Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Mara nyingi sauti za wanaosoma haya matokeo hujirudia rudia masikioni mwa wasikilizaji tusioyapenda hata zaidi ya 2 weeks.

Nikikumbuka mara ile mwaka 2015,yaani ndani ya mwezi mmoja na zaidi sauti ya Lubuva ilikuwa inajirudia akilini mwangu,safari hii nasoma tu sitaki kitokee kilichonitokea wakati ule.
 
Yeah sasa tunaikaribisha Tanzania ya kiuraya uraya.
Haya na maisha yaendelee. Hope mishahara itapanda, Ajira zitakuwepo sasa na Tanzania yetu itakuwa kama Ulaya sasa. Maana wale waliotukwamisha since Uhuru rasmi tumewatoa jana kwenye sanduku la kura
 
Unahalalisha wizi wa kura? Kwahiyo uongozi unapewa na viongozi wa serikali sio wananchi?

Nakuonaga ww ni great thinker kuliko Pro-CCM wenzio, ssa argument ya aina gani hii?
Sijabadili maudhui ya ushiriki wangu kwenye jukwaa letu hili la JF. Kamwe mimi katu sitomjadili mtu wala matukio. Ni hoja, hoja, hoja kwa kwenda mbele na mwanzo mwisho.

Nasimama katika hoja zangu za awali kuwa Viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao kabla, wakati na sasa baada ya uchaguzi walikuwa wamechimba kaburi lao na sasa wanajizika wenyewe humo.

Kaburi lao ni la kuamini Tume ya Uchaguzi siyo huru na CCM itatumia vyombo vyao Dola. Hawakuelewa na kama walielewa maana ya matumizi ya vyombo vya Dola, walidharau. Viongozi wa CCM, ngazi zote, waliisimamia Serikali (kwa maana ya vyombo vyake) kutimiza wajibu wake kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2015. Serikali imefanya ilichoagizwa na wapiga kura walisikia na wameona.

Upande wa vyama vya upinzani, viongozi walipumbazwa na ruzuku na malipo wa ubunge wakasahau wajibu wao kama wawakilishi.

Wagombea Urais, hasa wa CHADEMA na ACT-Wazalendo (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) kwenye kampeni wakajita kuwatuhumu viongozi wa Serikali za CCM pasipo kuwaeleza wapiga kura wataitoa Tanzania hapa ilipofikishwa na kuipeleka wapi. Ati "Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu (bila ufafanuzi), na Kazi na Bata". Walishindwa kueleza watafanya nini kuhusu miradi ya "vitu" inayoendelea nchini (SGR, Maji, Umeme, Afya, Elimu).

Kwa hoja hizo, ni ubishi na madai ya kitoto kuwa Uchaguzi haukuwa Huru na Haki. Ukirudiwa tena, na kusimamiwa na Tume ya Kimataifa, upinzani utaambulia sifuri.
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Chadema was Act wanaweza wakose kabisa
 
Unahalalisha wizi wa kura? Kwahiyo uongozi unapewa na viongozi wa serikali sio wananchi?

Nakuonaga ww ni great thinker kuliko Pro-CCM wenzio, ssa argument ya aina gani hii?
Sijabadili maudhui ya ushiriki wangu kwenye jukwaa letu hili la JF. Kamwe mimi katu sitomjadili mtu wala matukio. Ni hoja, hoja, hoja kwa kwenda mbele na mwanzo mwisho.

Nasimama katika hoja zangu za awali kuwa Viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao kabla, wakati na sasa baada ya uchaguzi walikuwa wamechimba kaburi lao na sasa wanajizika wenyewe humo.

Kaburi lao ni la kuamini Tume ya Uchaguzi siyo huru na CCM itatumia vyombo vyao Dola. Hawakuelewa na kama walielewa maana ya matumizi ya vyombo vya Dola, walidharau. Viongozi wa CCM, ngazi zote, waliisimamia Serikali (kwa maana ya vyombo vyake) kutimiza wajibu wake kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2015. Serikali imefanya ilichoagizwa na wapiga kura walisikia na wameona.

Upande wa vyama vya upinzani, viongozi walipumbazwa na ruzuku na malipo wa ubunge wakasahau wajibu wao kama wawakilishi.

Wagombea Urais, hasa wa CHADEMA na ACT-Wazalendo (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) kwenye kampeni wakajita kuwatuhumu viongozi wa Serikali za CCM pasipo kuwaeleza wapiga kura wataitoa Tanzania hapa ilipofikishwa na kuipeleka wapi. Ati "Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu (bila ufafanuzi), na Kazi na Bata". Walishindwa kueleza watafanya nini kuhusu miradi ya "vitu" inayoendelea nchini (SGR, Maji, Umeme, Afya, Elimu).

Kwa hoja hizo, ni ubishi na madai ya kitoto kuwa Uchaguzi haukuwa Huru na Haki. Ukirudiwa tena, na kusimamiwa na Tume ya Kimataifa, upinzani utaambulia sifuri.
 
Kufikia 2020 upinzani wote utakuwa umefutika. Nadhani sasa mnajua maana halisi ya kufutika.
Mhhh Hilo halitatokea hata kabla ya uchaguzi mlidai hivyo ni kazi ngumu kuuoncoa mioyoni mwa watu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] chadema huwa ni malimbukeni haijawahi tokea
Unajua kuna wanaburudisha sana..

Juzi ilikuwa "hatutakubali, na tukishindwa tutaingia barabarani"

Leo wanakumbushwa kuingia barabarani, wanasema "Hatuingii, CCM watapata cha kusema"

Cha kujiuliza "Wanataka nini" exactly!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Binadamu ana kawaida ya kudharau mambo mengi. Unaweza kufanya kosa moja tu mara moja, likakugharimu maisha yako yote.

CCM walifanya kosa mwaka 2015, sasa hakuna anayejua litaligharimu Taifa kwa miaka mingapi.

Ukimpa mwerevu panga, unaweza ukalidai akakurudishia panga lako. Lakini ukikosea ukampa panga kichaa, ukaenda kulidai, utakuwa na bahati kama ukirudi salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuwapawapa viti wakajiona saanaaaa! It was a big mistake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Uchaguz kama bongo fleva tu..bila promo ngumu kutoboa...ccm walikua na promo ya tembo wenzao promo ya sisimiz..so itakua wameshinda kweli

Lakin cha kujiuliza..wa tz tunaelewa maana na faida ya vyama vya upinzani nchini?...mim ni ccm ....kwa raisi naunga mkono 100%

Ila kwa wawakilishi..Mps...hapana...totaly wrong kuwa na bunge zima chama kimoja..ni hatar kwa taifa.....tho naamini mzee baba atawaonyosha hata hao wabunge wa chama chake
Mwananchi hajali nani anatawala ..as long as Maendeleo yanaonekana. Kila mkitoa mifano mnataja Magharibi vipi kuhusu Uchina wanawapinzani wangapi bungeni!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.

Toka huu mwaka umeanza tuliwapa siri za ndan, hamtapata ata mbunge mmoja mkaona tunawaogopea endelea kuskilzia apo,
 
Kwani kwenye nchi yanaishi mapapai tu....nchi inaundwa na wananchi kama sisi
Ndio maana tunasema tunaongozwa na watuwasio na akili kabisa!
Sijasema kuundwa, sijui wananchi...nimesema "nchi"!
Kweli wewe mfuasi wa Jiwe, hamna kitu kabisa
 
Najitolea kukununulia panadol ili upunguze maumivu
Na bado! Haya ni matokeo tu, machungu mengi kwenye miaka mingine mitano yanakuja. Lissu kajaribu, zaidi ya hapo hakuna mwingine wa kutusaidia. Mateso yanakuja, kama raia hatutasimama na kusema hapana ndio hivyo mjue tumekwenda na maji. Nimeumia sana.
 
Kumekucha Sasa Hivi
Tembeeni Kifua Mbele
Tupo Kwenye Light Track
Mabeberu Haya

Ccm Wenyewe Wamekosa Amani, Mpaka Sasa Hivi
Sheria Ya Vyama Vingi Ifutwe
Yani huku mtaani hakuna hata furaha,nyuso za watu zinahuzuni kwelikweli.
Ninachojiuliza kuna kituo hapa wapiga kura hawakufika 300,ila matokeo yametoka eti ccm ineshinda kura 357.
 
Ni watu wenye tamaa mnoo.Walishindwa hata kujifunza kilicho tokea kwenye uchaguzi wa serikali ya mitaa mwaka Jana..pia Nature ya Rais aliyepo ni tofauti mnoo na Kikwete ambaye angalau aliweka mazingira mazuri upande wa ubunge kushinda kihalali.
Kushinda kihalali. Hivyo ushindi huu sio halali!
 
Back
Top Bottom