Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kam una ndoto ya kuoa hay madude basi safari Yako ya maisha ni ndefu sanaKama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Acha uzwazwa basi,,huyu wa Uchi Uchi bar anabugia pombe ndo..Wiliam angemwambia tu ukweli uliomfanya amkimbie huyo Dada,pengine huyo Dada nae angekua na maelezo yake ya ufafanuzi,ni lazima mtuhumiwa asikilizwe kabla ya kufikia maamuzi,
Pole sana Dada hata kama kuna jambo lilikua halipo sawa kwenye upande wako pengine ndoa ingekuweka sawa,
Mshukuru Mungu huenda kuna jambo amekuepusha,endelea kumuamini Mungu utampata tu wakukuoa,
Good luck
🤣🤣🤣🤣Nitaleta uzi ku3lezea the other side of the story!
Nimevumilia mengi sana kutoka kwa huyo Dada
Naomba mpuuzie malalamiko yake anataka kunichafuwa, anatafuta sympathy lakini ni bingwa mkubwa sana kwe manipulate!
Linda wewe ni mbaya mpaka kuweza kubadili meza kwa kishindo kwa kiasi hicho tupe siri kitu gani special ulichonachoWaoh[emoji3590] hongera kaka
Akija kupigwa matukio ndio akili yake itanyooka sasa hiv hawezi kukuelewa kwasababu ya ugeni alionaoSawa dunia ni yako chaguo ni lako na maisha ni yako.
Kwa comment hiyo unaonekana ulilelewa kwenye malezi ya hovyo sana na till now una maisha magumu ndio maana unatumia lugha mbovu kwa mtu usiye mjua ili tu kupunguza machungu yako!Acha uzwazwa basi,,huyu wa Uchi Uchi bar anabugia pombe ndo..
Kujitesa kote kwa nini? Mtu akizingua si unaachana naye tu?Jidanganye watu wanayaacha matako ndani anaenda ishi kwa nyumba ndogo ambaye sura hana na kapigwa pasi, kwenye ndoa mwanaume huwaga anatafuta UTULIVU na AMANI ya moyo.
Sasa okota mwanamke kisa tako, uone jinsi utakavyo jijengea kajehanum kadogo nyumbani kwako, nyumba yako mwenyewe lkn utakuwa unarudi saa sita usiku kuondoka saa kumi na moja alfajiri. Unapofanya maamuzi ya kuoa tumia kichwa cha juu, ila upofanya maamuzi ya kutimiza tamaa zako za kimwili tumia kichwa cha chini shauri yako.
Kwa hiyo utakuwa mwendo wa trials and errors, ila siku lazimishi kwani dunia yako chaguo ni lako.Kujitesa kote kwa nini? Mtu akizingua si unaachana naye tu?
🤣🤣🤣🤣😃😃🤣🤣sawa bwana willeNitaleta uzi ku3lezea the other side of the story!
Nimevumilia mengi sana kutoka kwa huyo Dada
Naomba mpuuzie malalamiko yake anataka kunichafuwa, anatafuta sympathy lakini ni bingwa mkubwa sana kwe manipulate!
Kuna mamba ambayo hutakiwi kumpa nafasi mtu unaweza kujikuta unamuonea hurumaWiliam angemwambia tu ukweli uliomfanya amkimbie huyo Dada,pengine huyo Dada nae angekua na maelezo yake ya ufafanuzi,ni lazima mtuhumiwa asikilizwe kabla ya kufikia maamuzi,
Pole sana Dada hata kama kuna jambo lilikua halipo sawa kwenye upande wako pengine ndoa ingekuweka sawa,
Mshukuru Mungu huenda kuna jambo amekuepusha,endelea kumuamini Mungu utampata tu wakukuoa,
Good luck
Roho mbaya gani 🙄Roho mbaya tu…
Beauty has sent many women into marriage but character is busy packing them out. [emoji23][emoji1787]William alimuoa Linda baada ya kumiacha Jack, baada ya William kuoa ndipo inasemekana Jack akatengemeza story.View attachment 2225822
Kabisaaa yaan.Zama dada, maumivu ni sehemu ya maisha.. Wengine yamewakuta utotoni wengine yatatukuta utu uzimani. [emoji3]