Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie [emoji24]
Ni kawaida ya penicillin injection...Vumilieni dawa iingie huku mkitambua CCM bado ipo sanaaa.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Walaumu wapigakura.
 
Binadamu ana kawaida ya kudharau mambo mengi. Unaweza kufanya kosa moja tu mara moja, likakugharimu maisha yako yote.

CCM walifanya kosa mwaka 2015, sasa hakuna anayejua litaligharimu Taifa kwa miaka mingapi.

Ukimpa mwerevu panga, unaweza ukalidai akakurudishia panga lako. Lakini ukikosea ukampa panga kichaa, ukaenda kulidai, utakuwa na bahati kama ukirudi salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raha kwako kuona watu wakifa
Si mlisema mtaingia barabarani?...Asiyekubali kushindwa si mshindani jipangeni kwa 2025 ila Napoli sioni kutoboa labda 2100 nawaona kama mnacome come hivi.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Kuna mtu alikushauri ujipige vidole tu kama hutaki kukubali matokeo.....ulishafanya hivyo tayari?
 
...some people feel safe with government toward their problems,and they forget that government is a problem...

How problems can solve a problems..?

Kaa utulie fanya mambo yako,mambo ya kusema kula yangu maisha yangu huo ni udwanzi mkubwa na ujinga.
 
Hahhaha madua ya kuku hayo nyie vimbeni tu mpasuke
Hatuvimbi baba! Tunasema tu baba, nchi yetu sote hii tunastahili kusema pia!

Magufuli ni tatizo kubwa kwa nchi hii kwasasa!

Na hii imetokana na akili ndogo za Kikwete kutoona mbali, akatuachia jitu ovu kabisa na lisilo na chembe ya haya
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😡😡😡

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
tutalimia meno
 
Back
Top Bottom