Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Yani huku mtaani hakuna hata furaha,nyuso za watu zinahuzuni kwelikweli.
Ninachojiuliza kuna kituo hapa wapiga kura hawakufika 300,ila matokeo yametoka eti ccm ineshinda kura 357.
Kitaani kwetu kuna bonge la pare
 
Yani huku mtaani hakuna hata furaha,nyuso za watu zinahuzuni kwelikweli.
Ninachojiuliza kuna kituo hapa wapiga kura hawakufika 300,ila matokeo yametoka eti ccm ineshinda kura 357.
Nimuulize Hivi Yule Mama Wa Ccm Kule Mtwara Kawakosea Nini Mpaka Jimbo Linakwenda Kwa CUF
Yaani Ccm Supu Wameitia Nazi
Huu Siyo Uchaguzi Ni Kioja
Mpaka Ccm Wanaona Aibu Mitaani
Mpaka Sasa Hivi Ccm Inaongoza Ikifuatiwa Na CUF
Haa 😁😂😀😄😄😄
 
Na bado, unaweza kufa na tulimwambia Bob Amsterdam asituletee ujinga na kibaraka wake

Punguza povu
Jifunze kuchambua mambo, kuchochea vijana na kuwapa hamasa ya kuwa wasagaji au mashoga sio sawa.
Tofautisha kati ya wale homosexual kwa kuzaliwa na hawa aliotaka kuanza kuzalisha Tundu
Ukweli mnaujua ila mnajitoa ufahamu
Mfyuuuuu

Tuliwapa taarifa mapema mwaka huu hampati ata wabunge wawili wakaanza mdomo, sasa heshima itarudi,
 
Ni kama waombaji wengi hawakua na sifa, NEC wasingerudisha jina lake. Pumzika sasa bimkubwa
Tena huyu Ghasia nahisi Magu alimrudisha akijua hatashinda. Alikuwa bogus tu kama yule Saada Mkuza wa Zanzibar.
 
Tuliwapa taarifa mapema mwaka huu hampati ata wabunge wawili wakaanza mdomo, sasa heshima itarudi,
Heri angegombea mbowe mwenyewe maana alichokifanya Tundu ni sawa alikuta chama kinapumulia mashine yeye akakikatia kabisa na kukiingiza kaburini
Nadhani hili litakua fundisho kwa wapinzani wa vizazi vijavyo
 
Huyo mama cjui ana nuksi gani, arusha mjini hvy hvy alipigwa za uso
Ushawahi kumsikia akiongea? Binafsi nilikuwa simpendi, alikuwa na nyodo fulani kana kwamba amefika pale kwa juhudi zake, wakati alibebwa na JK. Akajiajiri tu. Na sidhai kama Magu atampa uteuzi wowote ule maana alimleteaga Spika nyodo bungeni, akaambiwa ajiuzuru uenyekiti wa kamati ya Bajeti ya Bunge 2018. Magu hapendagi jeuri, maana yeye mwenyewe anazo zakutosha.
 
ok! magufuli na ccm yake washinde lakini sio kwa ushindi huo
hiyo inaonesha jinsi gan wametuona wa tz hatuna upeo na hatuoni wanayoyatenda
AAAAAAAARG! 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡
 
Back
Top Bottom