Azizi J Hamad
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 442
- 230
Acha wasugue benchi sasa, hadi makalio yao yaote magaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupia hata ka picha ka matokeohayo vinginevyo ni udaku tu!Yani huku mtaani hakuna hata furaha,nyuso za watu zinahuzuni kwelikweli.
Ninachojiuliza kuna kituo hapa wapiga kura hawakufika 300,ila matokeo yametoka eti ccm ineshinda kura 357.
Hawana adabu hawa wapinzani wametutukana sana hawa, acha waisome namba.
Heri angegombea mbowe mwenyewe maana alichokifanya Tundu ni sawa alikuta chama kinapumulia mashine yeye akakikatia kabisa na kukiingiza kaburini
Nadhani hili litakua fundisho kwa wapinzani wa vizazi vijavyo
Yani sasa hivi hakuna uzembe wala hakuna kutegea ni kazi, kazi, kazi, kazi.Sasaivi ndio tutajua maana ya Ile kauli mbiu ya HAPA KAZI TUU
Wabunge, madiwani, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na wakurugenzi wao waliokua wanashindwa kutekeleza ilani na kufikia wananchi kwa sababu za tofauti za kisiasa inabidi wafanye kazi kwelikweli
Sipati picha siku rais apite wananchi wamwambie tuna shida na hatujawahi kumwona mbunge miezi12 au miaka2😁😁😁
Hata mimi Tundu aliporudi na kuanza kutema nyongo binafsi, niliwaza ni bora Mbowe angesimama mwenyewe, maana mengi yalimkuta awamu hii angeweza kuyaunganisha na sera.Heri angegombea mbowe mwenyewe maana alichokifanya Tundu ni sawa alikuta chama kinapumulia mashine yeye akakikatia kabisa na kukiingiza kaburini
Nadhani hili litakua fundisho kwa wapinzani wa vizazi vijavyo
Spana zao wakafungulie chip ya chiba wao iliyopo makalioniSi walikua wnaapiga kelele sjui spana, haya sasa hizi sio spana ni bazoka
Upinzani siyo vyama, hata ndani ya CCM kuna upinzani / wapinzani.Kufikia 2020 upinzani wote utakuwa umefutika. Nadhani sasa mnajua maana halisi ya kufutika.
Ni ipi hiyo mkuu,Do not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Haya ngoja nkukere tena, Mara ya kwanza nliwaambia mkipata wabunge 3 toeni fungu LA kumi kwenye ruzuku,Spana zao wakafungulie chip ya chiba wao iliyopo makalioni
Upinzani walishauriwa vizuri, wasiingie kwenye uchaguzi kwa hii tume ya uchaguzi. Kikwete aliwabeba mnoo.
Pole mkuu,
Nakushauri uingie barabarani kama Lissu alivyodai.
acha uongo ww kijanaYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
subutuu.....Pole mkuu,
Nakushauri uingie barabarani kama Lissu alivyodai.
Tulilisema zamani hili...Kumekucha Sasa Hivi
Tembeeni Kifua Mbele
Tupo Kwenye Light Track
Mabeberu Haya
Ccm Wenyewe Wamekosa Amani, Mpaka Sasa Hivi
Sheria Ya Vyama Vingi Ifutwe