Inauma sana na haivumiliki

Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?

Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?

Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?

Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
Mkuu Kiranga sikuhizi mee wana wa roga keee ili wadumu nao sasa inapotokea kee kakorogwa na mee, na Mee kavurugwa na mwingine ndo utasikia na kuona kee anahangaika hadi mitandaoni .
Lakini kwa kawaida ya kee ukimuumiza sehemu 1 yeye ata kuumiza sehemu zote hadi ahakikishe unalala vilabuni
Hahahaaa !
Hivyo ukiona kee kaja mitandaoni kulalamika ujue ndumbaa isha take place
 
Ndoa ni nini? ndoa ni mkataba wa hiyari baina ya watu wawili( hapo inaweza kuwa zaidi ya) wenye lengo malaamu, kama kuishi pamoja ama vinginevyo inategemeana na hao watu wenyewe, sasa kama Ndoa tu ni mkataba wa hiyari ambao unaweza kuvunjika ama kuingia kwenye migogoro muda wowote, itakuwa mahusiano Mkuu? Mahusiano ni sehemu ya Maisha, ni hatua, ni mapito ni kujifunza, ni changamoto, ni vita, ni visasi, ni sehemu ya Maisha, je Maisha yakikupiga utayashusha Busha? kwa kuwa yamekusaliti, vipi kama ndugu walishaona tangu mwanzo huyo mtu uliyenaye si sahihi kwako tangu awali na walishajaribu kukwambia hukuliona hilo kwa wakati huo, si ulikuwa unafaidi penzi? kila kitu kina matokeo mawili, hasi na chanya, si mahusiano tu, hata biashara, unaweza fanya biashara fulani, kwa miaka kadhaa, isikupe kile unachotaraji, ukaamua kuachana nayo na kuanzisha biashara ingine na huko ukapata mafanikio, je ni kweli ile biashara ya mwanzo ni mbaya kiasi hicho? ama ni namna ile ambayo wewe ulikuwa ukiiendesha ile biashara ya awali? hatutakiwi kujuta kwa lolote ikiwa bado tunaishi, pangusa makalio anza upya.
 
Hamjifunzi kutoka story za watu??
Mwanaume maskini hakupendi anatafuta huruma tu....siku akipata hakuna rangi hutaacha kuiona
 
The game does not run on gratitude. Mwache aende zake.
 
Hii methali ilikuwa zamani
 
Hayo yote hayajibu swali langu la kwa nini ulazimishe mapenzi?
 
Aya tafsiri sasa[emoji1783]
 
Kwamba wakati unampenda yupo hoe hae na yeye anakupa penzi na wewe unamjali kwa hali haikuwa quid pro quo.... ?

Ukiishi kwa leo na sio kwa kesho (enjoy the moment) na ukigundua kwamba huwezi kumiliki kiumbe (binadamu) na huwa wanabadilika, basi mambo haya hayatakusumbua kabisa..., badala ya kukumbuka visa alivyokupa utakumbuka good times mlizo enjoy...

Yesterday is a memory today is a gift and tomorrow a mystery
 

We jamaa uko vizuri sana kwenye kujenga hoja, ndo maana hapa JF unawasumbua sana watu
 
Hamjifunzi kutoka story za watu??
Mwanaume maskini hakupendi anatafuta huruma tu....siku akipata hakuna rangi hutaacha kuiona
Acha kupotosha watu - hii ni sumu mbaya sana unayoipandikiza kwa hawa watoto wa 2000 ambao wengi engine zao hazina Kilometer nyingi na hazijawahi kufanyiwa overhaul
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…