Inawezekana Kinana na genge lake wanamuhujumu Mama?

Haya! Watatu wameondoka, je umeridhika?
 
The gang?πŸ€”πŸ˜³πŸ™‡πŸΏβ€β™‚
 
Hayo uliyoyataja ndio Majipu makubwa ndani ya CCM Mama Samia awe Mungalifu sana na hyo majipu.
 
The gang?πŸ€”πŸ˜³πŸ™‡πŸΏβ€β™‚
Genge la vitunguu na nyanya au?
Amphibians
 
The gang?πŸ€”πŸ˜³πŸ™‡πŸΏβ€β™‚
Genge la vitunguu na nyanya au?
Amphi
Mkuu ulipotea sana
Nipo mkuu wangu
 
Chama CCM kimechokwa kimechakaa kimezeheka vibaya hakuna haja ya kutafuta Mchawi.
Acha wang'atane, watafunane, wamezane na mama anadhani kupata watu et waunga juhudi Toka wapinzani aliowataja Nyerere ndo shwari itapatikana no. CCM imeishiwa mbinu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…