Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kishukuru Tu kinatembelea kamba nyembamba sana ya DolaChama CCM kimechokwa kimechakaa kimezeheka vibaya hakuna haja ya kutafuta Mchawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kishukuru Tu kinatembelea kamba nyembamba sana ya DolaChama CCM kimechokwa kimechakaa kimezeheka vibaya hakuna haja ya kutafuta Mchawi.
Haya! Watatu wameondoka, je umeridhika?Nashauri Mama awe makini sana. Kinana ana watu wake wenye uchungu na kufikiria wenyewe ndiyo wenye chama. Watu hao ni
1. Makamba
2. Nauye
3. Mwigulu
4. Ridhiwani
Na wanataka kutafuta njia ya kumweka mtu wao hasa Makamba. Mwigulu kaingia kwenye hiyo group kwa kujipendekeza. Kinana alimwambia Mama yeye anaweza kujadiliana na Chadema halafu kimenuka matapishi yake anataka ale Mama. Ubaya Mama aliweka imani sana kwa tapeli huyu Kinana.
Kinana anajulikana kwa kujali biashara zake binafsi na yeye anachukulia chama kama njia ya kulinda wao. Namshauri Mama kurudi mezani na yeye mwenyewe akiwa mezani maana njama za kumwaribia zimebahidika.
Makamba badala ya kufukuzwa alipata nafasi nyeti! wakina kikwete na kinana wamegeuza CCM kama yao binafsi. Bila Mama kuwa mkali watamwachia matapishi ambayo hata weza kuyasafisha halafu watampamba Makamba kama vile ndiyo ataweza kuleta suluhisho.
Lakini ukweli ni kwamba wakina kinana na Kikwete wanataka kuwa Raisi kwa remote control.
The gang?🤔😳🙇🏿♂Nashauri Mama awe makini sana. Kinana ana watu wake wenye uchungu na kufikiria wenyewe ndiyo wenye chama. Watu hao ni
1. Makamba
2. Nauye
3. Mwigulu
4. Ridhiwani
Na wanataka kutafuta njia ya kumweka mtu wao hasa Makamba. Mwigulu kaingia kwenye hiyo group kwa kujipendekeza. Kinana alimwambia Mama yeye anaweza kujadiliana na Chadema halafu kimenuka matapishi yake anataka ale Mama. Ubaya Mama aliweka imani sana kwa tapeli huyu Kinana.
Kinana anajulikana kwa kujali biashara zake binafsi na yeye anachukulia chama kama njia ya kulinda wao. Namshauri Mama kurudi mezani na yeye mwenyewe akiwa mezani maana njama za kumwaribia zimebahidika.
Makamba badala ya kufukuzwa alipata nafasi nyeti! wakina kikwete na kinana wamegeuza CCM kama yao binafsi. Bila Mama kuwa mkali watamwachia matapishi ambayo hata weza kuyasafisha halafu watampamba Makamba kama vile ndiyo ataweza kuleta suluhisho.
Lakini ukweli ni kwamba wakina kinana na Kikwete wanataka kuwa Raisi kwa remote control.
Genge la vitunguu na nyanya au?The gang?🤔😳🙇🏿♂View attachment 3056478
Bado wawili atolewe mmoja mmoja abakieHaya! Watatu wameondoka, je umeridhika?
Hayo uliyoyataja ndio Majipu makubwa ndani ya CCM Mama Samia awe Mungalifu sana na hyo majipu.Nashauri Mama awe makini sana. Kinana ana watu wake wenye uchungu na kufikiria wenyewe ndiyo wenye chama. Watu hao ni
1. Makamba
2. Nauye
3. Mwigulu
4. Ridhiwani
Na wanataka kutafuta njia ya kumweka mtu wao hasa Makamba. Mwigulu kaingia kwenye hiyo group kwa kujipendekeza. Kinana alimwambia Mama yeye anaweza kujadiliana na Chadema halafu kimenuka matapishi yake anataka ale Mama. Ubaya Mama aliweka imani sana kwa tapeli huyu Kinana.
Kinana anajulikana kwa kujali biashara zake binafsi na yeye anachukulia chama kama njia ya kulinda wao. Namshauri Mama kurudi mezani na yeye mwenyewe akiwa mezani maana njama za kumwaribia zimebahidika.
Makamba badala ya kufukuzwa alipata nafasi nyeti! wakina kikwete na kinana wamegeuza CCM kama yao binafsi. Bila Mama kuwa mkali watamwachia matapishi ambayo hata weza kuyasafisha halafu watampamba Makamba kama vile ndiyo ataweza kuleta suluhisho.
Lakini ukweli ni kwamba wakina kinana na Kikwete wanataka kuwa Raisi kwa remote control.
Mkuu ulipotea sanaThe gang?🤔😳🙇🏿♂View attachment 3056478
Sifa tu za kuwa rais hanaKwani Katiba inasemaje; baba yako akiwa Rais unakuwa disqualified?
The gang?🤔😳🙇🏿♂Nashauri Mama awe makini sana. Kinana ana watu wake wenye uchungu na kufikiria wenyewe ndiyo wenye chama. Watu hao ni
1. Makamba
2. Nauye
3. Mwigulu
4. Ridhiwani
Na wanataka kutafuta njia ya kumweka mtu wao hasa Makamba. Mwigulu kaingia kwenye hiyo group kwa kujipendekeza. Kinana alimwambia Mama yeye anaweza kujadiliana na Chadema halafu kimenuka matapishi yake anataka ale Mama. Ubaya Mama aliweka imani sana kwa tapeli huyu Kinana.
Kinana anajulikana kwa kujali biashara zake binafsi na yeye anachukulia chama kama njia ya kulinda wao. Namshauri Mama kurudi mezani na yeye mwenyewe akiwa mezani maana njama za kumwaribia zimebahidika.
Makamba badala ya kufukuzwa alipata nafasi nyeti! wakina kikwete na kinana wamegeuza CCM kama yao binafsi. Bila Mama kuwa mkali watamwachia matapishi ambayo hata weza kuyasafisha halafu watampamba Makamba kama vile ndiyo ataweza kuleta suluhisho.
Lakini ukweli ni kwamba wakina kinana na Kikwete wanataka kuwa Raisi kwa remote control.
AmphibiansGenge la vitunguu na nyanya au?
The gang?🤔😳🙇🏿♂Nashauri Mama awe makini sana. Kinana ana watu wake wenye uchungu na kufikiria wenyewe ndiyo wenye chama. Watu hao ni
1. Makamba
2. Nauye
3. Mwigulu
4. Ridhiwani
Na wanataka kutafuta njia ya kumweka mtu wao hasa Makamba. Mwigulu kaingia kwenye hiyo group kwa kujipendekeza. Kinana alimwambia Mama yeye anaweza kujadiliana na Chadema halafu kimenuka matapishi yake anataka ale Mama. Ubaya Mama aliweka imani sana kwa tapeli huyu Kinana.
Kinana anajulikana kwa kujali biashara zake binafsi na yeye anachukulia chama kama njia ya kulinda wao. Namshauri Mama kurudi mezani na yeye mwenyewe akiwa mezani maana njama za kumwaribia zimebahidika.
Makamba badala ya kufukuzwa alipata nafasi nyeti! wakina kikwete na kinana wamegeuza CCM kama yao binafsi. Bila Mama kuwa mkali watamwachia matapishi ambayo hata weza kuyasafisha halafu watampamba Makamba kama vile ndiyo ataweza kuleta suluhisho.
Lakini ukweli ni kwamba wakina kinana na Kikwete wanataka kuwa Raisi kwa remote control.
AmphiGenge la vitunguu na nyanya au?
Nipo mkuu wanguMkuu ulipotea sana
Acha wang'atane, watafunane, wamezane na mama anadhani kupata watu et waunga juhudi Toka wapinzani aliowataja Nyerere ndo shwari itapatikana no. CCM imeishiwa mbinu.Chama CCM kimechokwa kimechakaa kimezeheka vibaya hakuna haja ya kutafuta Mchawi.