Inawezekana Geoff Lea wa EFM ndiye aliyeandika zile habari za Abdi Banda

Inawezekana Geoff Lea wa EFM ndiye aliyeandika zile habari za Abdi Banda

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Nimeangalia interview ya huyu kijana na online tv ya south africa nimebaki na maswali lukuki kwanza kikawaida kwenye vipindi huwa anajifanya mnazi sana wa ligi ya south africa na viingereza vyake vya uongo uongo kiukweli kanishangaza sana.

Kama kweli Abdi Banda analalamika hakuongea na ule mtandao wa south africa basi atumie lawyers kuwashtaki wale jamaa ikichimbuliwa kwa makini atajulikana aliyeandika hiyo story maana hata ile english ilionyesha kabisa mwandishi ni kutoka bongo.

SITASHANGAA KABISA KWAMBA MWANDISHI WA ZILE MAKALA ILE YA MWAKA JANA KABLA YA KAIZER CHIEFS NA YA MWAKA HUU NI GEOFF LEA WA EFM. ABDI BANDA KAMA SIYO WEWE MUHUSIKA GET TO THE BOTTOM OF IT
 
Ukiona Jambo linasemwa Sana na kila mtu ,basi jua lipo na kama halipo basi lajaaa ....!
Haiwasaidii yanga ujinga mnaoufanya, matokeo yake maneno yenu yaliwarudia kwenye mechi na wanaigeria si uliona kilichotokea Dar es Salaam mnadhani mnaikomoa simba ila mtaya experience vizuri uzuri wenu hamfikagi mbali mngekuwa hata makundi mnajimudu mnegkutana na mengi sasa orlando kulalamika hotelini na ku pewa pikipiki moja ya traffic walitaka wapewe ulinzi wa Rais ? huku kuna uhalifu kama kwao?

Ni angle ipi haswa ya Orlando unaweza itetetea? ABDI BANDA KAMA HAKUFANYA ILE INTERVIEW basi awe serious kufatilia ni nani aliandika ambaye bila shaka kwa hali ilivyo ni huyu anayejiona msouth africa ambaye baba yake ana jina la kike anaitwa Leah
 
Narudia tena hili suala likfatiliwa vizuri mwandishi wa zile makala za kuichafua simba huko south africa ni Geoff leah huyu kavuka hata level ya ukanjanja kila siku nasema simba mkipanda ndege to south africa maadui wenu ndo hawa mtu kama geoff apewe rands kadhaa kumuwekea manula dawa kwenye kinywaji ili aharishe before match atakataa yule? He is a turncoat
 
Nimeangalia interview ya huyu kijana na online tv ya south africa nimebaki na maswali lukuki kwanza kikawaida kwenye vipindi huwa anajifanya mnazi sana wa ligi ya south africa na viingereza vyake vya uongo uongo kiukweli kanishangaza sana.

Kama kweli Abdi Banda analalamika hakuongea na ule mtandao wa south africa basi atumie lawyers kuwashtaki wale jamaa ikichimbuliwa kwa makini atajulikana aliyeandika hiyo story maana hata ile english ilionyesha kabisa mwandishi ni kutoka bongo.

SITASHANGAA KABISA KWAMBA MWANDISHI WA ZILE MAKALA ILE YA MWAKA JANA KABLA YA KAIZER CHIEFS NA YA MWAKA HUU NI GEOFF LEA WA EFM. ABDI BANDA KAMA SIYO WEWE MUHUSIKA GET TO THE BOTTOM OF IT
Huyo na Manara wantofauti gani?
 
Huyo na Manara wantofauti gani?
Hajj hajafika level hiyo yule anawaambia behind the scenes na anachukuliwa kama rival kutoka yanga huyu anachukuliwa kama journalist ambayo kwa wenzetu ni kazi inayoheshimika tofauti na majinga ya huku kwetu
Mwaka jana vs kaizer chiefs alitambulishwa kama mwandishi mshabiki wa simba akaikandia sana simba kwamba inatumia mbinu chafu karudia tena mwaka huu duh
 
Nimeangalia interview ya huyu kijana na online tv ya south africa nimebaki na maswali lukuki kwanza kikawaida kwenye vipindi huwa anajifanya mnazi sana wa ligi ya south africa na viingereza vyake vya uongo uongo kiukweli kanishangaza sana.

Kama kweli Abdi Banda analalamika hakuongea na ule mtandao wa south africa basi atumie lawyers kuwashtaki wale jamaa ikichimbuliwa kwa makini atajulikana aliyeandika hiyo story maana hata ile english ilionyesha kabisa mwandishi ni kutoka bongo.

SITASHANGAA KABISA KWAMBA MWANDISHI WA ZILE MAKALA ILE YA MWAKA JANA KABLA YA KAIZER CHIEFS NA YA MWAKA HUU NI GEOFF LEA WA EFM. ABDI BANDA KAMA SIYO WEWE MUHUSIKA GET TO THE BOTTOM OF IT
 
Geoff ni mchicha mwiba..toto fulani la mama hivi.
 
Nimeangalia interview ya huyu kijana na online tv ya south africa nimebaki na maswali lukuki kwanza kikawaida kwenye vipindi huwa anajifanya mnazi sana wa ligi ya south africa na viingereza vyake vya uongo uongo kiukweli kanishangaza sana.

Kama kweli Abdi Banda analalamika hakuongea na ule mtandao wa south africa basi atumie lawyers kuwashtaki wale jamaa ikichimbuliwa kwa makini atajulikana aliyeandika hiyo story maana hata ile english ilionyesha kabisa mwandishi ni kutoka bongo.

SITASHANGAA KABISA KWAMBA MWANDISHI WA ZILE MAKALA ILE YA MWAKA JANA KABLA YA KAIZER CHIEFS NA YA MWAKA HUU NI GEOFF LEA WA EFM. ABDI BANDA KAMA SIYO WEWE MUHUSIKA GET TO THE BOTTOM OF IT
Kwani wewe jamaa na huyo Geoff mna ugomvi gani?
 
Achana na maisha ya watu fanya yako
Kama wewe ndiye Leah au kanjanja mwenzake , kitendo cha kumlisha maneno Abdi banda ili kutimiza lengo ni kibya sana tena huku ukimchonganisha na viongozi wa serikali mbona interview ya tv ya south africa ulivyoitukana simba hukutaja viongozi wa serikali unawatukana kwenye makala zisizo na jina la mwandishi?
 
Michezo ya simba ishasanuka
Screenshot_2022-04-21-13-30-18-098_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2022-04-21-13-27-52-582_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2022-04-21-13-27-12-952_com.android.chrome.jpg
 
Kama wewe ndiye Leah au kanjanja mwenzake , kitendo cha kumlisha maneno Abdi banda ili kutimiza lengo ni kibya sana tena huku ukimchonganisha na viongozi wa serikali mbona interview ya tv ya south africa ulivyoitukana simba hukutaja viongozi wa serikali unawatukana kwenye makala zisizo na jina la mwandishi?
Leave people's business alone
 
Back
Top Bottom