Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumdanganya mwenzio...kubalini mmeshindwa.Do not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Sasa subiri kama atakaekua affected na kuwa na wabunge 100% wa ccm watakuwa ni upinzani tu.. zikipita sheria za ajabu zitakuwa za watanzania woote sio upinzaniWenzenu ccm walipiga kampeni za shuka kwa shuka,kitanda kwa kitanda.nyie mkabaki kupiga kampeni hapa jf.ndio matunda hayo
Halafu walivyo wanyama na wahuni wanaanza kutangaza yale majimbo makuu ya upinzaniDo not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
pole.. kula za kuandika sana mitandaoni huwa hazipo kuhesabiwa..Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba
Mkuu furahi kama huoni kilichotokea nchi hii tuna safari ndefu, in short democracy ni kichomi, so kufurahisha upinzani kukinywa ni ukichaa kwa nchi yetu. It's sadNi watu wenye tamaa mnoo.Walishindwa hata kujifunza kilicho tokea kwenye uchaguzi wa serikali ya mitaa mwaka Jana..pia Nature ya rais aliyepo ni tofauti mnoo na kikwete ambaye angalau aliweka mazingira mazuri upande wa ubunge kushinda kihalali.
RUZUKU!Upinzani walishauriwa vizuri,wasiingie kwenye uchaguzi kwa hii tume ya uchaguzi..
Kunywa sumuYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Sidhani kama huu ni wakati wa kukejeli, utachukiwa tu, watu watakulaani ww kuliko hata JPM,nchi nzima ni kijani, sasa maendeleo yanakuja sababu wanaokwamisha hawapo, kejeli za nn?Ingieni barabarani jamani
Hahhaha madua ya kuku hayo nyie vimbeni tu mpasukeBaada ya hapo Magufuli atatangazwa na Bunge kuongezewa kutawala hadi achoke!
Wana CCM wataandamana nchi nzima kuwa kwa kuwa upinzani umekufa wacha aendelee
[emoji2]Haya na maisha yaendelee. Hope mishahara itapanda, Ajira zitakuwepo sasa na Tanzania yetu itakuwa kama Ulaya sasa. Maana wale waliotukwamisha since Uhuru rasmi tumewatoa jana kwenye sanduku la kura
Uumwe roho kwa kipi? Uligombea?Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie [emoji24]
Ficha upumbavu wako kidogo, sio kila sehemu pa kuonesha upuuzi.Uumwe roho kwa kipi? Uligombea?
Pole sana mkuu,,Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie [emoji24]
Hakuna wataoingia ili mpate cha kusema.Ingieni barabarani jamani