FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #81
du!!!!......wapiga deal wamerudi,ukiachana na bwawa la umeme rufiji,mimi nia wasiwasi sana wanvyowakimbiza wamasai loliondo aisee,nadhani wanaogopa wamasai wasitoe siri pale tembo watakapokuwa wakiuwawa,na twiga kusafirishwa kwenda njeIweje tarehe ya ujazaji wa bwawa iwe siri?
Kweli Crane ya Tani 26 haijafika hadi leo zaidi ya mwezi umepita?
================================
================================
Je, Watanzania mmejiandaa vipi kisaikolojia kwa ujio mpya wa Richmond (Dowans)?
Update: 16/05/2023 Hayawi hayawi sasa yamekua. Megawati 180 kwa miaka 25 Zanzibar Update: 04/12/2022 https://www.jamiiforums.com/threads/je-ni-kweli-iptl-imewasha-mitambo-yake.2045101/ ========================== Update: 08/12/2022...www.jamiiforums.com
================================
Mbunge Sospeter Muhongo ameniogopesha kwa kauli yake kuhusu ujenzi wa bwawa la Rufiji; je, kuna haja ya wabunge wote kupimwa akili?
Tangu niliposikia kauli ya Mbunge Sospiere Mukweli akisema kwamba ujenzi wa mabwawa ya kufua umeme kwa sasa yamepitwa na wakati, akili yangu imevurugika kabisa nisielewe nini kinaendelea kichwani mwa wabunge wetu, nimeogopa sana. Na hii imekuja baada ya ile kauli ya hayati Rais John Joseph Pombe...www.jamiiforums.com
================================
================================
Update: 15/02/2022
Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)
Kiukweli inasikitisha sana mradi wa bwawa la Nyerere huenda usikamilike kabisa. Mkurugenzi mkuu TANESCO, Mhe. Maharage Chande nilimsikia akisema kwa sasa wanaanza na kufunga mitambo kwa ajili ya umeme wa Gas ambao jumla utazalisha MW 1600. Kwahiyo bwawa la Nyerere ambalo litazalisha MW 2115...www.jamiiforums.com
===============================
Ethiopia wameshaanza uzalishaji tayari, daaah
very sad asiee!!Yule dhaifu wa Msoga anatutesa sana waTz, hivi tulikomsea nini yule mzee lakini, haka kakikundi kake kanatufanyia kitu kibaya sana bila huruma, why lakini?!!
Kikubwa ni hicho, wanataka kuweka kiwanja kidogo cha ndege mule, ili waingize wanachotaka (madawa ya kukevy nk.) bila kukaguliwa, watoroshe pembe za ndovu kiulaini na kubeba Twiga na Simba wazima, watotoshe pesa na madini ya kila aina bila kugaliwa, yaani free passage ya kila magendo, hadi slave trade ya binadamu hao waarabu wanaweza kuwa wanafanya humo.., hatuwezi kukubali.du!!!!......wapiga deal wamerudi,ukiachana na bwawa la umeme rufiji,mimi nia wasiwasi sana wanvyowakimbiza wamasai loliondo aisee,nadhani wanaogopa wamasai wasitoe siri pale tembo watakapokuwa wakiuwawa,na twiga kusafirishwa kwenda nje