Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Abdul ni mtoto ambaye walio karibu watakuambia hata hayupo smart. Sema ndo anatumika tu na mzazi wake. Mbowe umri huu ndo maana aliamua kuwa na washauri kama akina Ntobi, Yericko and the likes watoto wadogo tu.
Mbowe inasemekana mshauri wake mkuu sasa ni Abdul. Yaani kila kitu anachofanya lazima atoe taarifa kwa Abdul ajieleze na apewe ushauri. Na ndo anaenda na maelekezo hayo maana pesa anazopewa zionekane zinafanya kazi.
Mbowe ndo anafaa kuwa Mwenyekiti wa CDM. Lissu atakiharibu chama.
Mbowe inasemekana mshauri wake mkuu sasa ni Abdul. Yaani kila kitu anachofanya lazima atoe taarifa kwa Abdul ajieleze na apewe ushauri. Na ndo anaenda na maelekezo hayo maana pesa anazopewa zionekane zinafanya kazi.
Mbowe ndo anafaa kuwa Mwenyekiti wa CDM. Lissu atakiharibu chama.