Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Wa kulaumiwa in Jaji Mugasha aliyotoa hukumu ya hovyo. Next???
 
Do not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Halafu walivyo wanyama na wahuni wanaanza kutangaza yale majimbo makuu ya upinzani
yaani hapo ndo wananikata maini kabisa
sasa hivi nasubiri Arusha nayo wafanye yao
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba
pole.. kula za kuandika sana mitandaoni huwa hazipo kuhesabiwa..
Ila kabisaaaaaaa.. hao upinzani ulitaka waongoze nchi... eeeeeeeh
 
Ni watu wenye tamaa mnoo.Walishindwa hata kujifunza kilicho tokea kwenye uchaguzi wa serikali ya mitaa mwaka Jana..pia Nature ya rais aliyepo ni tofauti mnoo na kikwete ambaye angalau aliweka mazingira mazuri upande wa ubunge kushinda kihalali.
Mkuu furahi kama huoni kilichotokea nchi hii tuna safari ndefu, in short democracy ni kichomi, so kufurahisha upinzani kukinywa ni ukichaa kwa nchi yetu. It's sad
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Kunywa sumu
 
Baada ya hapo Magufuli atatangazwa na Bunge kuongezewa kutawala hadi achoke!

Wana CCM wataandamana nchi nzima kuwa kwa kuwa upinzani umekufa wacha aendelee
Hahhaha madua ya kuku hayo nyie vimbeni tu mpasuke
 
Haya na maisha yaendelee. Hope mishahara itapanda, Ajira zitakuwepo sasa na Tanzania yetu itakuwa kama Ulaya sasa. Maana wale waliotukwamisha since Uhuru rasmi tumewatoa jana kwenye sanduku la kura
[emoji2]
 
Back
Top Bottom