IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Ingia barabarani mkuuFicha upumbavu wako kidogo, sio kila sehemu pa kuonesha upuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia barabarani mkuuFicha upumbavu wako kidogo, sio kila sehemu pa kuonesha upuuzi.
Mashoga na Wasagaji nao walizaliwa kama wewe,Nilipoona hadi wanaume wa upinzani wanamtetea Tundu kuhusu matamko yake yaliyohusu ushoga niliiona taabu kubwa ambayo inaenda kuupata upinzani wa nchi hii
Wapinzani hawana tone la uzalendo, wanaitaka dola iwe kwa gharama yoyote Ile..... iwe kuuza nchi au kuanzisha Kizazi cha mashoga na wasagaji wao powa tuu
Na BADO.. mtajinyea bora mzime TV mlale Mbwa wa KhakiYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Wafuasi wake hawana hamu kabisaAongee inglishi ili wafuasi wake wamuelewe
Ingieni TU... tunawasubiri kwa HAMU kubwa sana..Ingieni barabarani jamani
Pole sanMALIPO YA DHULUMA NI LAANA NA KIFO
LAANA YA MUNGU IWAPATE WOTE WALIOSHINDA KWA DHULMA NA WIZI
BARAKA ZA MUNGU ZIAMBATANE NA WALIOSHINDA KIHALALI NA WALIO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI
Wafuasi wa Upinzani humu JF tumekuwa tukiwashauri kuwakemea viongozi kwa maneno na matendo yao maovu kwa viongozi wa Serikali, hamkusikia.Upinzani walishauriwa vizuri, wasiingie kwenye uchaguzi kwa hii tume ya uchaguzi. Kikwete aliwabeba mnoo.
Mashoga na Wasagaji nao walizaliwa kama wewe,
Tena bora hata wao wanajielewa kuliko wewe mtu mzima halafu unakua hovyo,
#Panic at your own risk#
Lol.
Kasema ameshaongea na bobu amstadamu asubuhi hiiWafuasi wake hawana hamu kabisa
Kwa jinsi ambavyo hamna akili MATAGA mpaka hamjuani ID mpya kila sikuIngieni TU... tunawasubiri kwa HAMU kubwa sana..
Vyama pinzani tunaomba mtoe tamko kwa nini mtanzania niumie hivi kwa uhuni wa kikundi cha watu Niko tayari kwa lolote sasaYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Wambieni wafute wabaki wao wenyewe watu tafune watakavyo Ila mm kima akijichanganya saizi nakufa nae shenzi kabisa mbwa hawaKumekucha Sasa Hivi
Tembeeni Kifua Mbele
Tupo Kwenye Light Track
Mabeberu Haya
Ccm Wenyewe Wamekosa Amani, Mpaka Sasa Hivi
Sheria Ya Vyama Vingi Ifutwe
Huo ndiyo ukweli na kosa lingine walisahau Lisu ni mbinafsi mno hivyo yeye alikuwa akipiga kampeni kama mgombea binafsi. Ccm walijipanga mtu tatu kwa msemo wa kiimani ulikuwa kama utatu mtakatifu na kwa upande wa wahenga ni mafiga matatuWenzenu CCM walipiga kampeni za shuka kwa shuka, kitanda kwa kitanda. Nyie mkabaki kupiga kampeni hapa JF ndio matunda hayo.
Bobu anamuingiza chaka tuKasema ameshaongea na bobu amstadamu asubuhi hii
Culture Me lazima uwatetee kwasababu Ni wenzakoMashoga na Wasagaji nao walizaliwa kama wewe,
Tena bora hata wao wanajielewa kuliko wewe mtu mzima halafu unakua hovyo,
#Panic at your own risk#
Lol.
mama D huyo Ni msagaji na alishasema kwenye jukwaa la mahusiano so usishangae yeye kuwatetea kwasababu Ni wenzakePunguza povu
Jifunze kuchambua mambo, kuchochea vijana na kuwapa hamasa ya kuwa wasagaji au mashoga sio sawa.
Tofautisha kati ya wale homosexual kwa kuzaliwa na hawa aliotaka kuanza kuzalisha Tundu
Ukweli mnaujua ila mnajitoa ufahamu
Mfyuuuuu
Hawa GHASIA KAANGSHWA MTWARA. Ndo mkome siasa za kukariri. Ilitakiwa mtueleze kwa nini tuwachague, sio kutueleza kwanini tusiwachague CCM, wakati kwa mara ya kwanza CCM imetekeleza ahadi ilizo ahidi kwa kiasi kikubwa.Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.