Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Sijabadili maudhui ya ushiriki wangu kwenye jukwaa letu hili la JF. Kamwe mimi katu sitomjadili mtu wala matukio. Ni hoja, hoja, hoja kwa kwenda mbele na mwanzo mwisho.

Nasimama katika hoja zangu za awali kuwa Viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao kabla, wakati na sasa baada ya uchaguzi walikuwa wamechimba kaburi lao na sasa wanajizika wenyewe humo.

Kaburi lao ni la kuamini Tume ya Uchaguzi siyo huru na CCM itatumia vyombo vyao Dola. Hawakuelewa na kama walielewa maana ya matumizi ya vyombo vya Dola, walidharau. Viongozi wa CCM, ngazi zote, waliisimamia Serikali (kwa maana ya vyombo vyake) kutimiza wajibu wake kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi, 2015. Serikali imefanya ilichoagizwa na wapiga kura walisikia na wameona.

Upande wa vyama vya upinzani, viongozi walipumbazwa na ruzuku na malipo wa ubunge wakasahau wajibu wao kama wawakilishi.

Wagombea Urais, hasa wa CHADEMA na ACT-Wazalendo (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar) kwenye kampeni wakajita kuwatuhumu viongozi wa Serikali za CCM pasipo kuwaeleza wapiga kura wataitoa Tanzania hapa ilipofikishwa na kuipeleka wapi. Ati "Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu (bila ufafanuzi), na Kazi na Bata". Walishindwa kueleza watafanya nini kuhusu miradi ya "vitu" inayoendelea nchini (SGR, Maji, Umeme, Afya, Elimu).

Kwa hoja hizo, ni ubishi na madai ya kitoto kuwa Uchaguzi haukuwa Huru na Haki. Ukirudiwa tena, na kusimamiwa na Tume ya Kimataifa, upinzani utaambulia sifuri.
Hivi mkuu huwezi jiuliza tu Hai wamepiga kura watu 100k+ ila Moshi below 50k pekee? Kuna logic tu za kawaida.

Kila nchi ina opposition hardcore yaani hata iweje wao ni left wing au right wing hawayumbi. Kwahiyo hata ungefanya nini huwezi kubalika na watu wote.

Sasa haya yote yangekua proven kma mngeacha uchaguzi uwe huru ili watu wakose vijisababu. Wagombea wanadai mawakala kutolewa na wengine kunyimwa nakala za matokeo then ww unakuja hapa kusema ni UCHAPA KAZI wa Magufuli?

Hivi kuna correlation kati ya uchapa kazi na mawakala kutimuliwa vituone ama wagombea kuenguliwa? Naomba ujibu hapa specifically
 
Hivi mkuu huwezi jiuliza tu Hai wamepiga kura watu 100k+ ila Moshi below 50k pekee? Kuna logic tu za kawaida.

Kila nchi ina opposition hardcore yaani hata iweje wao ni left wing au right wing hawayumbi. Kwahiyo hata ungefanya nini huwezi kubalika na watu wote.

Sasa haya yote yangekua proven kma mngeacha uchaguzi uwe huru ili watu wakose vijisababu. Wagombea wanadai mawakala kutolewa na wengine kunyimwa nakala za matokeo then ww unakuja hapa kusema ni UCHAPA KAZI wa Magufuli?

Hivi kuna correlation kati ya uchapa kazi na mawakala kutimuliwa vituone ama wagombea kuenguliwa? Naomba ujibu hapa specifically

Hakuna mahali au wakati wowote nimetoa hoja ya UCHAPA KAZI wa Magufuli bali wewe unakiri hivyo. Basi kweli ni mchapa kazi.

Wagombea walienguliwa kwa sababu hawakukidhi vigezo vya kuteuliwa ikizingatiwa wakiteuliwa na kuchaguliwa ni wawakilishi wa watu. Tumeshuhudia baadhi ya waliochaguliwa kuhama vyama. Na hata kama wangeruhusiwa kushiriki, kwa matokeo ya uchaguzi uliomalizika, yasingebadilika

Mawakala ambao hawakuwa na barua za utambulisho waliruhusiwa kuendelea na usimamizi wakisubiri barua za utambulisho. Lakini barua zilipoletwa zilikuwa za watu tofauti kabisa, ikabidi watimuliwe. Kumbe Mawakala halisi walisusa kwa kuahidiwa malipo baada ya uchaguzi.

Hata kama pasingekuwepo na mawakala bado mchakato wa kupiga na kuhesabu kura ulikuwa wa wazi kabisa. Kama ulishiriki kupiga kura utakuwa shahidi. Isitoshe siyo wote wa Tume, walioshiriki katika mchakato wana mapenzi na CCM. Ungekuwa mchambuzi makini ungewauliza baadhi wa wasimamizi au wasaidizi wa baadhi ya vituo kupata ukweli.

TUJIFUNZE KUTAFUTA UKWELI ILI KUONDOKANA na HISIA OVU
 
Hakuna mahali au wakati wowote nimetoa hoja ya UCHAPA KAZI wa Magufuli bali wewe unakiri hivyo. Basi kweli ni mchapa kazi.

Wagombea walienguliwa kwa sababu hawakukidhi vigezo vya kuteuliwa ikizingatiwa wakiteuliwa na kuchaguliwa ni wawakilishi wa watu. Tumeshuhudia baadhi ya waliochaguliwa kuhama vyama. Na hata kama wangeruhusiwa kushiriki, kwa matokeo ya uchaguzi uliomalizika, yasingebadilika

Mawakala ambao hawakuwa na barua za utambulisho waliruhusiwa kuendelea na usimamizi wakisubiri barua za utambulisho. Lakini barua zilipoletwa zilikuwa za watu tofauti kabisa, ikabidi watimuliwe. Kumbe Mawakala halisi walisusa kwa kuahidiwa malipo baada ya uchaguzi.

Hata kama pasingekuwepo na mawakala bado mchakato wa kupiga na kuhesabu kura ulikuwa wa wazi kabisa. Kama ulishiriki kupiga kura utakuwa shahidi. Isitoshe siyo wote wa Tume, walioshiriki katika mchakato wana mapenzi na CCM. Ungekuwa mchambuzi makini ungewauliza baadhi wa wasimamizi au wasaidizi wa baadhi ya vituo kupata ukweli.

TUJIFUNZE KUTAFUTA UKWELI ILI KUONDOKANA na HISIA OVU
Kwa hizi argument zako naelewa kwanini kina Membe au Lowassa walishindwa kabisa siasa za upinzani. Huwa mnabisha kila kitu ila siku natamani ufanye tafiti uchukue fomu ya udiwani wa chama chochote cha upinzani hasa hivi vidogo ambavyo havina wagombea.

Then urudi hapa kuandika huu utumbo. Eti hawakuwa na vigezo? Suzan kiwanga kagombea ubunge miaka mingapi? Alikua na vigezo miaka yote ila 2020 ndio hana vigezo? Are you serious?

Unasema hta wangepitishwa wasingebadili kitu? Well ambacho hujui wangeupa mchakato mzima legitimacy hta kma CCM wangeshinda kata zote.

Embu imagine NEC ingeamua ifanye demands zote za upinzani alafu waanguke ungeona wanasingizia kitu? Kwanini hamjifunzi kwa IEBC ya Kenya walau wamepunguza malalamiko kwa kutumia Tehama,Busara,Ufanisi na uwazi wa hali ya juu.
 
Kwa hizi argument zako naelewa kwanini kina Membe au Lowassa walishindwa kabisa siasa za upinzani. Huwa mnabisha kila kitu ila siku natamani ufanye tafiti uchukue fomu ya udiwani wa chama chochote cha upinzani hasa hivi vidogo ambavyo havina wagombea.

Then urudi hapa kuandika huu utumbo. Eti hawakuwa na vigezo? Suzan kiwanga kagombea ubunge miaka mingapi? Alikua na vigezo miaka yote ila 2020 ndio hana vigezo? Are you serious?

Unasema hta wangepitishwa wasingebadili kitu? Well ambacho hujui wangeupa mchakato mzima legitimacy hta kma CCM wangeshinda kata zote.

Embu imagine NEC ingeamua ifanye demands zote za upinzani alafu waanguke ungeona wanasingizia kitu? Kwanini hamjifunzi kwa IEBC ya Kenya walau wamepunguza malalamiko kwa kutumia Tehama,Busara,Ufanisi na uwazi wa hali ya juu.

Sawa, mimi nimeandika utumbo, najiuliza kama hayo maswali na hoja vinatoka kwa mtu mzima, kijana, mtoto au kichaa!!!

Unasahau kuwa Mgombea wa Urais kupitia CCM aliwekewa pingamizi kwa kutokutimiza vigezo wakati alikwisha kuwa mbunge mzoefu na kisha kuteuliwa na kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi kwa sasa, itakuwa huyo uliyemtaja!

Huwa mnadai utawala wa sheria, iweje leo utetee kupitishwa tu kwa wagombea wasiokidhi vigezo, kwa mujibu wa sheria, ati ili waupe mchakato mzima legitimacy? Kumbuka kuwa wagombea ni wawakilishi wetu, kwenye vyombo (Halmashauri na Bunge) vyenye maamuzi juu ya maisha yetu, hivyo basi, wanapaswa kuwa watu wenye umakini wa hali ya juu kabisa.

Unapenda kutoa mifano ya nchi za nje, kutetea hoja zako mufu na zenye mwelekeo na hisia za siasa potofu na uchwara km hiyo IEBC ya Kenya, wakati ni dhahiri huko kunatokota (hakuko shwari kisiasa) hata sasa, wanapoelekea Uchaguzi Mkuu wao.

Ifike mahala tukubaliane kuwa viongozi wa upinzani, miaka 5 ya utawala wa Magufuli, hawakujifunza kubadilika kisiasa, ili waondokane na siasa za ulaghai majukwaani. Wakati wagombea wote wa CCM (Madiwani, Wabunge na Urais) walieleza kwa ufasaha na mifano, walichowafanyia wapiga kura (kwa maana ya kutimiza ahadi) kwa miaka 5, ili waaminike, wagombea wa upinzani walikebehi hayo. Wakati wagombea wa CCM, wakirejea historia ya nyuma kueleza ya kesho itakuwaje, wale wa upinzani walibaki kubwabwaja kwa hadithi zisizoeleweka. Katika hali hiyo, ya kisiasa, ni wazi wagombea wa CCM walijitokeza kuaminika zaidi kwa wapiga kura.
 
Kwa hizi argument zako naelewa kwanini kina Membe au Lowassa walishindwa kabisa siasa za upinzani. Huwa mnabisha kila kitu ila siku natamani ufanye tafiti uchukue fomu ya udiwani wa chama chochote cha upinzani hasa hivi vidogo ambavyo havina wagombea.

Then urudi hapa kuandika huu utumbo. Eti hawakuwa na vigezo? Suzan kiwanga kagombea ubunge miaka mingapi? Alikua na vigezo miaka yote ila 2020 ndio hana vigezo? Are you serious?

Unasema hta wangepitishwa wasingebadili kitu? Well ambacho hujui wangeupa mchakato mzima legitimacy hta kma CCM wangeshinda kata zote.

Embu imagine NEC ingeamua ifanye demands zote za upinzani alafu waanguke ungeona wanasingizia kitu? Kwanini hamjifunzi kwa IEBC ya Kenya walau wamepunguza malalamiko kwa kutumia Tehama,Busara,Ufanisi na uwazi wa hali ya juu.

Sawa, mimi nimeandika utumbo, najiuliza kama hayo maswali na hoja vinatoka kwa mtu mzima, kijana, mtoto au kichaa!!!

Unasahau kuwa Mgombea wa Urais kupitia CCM aliwekewa pingamizi kwa kutokutimiza vigezo wakati alikwisha kuwa mbunge mzoefu na kisha kuteuliwa na kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi kwa sasa, itakuwa huyo uliyemtaja!

Huwa mnadai utawala wa sheria, iweje leo utetee kupitishwa tu kwa wagombea wasiokidhi vigezo, kwa mujibu wa sheria, ati ili waupe mchakato mzima legitimacy? Kumbuka kuwa wagombea ni wawakilishi wetu, kwenye vyombo (Halmashauri na Bunge) vyenye maamuzi juu ya maisha yetu, hivyo basi, wanapaswa kuwa watu wenye umakini wa hali ya juu kabisa.

Unapenda kutoa mifano ya nchi za nje, kutetea hoja zako mufu na zenye mwelekeo na hisia za siasa potofu na uchwara km hiyo IEBC ya Kenya, wakati ni dhahiri huko kunatokota (hakuko shwari kisiasa) hata sasa, wanapoelekea Uchaguzi Mkuu wao.

Ifike mahala tukubaliane kuwa viongozi wa upinzani, miaka 5 ya utawala wa Magufuli, hawakujifunza kubadilika kisiasa, ili waondokane na siasa za ulaghai majukwaani. Wakati wagombea wote wa CCM (Madiwani, Wabunge na Urais) walieleza kwa ufasaha na mifano, walichowafanyia wapiga kura (kwa maana ya kutimiza ahadi) kwa miaka 5, ili waaminike, wagombea wa upinzani walikebehi hayo. Wakati wagombea wa CCM, wakirejea historia ya nyuma kueleza ya kesho itakuwaje, wale wa upinzani walibaki kubwabwaja kwa hadithi zisizoeleweka. Katika hali hiyo, ya kisiasa, ni wazi wagombea wa CCM walijitokeza kuaminika zaidi kwa wapiga kura.
 
Sawa, mimi nimeandika utumbo, najiuliza kama hayo maswali na hoja vinatoka kwa mtu mzima, kijana, mtoto au kichaa!!!

Unasahau kuwa Mgombea wa Urais kupitia CCM aliwekewa pingamizi kwa kutokutimiza vigezo wakati alikwisha kuwa mbunge mzoefu na kisha kuteuliwa na kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi kwa sasa, itakuwa huyo uliyemtaja!

Huwa mnadai utawala wa sheria, iweje leo utetee kupitishwa tu kwa wagombea wasiokidhi vigezo, kwa mujibu wa sheria, ati ili waupe mchakato mzima legitimacy? Kumbuka kuwa wagombea ni wawakilishi wetu, kwenye vyombo (Halmashauri na Bunge) vyenye maamuzi juu ya maisha yetu, hivyo basi, wanapaswa kuwa watu wenye umakini wa hali ya juu kabisa.

Unapenda kutoa mifano ya nchi za nje, kutetea hoja zako mufu na zenye mwelekeo na hisia za siasa potofu na uchwara km hiyo IEBC ya Kenya, wakati ni dhahiri huko kunatokota (hakuko shwari kisiasa) hata sasa, wanapoelekea Uchaguzi Mkuu wao.

Ifike mahala tukubaliane kuwa viongozi wa upinzani, miaka 5 ya utawala wa Magufuli, hawakujifunza kubadilika kisiasa, ili waondokane na siasa za ulaghai majukwaani. Wakati wagombea wote wa CCM (Madiwani, Wabunge na Urais) walieleza kwa ufasaha na mifano, walichowafanyia wapiga kura (kwa maana ya kutimiza ahadi) kwa miaka 5, ili waaminike, wagombea wa upinzani walikebehi hayo. Wakati wagombea wa CCM, wakirejea historia ya nyuma kueleza ya kesho itakuwaje, wale wa upinzani walibaki kubwabwaja kwa hadithi zisizoeleweka. Katika hali hiyo, ya kisiasa, ni wazi wagombea wa CCM walijitokeza kuaminika zaidi kwa wapiga kura.
Mnapoteza muda na nguvu zenu kubishana juu ya hili. Tatizo mbona lipo wazi. Wenye akili wanalijua.
 
Ingieni au “tuingie” hahahahah. Anyway Wacha kwanza barabara zipigwe lami tutaingia na Prado zetu
emoji23.png
Weka picha ya hiyo Prado yako. Usikute hata baiskeli huna
 
Sawa, mimi nimeandika utumbo, najiuliza kama hayo maswali na hoja vinatoka kwa mtu mzima, kijana, mtoto au kichaa!!!

Unasahau kuwa Mgombea wa Urais kupitia CCM aliwekewa pingamizi kwa kutokutimiza vigezo wakati alikwisha kuwa mbunge mzoefu na kisha kuteuliwa na kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi kwa sasa, itakuwa huyo uliyemtaja!

Huwa mnadai utawala wa sheria, iweje leo utetee kupitishwa tu kwa wagombea wasiokidhi vigezo, kwa mujibu wa sheria, ati ili waupe mchakato mzima legitimacy? Kumbuka kuwa wagombea ni wawakilishi wetu, kwenye vyombo (Halmashauri na Bunge) vyenye maamuzi juu ya maisha yetu, hivyo basi, wanapaswa kuwa watu wenye umakini wa hali ya juu kabisa.

Unapenda kutoa mifano ya nchi za nje, kutetea hoja zako mufu na zenye mwelekeo na hisia za siasa potofu na uchwara km hiyo IEBC ya Kenya, wakati ni dhahiri huko kunatokota (hakuko shwari kisiasa) hata sasa, wanapoelekea Uchaguzi Mkuu wao.

Ifike mahala tukubaliane kuwa viongozi wa upinzani, miaka 5 ya utawala wa Magufuli, hawakujifunza kubadilika kisiasa, ili waondokane na siasa za ulaghai majukwaani. Wakati wagombea wote wa CCM (Madiwani, Wabunge na Urais) walieleza kwa ufasaha na mifano, walichowafanyia wapiga kura (kwa maana ya kutimiza ahadi) kwa miaka 5, ili waaminike, wagombea wa upinzani walikebehi hayo. Wakati wagombea wa CCM, wakirejea historia ya nyuma kueleza ya kesho itakuwaje, wale wa upinzani walibaki kubwabwaja kwa hadithi zisizoeleweka. Katika hali hiyo, ya kisiasa, ni wazi wagombea wa CCM walijitokeza kuaminika zaidi kwa wapiga kura.
Mkuu mbona unaruka maswali yangu. Nimekuuliza Kiwanga kagombea mara ngapi? Kivp akose vigezo 2020 pekee na sio 2010 ama 15? Huo mfano wa JPM hauna uhalisia maana pingamizi lake lilikataliwa tofauti na Kiwanga sasa zina correlate vp?

IEBC tuwe wakweli hapa iliendesha uchaguzi vizuri kabisa kosa lao ni kutangaza matokeo kwa zile tallying za kielektroniki kabla hawaja reconcille na fomu za karatasi ili kupima variation. Otherwise mambo mengine yote walifanya sawa walikosea tu kwenye utangazaji matokeo ila kuhesabu, kutoa nakala, kuingiza mawakala wa vyama.vyote etc hawakuwa na kosa. Ila NEC imezingua from day one

3. Nimekueleza hapa tuqe na mjadala objective kuhusu uchaguzi hayo ya wagombea wa CCM kunadi sera ilihali cku ya uchaguzi mawakala wananyimwa nakala za matokeo yana uhusiano gani? Unasema mawakala hawatii sheria ina maana huu ni uchaguzi wao wa kwanza kugombea? Miaka yote CHADEMA ina mawakala mbona hatukusikia wanatolewa au kunyimwa entry? Ina maana hawajui sheria 2020 pekee?

Hya maswali ni objective tusikimbilie kwa CCM hata kma wangekua malaika hapa hoja ni mchakato uliowapitisha ni halali? Pia Ww unaridhika wabunge 28 kupita bila kupingwa?
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Mkuu mbona unaruka maswali yangu. Nimekuuliza Kiwanga kagombea mara ngapi? Kivp akose vigezo 2020 pekee na sio 2010 ama 15? Huo mfano wa JPM hauna uhalisia maana pingamizi lake lilikataliwa tofauti na Kiwanga sasa zina correlate vp?

IEBC tuwe wakweli hapa iliendesha uchaguzi vizuri kabisa kosa lao ni kutangaza matokeo kwa zile tallying za kielektroniki kabla hawaja reconcille na fomu za karatasi ili kupima variation. Otherwise mambo mengine yote walifanya sawa walikosea tu kwenye utangazaji matokeo ila kuhesabu, kutoa nakala, kuingiza mawakala wa vyama.vyote etc hawakuwa na kosa. Ila NEC imezingua from day one

3. Nimekueleza hapa tuqe na mjadala objective kuhusu uchaguzi hayo ya wagombea wa CCM kunadi sera ilihali cku ya uchaguzi mawakala wananyimwa nakala za matokeo yana uhusiano gani? Unasema mawakala hawatii sheria ina maana huu ni uchaguzi wao wa kwanza kugombea? Miaka yote CHADEMA ina mawakala mbona hatukusikia wanatolewa au kunyimwa entry? Ina maana hawajui sheria 2020 pekee?

Hya maswali ni objective tusikimbilie kwa CCM hata kma wangekua malaika hapa hoja ni mchakato uliowapitisha ni halali? Pia Ww unaridhika wabunge 28 kupita bila kupingwa?
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani tu
 
Acha kumdanganya mwenzio...kubalini mmeshindwa.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Haka kakingereza ka kishamba kasikufanye usahau kuwa kule bukoba walizilawiti pesa za michango ya tetemeko na sasa wamebaka fikra zako na kuulawiti uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Sasa wakati yule mbwatukaji wenu anasema ataingiza watu barabarani mbona hukumwambia aache kuwakejeli?
Kaamua aache kuwasababishia vifo tokea kwa Polisiccm na jwtzccm kama walivyofanya Zanzibar, sasa chadema ACT watakuja na mbinu mpya ambayo itakuwa tiba ya ufedhuri wa CCM
 
Back
Top Bottom