Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Mkuu cheti cha chuo umeforge wewe ni mhujumu wa ElimuWenzenu CCM walipiga kampeni za shuka kwa shuka, kitanda kwa kitanda. Nyie mkabaki kupiga kampeni hapa JF ndio matunda hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu cheti cha chuo umeforge wewe ni mhujumu wa ElimuWenzenu CCM walipiga kampeni za shuka kwa shuka, kitanda kwa kitanda. Nyie mkabaki kupiga kampeni hapa JF ndio matunda hayo.
Mwenyewe unaona sifaaaaaaaa!! Acha ushamba na ulimbukeni mtoto wa mama bado mdomo unanuka maziwa ya mama.Shut up!!!Mnaogopa kufa ndiyo maana hamuingii barabarani? Hamtakufa ingieni tu
Tatizo kubwa kwa upande wako blaza kwangu sio tatizo ni solutionHatuvimbi baba! Tunasema tu baba, nchi yetu sote hii tunastahili kusema pia!
Magufuli ni tatizo kubwa kwa nchi hii kwasasa!
Na hii imetokana na akili ndogo za Kikwete kutoona mbali, akatuachia jitu ovu kabisa na lisilo na chembe ya haya
I don't think soDo not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Mi mbona niko barabarani tayari naendelea na mambo yanguIngieni barabarani jamani
Kajinga sana hakaMwenyewe unaona sifaaaaaaaa!! Acha ushamba na ulimbukeni mtoto wa mama bado mdomo unanuka maziwa ya mama.Shut up!!!
Ha ha ha ha haaa. Siyo kuandamana tena?Mi mbona niko barabarani tayari naendelea na mambo yangu
Hapana dada..Ha ha ha ha haaa. Siyo kuandamana tena?
Kwanini hauandamani?Hapana dada..
Tumia akili hata kidogo bwana, nimesema ni tatizo la nchi!Tatizo kubwa kwa upande wako blaza kwangu sio tatizo ni solution
Na mimi ni mwananchi sioni tatizo .....hilo umeliona wewe kwa upande wakoTumia akili hata kidogo bwana, nimesema ni tatizo la nchi!
Jay atapita tu hana madharaNauliza,
Professor Jay ameshinda au hajashinda?
Zitto?
Bungara/Bwege?
Matokeo bado hawajatangaza kwa hao wote?Jay atapita tu hana madhara
Zito chini......Jay sijajua badoMatokeo bado hawajatangaza kwa hao wote?
Kuna kata moja Chamwino imetia fora imechagua ACT kwa mkuu .Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Duuh kwa hiyo mpaka sasa hakuna mpinzani yoyote kachukua jimbo?Zito chini......Jay sijajua bado