Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Na bado! Haya ni matokeo tu, machungu mengi kwenye miaka mingine mitano yanakuja. Lissu kajaribu, zaidi ya hapo hakuna mwingine wa kutusaidia. Mateso yanakuja, kama raia hatutasimama na kusema hapana ndio hivyo mjue tumekwenda na maji. Nimeumia sana.
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
 
Punguza povu
Jifunze kuchambua mambo, kuchochea vijana na kuwapa hamasa ya kuwa wasagaji au mashoga sio sawa.
Tofautisha kati ya wale homosexual kwa kuzaliwa na hawa aliotaka kuanza kuzalisha Tundu
Ukweli mnaujua ila mnajitoa ufahamu
Mfyuuuuu
Siku hizi Homosexuals wanazalishwa?
Kiwanda gani?
Ficha ujinga wako usipende kushabikia mambo usiyoyajua,

Pathetic.
 
mama D huyo Ni msagaji na alishasema kwenye jukwaa la mahusiano so usishangae yeye kuwatetea kwasababu Ni wenzake
Nilihisi hivyo. Ndio maana nikamwambia kuna homosexuals by birth na hiyo iko nje ya uwezo wetu. Tunachopinga sisi ni huu mkakati wa kuhamasisha wengine waingie humo mwishowe tujekosa hata wajukuu na kuishia kuwa taifa la ajabu
 
Hawa GHASIA KAANGSHWA MTWARA. Ndo mkome siasa za kukariri. Ilitakiwa mtueleze kwa nini tuwachague, sio kutueleza kwanini tusiwachague CCM, wakati kwa mara ya kwanza CCM imetekeleza ahadi ilizo ahidi kwa kiasi kikubwa.
Huyo mama cjui ana nuksi gani, arusha mjini hvy hvy alipigwa za uso
 
Wafuasi wa Upinzani humu JF tumekuwa tukiwashauri kuwakemea viongozi kwa maneno na matendo yao maovu kwa viongozi wa Serikali, hamkusikia.

Tuliwaasa kuacha lugha ya matusi, ndio ikawa kama tumewachochea.

Tukawaambia ukweli mkaubadilisha kuwa uwongo na uwongo wenu uwe ukweli.

MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA
Unahalalisha wizi wa kura? Kwahiyo uongozi unapewa na viongozi wa serikali sio wananchi?

Nakuonaga ww ni great thinker kuliko Pro-CCM wenzio, ssa argument ya aina gani hii?
 
Hawa GHASIA KAANGSHWA MTWARA. Ndo mkome siasa za kukariri. Ilitakiwa mtueleze kwa nini tuwachague, sio kutueleza kwanini tusiwachague CCM, wakati kwa mara ya kwanza CCM imetekeleza ahadi ilizo ahidi kwa kiasi kikubwa.
Ni kama waombaji wengi hawakua na sifa, NEC wasingerudisha jina lake. Pumzika sasa bimkubwa
 
Tundu yuko brainwashed kiasi kwamba anaamini hakuna maisha bila ulaya hakuna maisha, sisi waswahili tunamwambia kwamba ulaya wanatutegemea na sisi pia tunawategemea. Lakini hiyo haitufanyi kuwa watumwa kwao
Acha aendelee kuwalamba miguu aone watampeleka wapi
 
Back
Top Bottom