It is a pity kuwa Zito anaweza kuwa that much of a traitor!Uandishi wa Zito akiteteaz kazi ya kikosi kazi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is a pity kuwa Zito anaweza kuwa that much of a traitor!Uandishi wa Zito akiteteaz kazi ya kikosi kazi!
Chadema ina critical thinkers, (hata yule mwenye clip zinazofunga kazi) siyo kama CCM ingawa kunaweza kuwa na watu makini, lkn kwa nguvu ya TUMBOKRASIA, wote ni takataka!Chadema iko mioyoni
Kwani kuna Bunge sasa hivi au kikundi cha watu walioitana Bungeni?Utakuwa labeled kama Lumumba ukikubali kwa mfano kuwa bunge la sasa ambalo 99.999% ni CCM (walioingia kwa kuteuliwa na magufuli) lisimamie kupiga kura na kujadili rasimu ya Mkandara. Msikilize Mnyika katika press conference yake, mwenye akili na utashi wa demokrasi ataungana naye!
Pendekezo moja wapo ni hilo sasa, eti maoni ya Mkandara na some few individuals yapelekwe "bungeni", 99.999% ni CCM, yapitiwe then yaende kupigiwa kura na wanachi. Rubbish! Mwenye akili hawezi kukubali ujinga huo....Kwani kuna Bunge sasa hivi au kikundi cha watu walioitana Bungeni?
Makala hii imeandikwa katika gazeti la Raia Mwema (25/10/2022).
HESABU za kisiasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) mara zote ni kama zinakosa uhalisia, hali ambayo inasababisha wao kukwama katika kutimiza malengo yao ya kisiasa!...
AminaSalute Mkuu umejibia hii hoja vema, maana hoja ni lazima ijibiwe na hoja iliyo bora zaidi, chama dola kama kinaamini kwa dhati kuwa CDM imefilisika kisiasa why mpaka leo kivuli cha CDM wanakiogopa?,viongozi wa ccm wamekua wana zunguka nchi nzima kwa kutumia kodi yangu bila kikwazo chochote, ILA pale Mh.Mnyika alipoamua kutembea hapo Morogoro tayari policeccm hao na defenders zangu wanamzuia wakati hajavunja sheria yeyote, why wasimwache kama CDM ni mfu?,common guy's hii sio rocket science why uhangaike na mtu mfu (maiti)haiwezi kufanya chochote hata ukiipiga vibao!,ccm bila vyombo vya dola ni karatasi please prove me wrong
Hata uundaji wa hicho kikosi kazi ulikuwa feki, vichekesho, ungekuwa mkweli tungekusikia. Hebu tuache basi kuchezea taifa letu.Ujinga ni kujitoa kushirki kutoa maoni alafu ripoti ikifika unakuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya maoni waliyotoa wengine, kwa neno moja huo unaitwa upuuzi
Tunaangalia na dhamira za hoja zenu siyo za kujenga ni upuuzi mtupu kwaTatizo la CDM mtu yoyote atakae kua na mawazo tofauti na nyie aidha awe ndani ya Chama au nje ya Chama kitu cha kwanza mnamuita Lumumba.
Ingekua ni Cult au kikundi cha dini tungewaelewa ila kam ni Chama cha kidemokrasia lazima mawazo yapishane. Hoja hazijaisha ila haina maana kujadili hoja ambazo hazipata muafaka.
Kama mawazo yako, maneno yako ni ya kilumumba kwa nini unaogopa kutambuliwa kwa matendo yako?Nakuelewa katika hilo but unfortunately ukianza kuuliza kitu tofauti na msimamo wa CDM hasahasa vijana immediately unakua labeled ni Lumumba.
Nadhani Demokrasia unayoipambania ni pamoja na kuwa na TOLERANCE ili upokee mawazo mbadala na ya kwako
Kitu Chadema wanachokijua wanamchukia Zitto Kabwe hayo mengine tuwasamehe tu.
Zitto na CDM hahahaha labda huwajui vijana wa CDM. Mtu ambae anaweza kukaa meza moja na Zitto kutoka CDM ni Mwenyekiti tu.Mbona Zitto na CHADEMA hawachukiani? Ni CCM inachochea chuki baina yao. Ndio maana Zitto amesema wazi kuwa baba yake kwenye siasa ni Mbowe na kwenye uchaguzi wa 2020 walimuunga mkono mgombea urais wa CDM.
Ujinga ni kujitoa kushirki kutoa maoni alafu ripoti ikifika unakuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya maoni waliyotoa wengine, kwa neno moja huo unaitwa upuuzi
Nakubaliana na andiko, chadema ni hakuna wanachojua.
Ilaa mwandishi namsahihisha, kikosi kazi hakipo juu ya katiba. Kusema wana mapendekezo mazuri ikiwemo matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani ni ujinga, kwa kuwa katiba hairuhusu.
Nakuelewa katika hilo but unfortunately ukianza kuuliza kitu tofauti na msimamo wa CDM hasahasa vijana immediately unakua labeled ni Lumumba.
Zitto na CDM hahahaha labda huwajui vijana wa CDM. Mtu ambae anaweza kukaa meza moja na Zitto kutoka CDM ni Mwenyekiti tu.
Ujinga ni kujitoa kushirki kutoa maoni alafu ripoti ikifika unakuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya maoni waliyotoa wengine, kwa neno moja huo unaitwa upuuzi
namba zake zipo chini hapo mwisho wa makala mpigie fasta umjibu mkuu wanatuzoea ovyo hawanani kaandika tumjibu