MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Hivi niulize Kenya haikuwa na wakemia miaka yote hiyo Leo ndo inao?
Miaka yote hiyo mahindi ya tz mnakula walikua hawayachunguzi na kujua hiyo so called sumu ila this week ndo wakagundua?
Je walishindwa kukaa chini meza moja wakafikia muafaka kwamba kama mnataka tuendelee kununua fuateni procedure hizi na hizi tupate mahindi salama.na wakifuata mnayapima yako salama biashara inaendelea.
Je kwa uagizaji kutoka mexico hudhani kwamba gharama itakuwa juu zaidi?
Gunia lako la mahindi from namanga na gunia la mahindi from mexico?
Siasa mpaka kwenye maisha ya watu.
Kwani wewe haujui procedure za ukuzaji mpaka usubiri uambiwe na Wakenya, linafahamika sana kwa wakulima wengi huwa hawawi makini wakati wanatumia kemikali za kutunza mahindi, na ndio maana inashauriwa usiyasage moja kwa moja bila kukoboa, kuna hata Mtanzania humu alishauri kwamba yeye huwa hatumii ugali wa dona.
Hivyo acheni kujifanya mnashangaa, kama ikitokea lina ukweli basi fanyieni kazi sio kulia lia, ila kama ni siasa za kumficha mnayesema kaletwa kuuguzwa huku basi itakua ujinga kwa viongozi wetu.