anajua kujistiri vyema kabisa.
View attachment 2225659
Hii story ni FakeKama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
Pole mpenz,mwisho wa siku unasurrender tuInauma wewe
Me niliachwa na Bf.. july mpk October nikogo naomboleza.
Nilikuja kukubali November mwishoni..
Kwa sasa Hali ikoje? Huyu ndio Jack kama Watu hawamjuiInauma wewe
Me niliachwa na Bf.. july mpk October nikogo naomboleza.
Nilikuja kukubali November mwishoni..
Haya mambo bana, unaweza mpata wa Kanisani na akawa wenge vile vile.Nakuombea upate mwanamme anayejielewa mtatengeneza familia bora kabisa, ila ile tabia yako ya kwenda bar na clubs upunguze sasa ili usijempata wa kufanana nae.
Hapa chini ona mke aliyooa william, she is total a wife material binti mzuri na anajua kujistiri vyema kabisa.
View attachment 2225659
Sahivi nimepona kabisaa… hanishtui hata nikisikia jina lake 🤣🤣Kwa sasa Hali ikoje? Huyu ndio Jack kama Watu hawamjui
View attachment 2225665
View attachment 2225666
View attachment 2225667
Kumbe ni shabiki wa yangaKwa sasa Hali ikoje? Huyu ndio Jack kama Watu hawamjui
View attachment 2225665
View attachment 2225666
View attachment 2225667
😂 nishapoa dear… haya mambo hayana baunsa.Pole mpenz,mwisho wa siku unasurrender tu
Pole sana kama haukuwa chanzo Cha kuachwaInauma wewe
Me niliachwa na Bf.. july mpk October nikogo naomboleza.
Nilikuja kukubali November mwishoni..
No matter what were the reasons BUT IT IS TOO PAINFUL TO BE LEFT LIKE A TRASH......Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510