COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Mkuu Kiranga sikuhizi mee wana wa roga keee ili wadumu nao sasa inapotokea kee kakorogwa na mee, na Mee kavurugwa na mwingine ndo utasikia na kuona kee anahangaika hadi mitandaoni .Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?
Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?
Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?
Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
Lakini kwa kawaida ya kee ukimuumiza sehemu 1 yeye ata kuumiza sehemu zote hadi ahakikishe unalala vilabuni
Hahahaaa !
Hivyo ukiona kee kaja mitandaoni kulalamika ujue ndumbaa isha take place