Inauma Sana

Inauma Sana

Mkuu we nae wa hovyo saana,, halafu bado mgeni kwenye swala la mgegedo..

Demu akija ghetto wala hata usihangaike kufanya hayo yote,,....Kuwa katika normal Lifestyle ya kila siku tu..

Otherwise utaumia sana
 
Habari wana JF
Unakuta umepiga usafi heavy gheto, umepika misosi ya kibabe, umejaza vitu kwenye jokofu, umetandika shuka jipya, umevaa boksa ya maangamizi, umepiga pasi nguo kwa dobi, umelipia king’amuzi full package, umenyoa vuziii umepiga kipara,.....................hivi vitu gani vingine huwa tunafanya kujiandaa na show vile

Likikuta jambo kama hili huwa unafanya nini? Utachukua maamuzi gani, utampotezea au utaendelea kumfukuzia mpaka ujenge heshima. .
Still a kid.Kua uya-look!
 
Mkuu we nae wa hovyo saana,, halafu bado mgeni kwenye swala la mgegedo..

Demu akija ghetto wala hata usihangaike kufanya hayo yote,,....Kuwa katika normal Lifestyle ya kila siku tu..

Otherwise utaumia sana
Unajaza mazaga zaga asikuone mnyonge, gheto likipendez unakula points
 
Back
Top Bottom