Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

Nitaleta uzi ku3lezea the other side of the story!

Nimevumilia mengi sana kutoka kwa huyo Dada
Naomba mpuuzie malalamiko yake anataka kunichafuwa, anatafuta sympathy lakini ni bingwa mkubwa sana kwe manipulate!
 
Acha uzwazwa basi,,huyu wa Uchi Uchi bar anabugia pombe ndo..
 
Nitaleta uzi ku3lezea the other side of the story!

Nimevumilia mengi sana kutoka kwa huyo Dada
Naomba mpuuzie malalamiko yake anataka kunichafuwa, anatafuta sympathy lakini ni bingwa mkubwa sana kwe manipulate!
🤣🤣🤣🤣
 
Acha uzwazwa basi,,huyu wa Uchi Uchi bar anabugia pombe ndo..
Kwa comment hiyo unaonekana ulilelewa kwenye malezi ya hovyo sana na till now una maisha magumu ndio maana unatumia lugha mbovu kwa mtu usiye mjua ili tu kupunguza machungu yako!

Pambana utatoka tu.
 
Kujitesa kote kwa nini? Mtu akizingua si unaachana naye tu?
 
Nitaleta uzi ku3lezea the other side of the story!

Nimevumilia mengi sana kutoka kwa huyo Dada
Naomba mpuuzie malalamiko yake anataka kunichafuwa, anatafuta sympathy lakini ni bingwa mkubwa sana kwe manipulate!
🤣🤣🤣🤣😃😃🤣🤣sawa bwana wille
 
Kuna mamba ambayo hutakiwi kumpa nafasi mtu unaweza kujikuta unamuonea huruma

Mimi ilinitokea ni date na dada mmoja siku chache kabla ya kwenda kitia posa nikagundua mambo kibao ambayo siku yategemea with vivid evidence akili yangu iliniambia nikikaa naye kuyazungumzia ataomba msamaha nikajikuta nimelegea nikamsamehe. Nilichokifanya ni kukata mawasiliano
 
Wille de Champ,thumb up dude....Kidemu kinaongea kama kime setiwa
 
Ndoa hailazimishwi

Wanawake tunakatabia cha kulazimisha ndoa, na mpk mahari tunajitolea

Mwanaume akikupenda hata bila ndoa mtaishi tu.

Huyu ni king'ang'anizi huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…