Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Mbona kama una machungu... hahahahLike serious?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama una machungu... hahahahLike serious?
Kuna mambo yanafurahisha sana...🤣🤣🤣 ngumu kumeza aisee
.Mbona kama una machungu... hahahah
Hapana, ilo linasikitisha sana..Kuna mambo yanafurahisha sana...
Roho mbaya tu…Piga makofi kwa willy tafadhali
Zama kwangu to yeye,hutajutaJeraha by Otile&jovial.Mapenz hakuna sikuhizi...mi naogopa maana kuna mtu nataka nizame mazima...Jesus!!!
Itasikitisha endapo maelezo ya WIlliam nayo yakiletewa...Hapana, ilo linasikitisha sana..
Hakika,unaonekana kabisa...kama umeweza kumsihi Linda umnyoe nywele za sehemu za siri Mimi ni nani nikataeZama kwangu to yeye,hutajuta
By the way, my last daughter anaitwa Linda...😊Khaaa[emoji1745][emoji1745][emoji1745] wala sio mie
Kuna walakini… lakini Will kampiga nyundo ya utosi dada wa watu.Itasikitisha endapo maelezo ya WIlliam nayo yakiletewa...
Yupo sawa tu,mbona dar wanawake asilimia kubwa huvaa ivo na mnawashangilia
Eee tujifunze , nyie ndio mna haki ya kuonewa huruma?.Umeiokota huko kipande nusu waikimbiza huku....
Wanawake hawapaswi onewa huruma kwenye mapenzi
Inaonekana una wivu jaman,wote ntawamudu ucjalHakika,unaonekana kabisa...kama umeweza kumsihi Linda umnyoe nywele za sehemu za siri Mimi ni nani nikatae
Nasema hivi.....Eee tujifunze , nyie ndio mna haki ya kuonewa huruma?.
Kwanza mwanamke mpaka anafika kwenye media kusema mambo yake na William, hii inafikirisha sana.
Pili huyo mwanamke sio wakwanza kuachwa maana hatujui alicho mfanyia William hadi akaamua kumuacha wakati tayari amesha mtolea mahari kuelekea kwenye ndoa.
William amekimbia jambo kubwa sana ambalo lingekuja kumgarimu katika maisha yake yote.
Lindah Mambo??Eee tujifunze , nyie ndio mna haki ya kuonewa hurum
Lazima sababu itakuwepo...Kuna walakini… lakini Will kampiga nyundo ya utosi dada wa watu.
Waoh[emoji3590] hongera kakaBy the way, my last daughter anaitwa Linda...[emoji4]