Inaumiza sana kuona mradi wa bwawa la Nyerere unahujumiwa wazi wazi

 
 
du!!!!......wapiga deal wamerudi,ukiachana na bwawa la umeme rufiji,mimi nia wasiwasi sana wanvyowakimbiza wamasai loliondo aisee,nadhani wanaogopa wamasai wasitoe siri pale tembo watakapokuwa wakiuwawa,na twiga kusafirishwa kwenda nje
 
du!!!!......wapiga deal wamerudi,ukiachana na bwawa la umeme rufiji,mimi nia wasiwasi sana wanvyowakimbiza wamasai loliondo aisee,nadhani wanaogopa wamasai wasitoe siri pale tembo watakapokuwa wakiuwawa,na twiga kusafirishwa kwenda nje
Kikubwa ni hicho, wanataka kuweka kiwanja kidogo cha ndege mule, ili waingize wanachotaka (madawa ya kukevy nk.) bila kukaguliwa, watoroshe pembe za ndovu kiulaini na kubeba Twiga na Simba wazima, watotoshe pesa na madini ya kila aina bila kugaliwa, yaani free passage ya kila magendo, hadi slave trade ya binadamu hao waarabu wanaweza kuwa wanafanya humo.., hatuwezi kukubali.
 
 
Atlast!!!!!!!πŸŽŠπŸŽŠπŸŽŠπŸŽŠπŸŽŠπŸŽ‰πŸŽ‰

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…