Inawezekana huyu binti ni mtoto wa Ronaldinho

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415


Huyu binti anaitwa Miche Minnies ana miaka 13 na ni mchezaji wa timu ya wanawake ya Mamelodi Sundowns ya Africa Kusini.

Miche Minnies anavuma mtandaoni kwa ufanano wake na gwiji wa Brazil Ronaldinho. Ronaldinho wa Brazil alitembelea Afrika Kusini hapo awali, na hivyo imezua mzaha kuwa aliacha mtoto.

 
Huku duniani kuna watu kama wawili au watatu unafanana nao kabisa
Changamoto ni namna ya kuonana nao.
Mke wa Gaucho kama hana hekima akimuona huyo binti lazima amnunie mmewe
 
Weka jina la huyo Binti nenda gugo utapata picha zake za ukubwani tofauti na Gaucho hapo ikitokea kama ajali pozi alilokaa na nywele jinsi alivyoweka.
 
Miche minnies hana uhusiano na Ronaldinho bali anajiweka ili afanane na Ronaldinho hasa kwa kutengeneza nywele zake na pia wanafana kimuonekano kiasi fulani,watu kufanana ni jambo la kawaida,

Huyu binti sio kweli kua umri wake ni miaka 13 bali umri wake ni miaka 21 anacheza nafasi ya attacker,mshambuliaji, team ya Sundows ya South Africa,

Mwaka 2018 alikuwepo kwenye World cup U17 anatokea katika mji wa Heinz park South Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…