COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Mkuu Kiranga sikuhizi mee wana wa roga keee ili wadumu nao sasa inapotokea kee kakorogwa na mee, na Mee kavurugwa na mwingine ndo utasikia na kuona kee anahangaika hadi mitandaoni .Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?
Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?
Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?
Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
sio kweli hii.Hamjifunzi kutoka story za watu??
Mwanaume maskini hakupendi anatafuta huruma tu....siku akipata hakuna rangi hutaacha kuiona
The game does not run on gratitude. Mwache aende zake.Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
sio kweli hii.
sasa rubii kwahiyo wote mtaolewa na matajiri tuuu,😁
Hii methali ilikuwa zamaniWahenga wanasema Kila mwanaume mwenye mafanikio ujue nyuma yake Kuna mwanamke.
Shida ni kujua je ni mwanamke gani yupo nyuma ya ayo mafanikio anyway pole sana Mkuu uwende umefanyika daraja ivyo kazi yako imeisha tafuta mwingine ambaye atakuwa daraja kwako
awe na kitu gani ?.Awe na kitu umpate sio hana et uvumilie aje apate kitu
Anakua na dharau balaa
awe na kitu gani ?.
dharau naamini ni tabia tu hata ungemkuta anamiliki mgodi
Hayo yote hayajibu swali langu la kwa nini ulazimishe mapenzi?Mkuu Kiranga sikuhizi mee wana wa roga keee ili wadumu nao sasa inapotokea kee kakorogwa na mee, na Mee kavurugwa na mwingine ndo utasikia na kuona kee anahangaika hadi mitandaoni .
Lakini kwa kawaida ya kee ukimuumiza sehemu 1 yeye ata kuumiza sehemu zote hadi ahakikishe unalala vilabuni
Hahahaaa !
Hivyo ukiona kee kaja mitandaoni kulalamika ujue ndumbaa isha take place
Aya tafsiri sasa[emoji1783]Marriage requires patience, understanding, ability to bow out in argument and love.
Love marriage fad has blinded people to assume that dating and small term relationship lead to marriage. In reality it doesn’t.
A person good with sex, doesn’t mean he’s going to be good with finances. A person good with money may not be good with sex. And you can guess the rest of scenarios.
Nobody is perfect. But people want perfection for their own life. So they pick and choose their comfort zone in marriage, which doesn’t stand for many in relationship.
That’s why some women have love affair till they find financially secure and decent guy, then they dump their current lover. Many men have love affair with progressive modern woman but they want stability in relationship so they marry conservative woman. Some people just want time pass and intimacy exploration before marriage too.
Ukiachwa hilo ni kosa lako.
Ama umemkubali mtu ambaye si sahihi tangu mwanzo. Kosa lako.
Ama mtu alikuwa sahihi mwanzo akabadilika, ukashindwa kumuacha wewe kwanza. Kosa lako.
Ama mtu sahihi, ila kakuchoka tu. Kosa lako.
Vyovyote vile hutakiwi kuachwa.
Ukiachwa usilalamike. Tafuta mwingine tu.
Kwa sababu, kuachwa ni kosa lako.
Bila kujali wewe ni mwanamke au mwanamme. Bila kujali unahudumia au unahudumiwa.
Unatakiwa kuwa na mvuto mkali sana kiasi kwamba wewe tatizo lako liwe ukiingia kwenye mahusiano watu hawataki kuachana nawe.
Yani wao ndio wawe wanalazimisha mahusiano na wewe, sio wewe unalazimisha mahusiano na wao.
Ukiachwa ujue ushazembea sehemu hapo.
Jitafute ujiongeze mwenyewe bila kutaka kumdhuru mtu.
Acha kupotosha watu - hii ni sumu mbaya sana unayoipandikiza kwa hawa watoto wa 2000 ambao wengi engine zao hazina Kilometer nyingi na hazijawahi kufanyiwa overhaulHamjifunzi kutoka story za watu??
Mwanaume maskini hakupendi anatafuta huruma tu....siku akipata hakuna rangi hutaacha kuiona
Utajua mwenyewe!!Acha kupotosha watu - hii ni sumu mbaya sana unayoipandikiza kwa hawa watoto wa 2000 ambao wengi engine zao hazina Kilometer nyingi na hazijawahi kufanyiwa overhaul
Nasisitiza wasipuuzwe, wako na hoja.Hehee slay queens wakisema mwanaume maskini akapendwe na mama yake tu.