Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe si unayoko? Umbea FmKikeke nikimuangalia kama simuamini sana, ila muda utaongea, namuona kama pandikizi la kimkakati, ngoja tuone na chombo chake kinachofanana na kofia ya watawala wa alikotoka- I mean kwa muajiri wake wa zamani
Hawa UWT ni wapumbavu snHilo ndo tatizo letu waswahili hampendi kuona ufanisi .
Aache wananchi waamue upi ujinga, upi sahihi, yeye ndio alikuwa anawasiliana na Mbowe mpaka akajua Mbowe ataanza maandamano wapi, hatujui wanapanga jingine lipi kwa siri, namba za siri za viongozi wa CDM anazo Kikeke, na yeye huwauzia info chawa wakeHakuna kitu kama hicho.huyu ni mzalendo tu hataki mambo ya kijinga yanayofanywa na serikali hii ovu.
Kwani hii nchi si iko uchi tu?Kikeke nikimuangalia kama simuamini sana, ila muda utaongea, namuona kama pandikizi la kimkakati, ngoja tuone na chombo chake kinachofanana na kofia ya watawala wa alikotoka- I mean kwa muajiri wake wa zamani
Naona baada ya kupakwa mafuta na Pdiddy umekuwa na tabia za kike we mbuziMumeo ndio yuko uchi
Musiba ni wa Kibara Jineri huko, Mwibara, sio Nyamuswa wala NyabakiritiDahhh ila wacha bhana, musiba aliwah kuleta list ya watu hatari kwa taifa letu akiwemo zuhura yunus lakn leo hii zuhura anajimwaga white house wanavotaka, huku yeye (musiba) yupo nyamuswa -bunda.