Inawezekana 'Herd Immunity' na hali ya hewa (Mazingira) ndio vitu vinavyotuokoa Watanzania dhidi ya COVID-19

Inawezekana 'Herd Immunity' na hali ya hewa (Mazingira) ndio vitu vinavyotuokoa Watanzania dhidi ya COVID-19

MAOMBI.
rais wacnchi kujitokeza hadharani na kutamka kuwa JANGA LA CORONA ANAMUACHIA MUNGU.
si Jambo dogo.wengi tulimuona amechanganyikiwa.
SASA MUNGU AMEAMUA KUTUKOSOA.
kuwa yeye yupo na ukimtegemea kwenye Jambo lolote anakujibu.
Mungu katupa akili lazima tuitumie kwanza kabla ya kumtegemea/kushirikisha.
 
we jamaa unaonekana unatamani sana corona iingie tz. nakuona unavo lazimishi ionekane tz kuna corona...ila ukweli ni kua hakuna corona tz. sisi huku mbeya tuna saranda tu mitaani tena kwa kujiachia kabisa lakini hakuna mtu anae umwa
corona ipo unapotosha kwa kiwango kikubwa
tofauti ni madhara yake kulinganisha na nchi nyingine
 
Mtoa mada una akilia nyingi Sana,wanaokubeza na kukupinga wana akilia mgando.
Kwanza kuumiza kichwa TU na kuja na wazo lako Ni mwanzo wa utafiti(research) Tosha.
Na kuanzia Hapo wengine wanaweza kuongeza kwa kwenda deep zaidi
Tatizo la Wachangiaaji wengi humu na husussani Watanzania huwa tunaviamini Sana vitu vikivyokwisha kamilika na hasa vilivyokamililishwa na wazungu.
Bila kujali hata hao wazungu inawezekana walipata wazo kutoka kwa Mtu mmoja great thinker kama wewe.Ndipo hao mabingwa wakaendeleza alipoishia mtoa wazo.
Kitu kingine Cha kushangaza kwa wachangiaaji wengi,badala ya kujadili mada wanajadili kosa la herufi.spelling wakati tayari wameshajua au walishaelewa kuwa ulitaka kusema Nini au ulimaanisha Nini,lakini ukakosea herufi TU.
Kosa la herufi bila kujua pengine ulikua umekusudia kuandika meno Fulani ukakosea kubonyeza herufi husika.

Hata hivyo mada yako inafikiriaha.
Iweje Nchi jirani na baadhi ya Nchi watu wanakufa kama kuku wa kideri lakini sisi so hivyo?
Yote uliosema ni kweli kabisa na hili ndio tatizo kubwa la sisi watanzania wakiwemo watumiaji wa JamiiForums.

Unaweza kuleta mada ukakosea typing watu wakakomaa na kasoro za kiuandisha badala ya kujadili mada husika na pia unaweza kuja na mada nzuri ila ukakosa wa kuboresha mada yako unless hoja kama hiyo iwe imetolewa na wanasiasa au watu wengine maarufu.

Anyway, ndio nchi yetu ilivyo mkuu na sijui kama tutakuja kubadilka.
 
Pamoja na kutokuzingatia miongozo yoyote ya kupambana na Corona watu hawafi kama nchi nyingine.
Huko kwengine umeangalia kama ulivyoangali huku bongo kwa maana umeangalia tu hali halisi ilivyo au umeangalia takwimu zao tu?
 
Umejuaje kuwa haina effect kubwa?Yaani umetumia nini kujua kuwa Tanzania Corona haina effect kubwa?
Hatuoni hospitali kuzidiwa wagonjwa na uhitaji mkubwa wa mashine za kusaidia kupumua, hatuoni sehemu za kuhifadhi maiti kuzidiwa maiti. Hivyo ni vitu ambavyo tunavisikia kwa wenzetu na ndio maana hata sasa tunahofia sana kuletewa corona kutoka nje ya nchi na si kuliko ndani ya nchi.

Kwa kifupi huku huoni hali ya tofauti ambayo itakufanya uone athari za corona.
 
Hatuoni hospitali kuzidiwa wagonjwa na uhitaji mkubwa wa mashine za kusaidia kupumua, hatuoni sehemu za kuhifadhi maiti kuzidiwa maiti. Hivyo ni vitu ambavyo tunavisikia kwa wenzetu na ndio maana hata sasa tunahofia sana kuletewa corona kutoka nje ya nchi na si kuliko ndani ya nchi.

Kwa kifupi huku huoni hali ya tofauti ambayo itakufanya uone athari za corona.
Hospitali zilishapewa maelekezo kuwa zirudishe wagonjwa wa Corona nyumbani tangia kipindi cha Magufuli,sasa hospitali zitafurika vipi?
 
Hospitali zilishapewa maelekezo kuwa zirudishe wagonjwa wa Corona nyumbani tangia kipindi cha Magufuli,sasa hospitali zitafurika vipi?

ukiachana siasa ukajikita kwenye mada ilioyongelewa nadhan utapata busara zake alizoongea, hata yeye pia tunapishana nae sana kwenye siasa ila hua anamke sense sometimes, sasa jikite kwenye hoja!
 
ukiachana siasa ukajikita kwenye mada ilioyongelewa nadhan utapata busara zake alizoongea, hata yeye pia tunapishana nae sana kwenye siasa ila hua anamke sense sometimes, sasa jikite kwenye hoja!
Unaelewa hata maana ya siasa?Siasa ni nini?
 
Hospitali zilishapewa maelekezo kuwa zirudishe wagonjwa wa Corona nyumbani tangia kipindi cha Magufuli,sasa hospitali zitafurika vipi?
Unazungumzia wagonjwa au watu wenye dalili za corona? maana hata huko ulaya hawaweki hospitali watu kisa tu una dalili za corona ,sasa mgonjwa kama mgonjwa wa corona unamrudisha vp nyumbani? yani kwamba mtu ambaye teyari yupo kwenye hali mbaya unamwambia arudi nyumbani kisa ana corona au vp hebu fafanua.
 
Nimekuuliza swali dogo sana,wewe ulipaswa kujibu swali hilo badala ya kufanya personal attack.Kwa hiyo kama Mbeya hakuna mtu anaeumwa Corona hilo linathibitisha kuwa nchi nzima hakuna anaeumwa?
tupatie takwimu za ugonjwa hapo ulipo
 
Back
Top Bottom