Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apate Sweet Wine Nzuri TaratibuHahahaa..
Mkuu tafuta whisky unywe..
Hawana pema hao jamaa kama mbwai mbwai potelea mbali. Upinzani gani haueleweki lipi wanasimamiaUpinzani walishauriwa vizuri,wasiingie kwenye uchaguzi kwa hii tume ya uchaguzi.. kikwete aliwabeba mnoo.
Baada ya hapo Magufuli atatangazwa na Bunge kuongezewa kutawala hadi achoke!Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba
Ni watu wenye tamaa mnoo.Walishindwa hata kujifunza kilicho tokea kwenye uchaguzi wa serikali ya mitaa mwaka Jana..pia Nature ya Rais aliyepo ni tofauti mnoo na Kikwete ambaye angalau aliweka mazingira mazuri upande wa ubunge kushinda kihalali.Hawana pema hao jamaa kama mbwai mbwai potelea mbali. Upinzani gani haueleweki lipi wanasimamia
Jiliwaze tu unalalamika ukiwa chumbani peke yako.Do not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Kufikia 2020 upinzani wote utakuwa umefutika. Nadhani sasa mnajua maana halisi ya kufutika.